Lindi na Mtwara wameshalipiza kisasi

Lindi na Mtwara wameshalipiza kisasi

vijana--vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wazee--shumakaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa;
embu nenden mkafie mbele uko.
 
Tunaomba daftari la uandikishaji liletWE mApema sana.
l
 
Tusubiri matokeo kamili. Hizi porojo za Kinondoni tumezichoka sasa

Ofisi ya CCM 01.JPG

Ukawa and CCM.jpg

profilepic 2015.JPG


Kiama ya CCM ni mwaka 2015, kelele zenu zote zitaisha.

Huu ni mwanzo tu hata safari hatujaanza. Hivyo msiwe na presha juu.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 

Attachments

  • WAGONJWA_ZAHANATI_KISAKI[1]_.JPG
    WAGONJWA_ZAHANATI_KISAKI[1]_.JPG
    17.9 KB · Views: 469
Weka hapa matokeo ya Mtwara na Lindi acha kuwadanganya witu! hata kama kuna sehemu wameshinda basi tofauti ni mitaa isiyopungua mitatu!

Masasi na wilaya nyingine za Mtwara CCM wameshinda kwa kishindo sana tena Lindi ndio usiseme!

Wapinzani walipo onesha upinzani kidogo ni Mtwara mjini na ni CUF na kwenyewe ni tofauti ya mitaa kama 3 au minne! Na kwa matokeo haya hayawezi kuwapatia kiti cha ubunge kabisa!
 
Weka hapa matokeo ya Mtwara na Lindi acha kuwadanganya witu! hata kama kuna sehemu wameshinda basi tofauti ni mitaa isiyopungua mitatu!

Masasi na wilaya nyingine za Mtwara CCM wameshinda kwa kishindo sana tena Lindi ndio usiseme!

Wapinzani walipo onesha upinzani kidogo ni Mtwara mjini na ni CUF na kwenyewe ni tofauti ya mitaa kama 3 au minne! Na kwa matokeo haya hayawezi kuwapatia kiti cha ubunge kabisa!

Mtu mzima ukivuliwa msuri chutama.
 
Kwa hali hii sio siku nyingi mtaona ndege za jeshi zikipita angani kuwatia hofu wale waliotumia haki kikatiba za kupiga kura!
 
Weka hapa matokeo ya Mtwara na Lindi acha kuwadanganya witu! hata kama kuna sehemu wameshinda basi tofauti ni mitaa isiyopungua mitatu!

Masasi na wilaya nyingine za Mtwara CCM wameshinda kwa kishindo sana tena Lindi ndio usiseme!

Wapinzani walipo onesha upinzani kidogo ni Mtwara mjini na ni CUF na kwenyewe ni tofauti ya mitaa kama 3 au minne! Na kwa matokeo haya hayawezi kuwapatia kiti cha ubunge kabisa!
Hahahahaha utakuwa na maleria tunawatokomeza vijana tumeamka unajitekenya na kujichekesha mwenyewe
 
Mimi si mtabiri, lakini siku nyingi sana nilisha sema katika mazungumzo ya mitaani, watakao iondoa CCM ni vijana. Maana wengi ya wazee wa CCM (Kingunge, Kinana, Kikwete, Malechela, Msekwa nk ) wanafikilia kianolgia, eti kampaini za kujifanya wanachota maji kwenye mradi wa maji, wanajenga kwenye mradi wa maabara nk. Hizi ni za Nyerer si kizazi kipya.

On a sasa ilianzia Bungeni, vijana hadi wa wao wenyewe Filikunjombe, Hamis, Mchemba, etc) wakishilikiana na wa Ukawa Kafulila, Zito, Wenje, Mnyika nk. Na sasa huku field, vijana wamepigwa hata risasi na kufa wakitetea kura kutochakachuliwa. Tukubali tusikubali bila kuangalia ushabiki wa vyama, vijana kweli ndio wamekuwa chachu ya mabadiliko haya. Uchaguzi ujao ndio mtaona mara kumi ya huu wa mitaa. Ombi langu ni moja,tupo katika transformation itakayo badili mwelekeo wa taifa hili kabisa miaka 10-20 ijayo. Lazima hawa waliopoteza maisha, waingie katika kumbukumbu ya watetezi wa haki ya watanzania wa kwanza, bila kujali walikuwa na vyeo ama la. Maana tusidhani waletao changes ni marais, mawaziri au wanasiasa tu ni hawa waliopoteza maisha kuhakikisha CCM haichakachui na wameanzisha chachu ambayo haitaisha hadi kieleweke. Na amini nawaambia, huu ni mwanzo wa kile tulicholuwa tunakiwazia kuanzia enzi za Nyerere mwasisi wa taifa hili. MUNGU IBALIKI TANZANIA.
 
Sasa mama mwenye nyumba anataka kugombea ubunge huko? Itakuwaje majibu ya ndoa kabla hata ya posa yamekataliwa! Sasa itabidi watengeneze jimbo dogo hapo Bwagamoyo ili na yeye apate japo jimbo.Maana huku wifi zangu na mashemeji wamerudisha POSA.
 
Tulipiga kelele sana kwamba mnayowafanyia watanzania sio sahihi.Tukatoa mfano kwamba mpira unavutika,lakini ukiuvuta sana mwishowe unakakatika hamkusikiliza.Watanzania wamefika mwisho,kamba imekatika.Mmewatesa Watanzania sana.you have to wait for your fate.Wengi wenu mnapaswa kuishia lupango.It's too late kuomba msamaha.
Hali ni tete huko Lindi na Mtwara kwa CCM. Matokeo yanayotufikia hapa Ofisi Ndogo za Chama,Lumumba si vutizi. UKAWA wametupoka sehemu nyingi huko.CUF imetamalaki. CUF imetetea mitaa yake na kupoka mingine toka CCM.Wana-Lindi na Mtwara hatimaye wamelipa kisasi na kuonesha kinyongo chao juu ya sakata la gesi asilia.

Kipigo cha gesi kimejibiwa na kipigo cha kura. Sijui mwakani itakuwaje. Wana-Lindi na Mtwara tusameheni jamani.Tuliteleza.Hatutarudia tena.Safari hii mkiliona jeshi huko basi liko Kambini au limekuja kujenga madaraja na miundombinu mingine.

Kujikwaa si kuanguka.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom