Suala la Umaskini kwa Mtwara siyo kweli kabisa. Ni wilaya ya Mtwara Rural tu ndo umaskini unaonekana, lakini kitaifa Mrwara haipo katika mikoa maskini.
Tuje kwenye uchaguz, bado matokeo kule ni 50/50. Kule Msimbat ambako ni chimbuko la ges ya asili CCM kuna mitaa ilipata kura0. Na kwenye ushindani lazima kila mrengo upate kura. Kama Arusha bado kwa uchaguz huu wa vitongoji kwa mujibu wa Dira ya Dunia BBC jana Cdm na CCm bado ilikuwa ni 50-50 ambayo ni good move bado. Cha msingi somo la elimu ya uraia na kujitambua lisiishie wakati huu tu. Liendelezwe kwa katiba inayopendekezwa na uchaguzi mkuu 2015, na opposition ikiweka malengo na kupata wabunge 180-200, hata kama wasishinde urais; nchi itanyooka tu kwa kuwa maamuz ya NDiyooo Bungeni hayatakuwepo. Ndiyooo yamesababisha mambo mengi ya ovyo kupita ambayo hayana tija kwa Taifa