Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,416
- 38,056
Mkuu Mingoi
Kwanza unatakiwa uelewe jiografia ya Arusha ndio uongee.
Uchaguzi uliopita wa wenyeviti na wajumbe CCM ilizoa zaidi ya 98% uchaguzi wa j2 hali imebedilika sana viongozi makini wa CCM lazima watajiuliza kuliko na si kushangilia ujinga.
Kwanza unatakiwa uelewe jiografia ya Arusha ndio uongee.
Uchaguzi uliopita wa wenyeviti na wajumbe CCM ilizoa zaidi ya 98% uchaguzi wa j2 hali imebedilika sana viongozi makini wa CCM lazima watajiuliza kuliko na si kushangilia ujinga.
CCM 78 - CHADEMA 75,vitatu vyatosha.
Last edited by a moderator: