Lile Jambo kutoka kwa Rais Samia ni Leo, tega masikio yote mawili

Sisi huku kwetu hakuna!
 
Au anataka kuendeleza bongo movie ya mbowe ni gaidi
 
Kwakweli ⛔
 
Bwana Yesu asifiwe wapendwa.

Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.

Tega sikio hapa hapa bwashee.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Mbona tayari tumekwisha ufinya, mikeka tumeanua na shaba limesafishwa, ngoja tupumue chini ya mti kisha tutakusimulia ila nikudokeze tu lakini usimwambie mtu, matokeo ya uchaguzi.
 
Hiyo salamu umeikosea, siyo sehemu yake!
Huyo Rais wako hata kuitamka hataki!
Hata salamu ya dini yake hataki!
Labda kuna vutu anaviabudu
Aliitamka wakati alipohudhuria Miaka 50 ya KAT (Kanisa Anglikana Tanzania) Dodoma.
 
Tuna imani na Samia, hali mradi yule shetani yupo kuzimu, tumpe ushirikiano mama.

Dosari yake kwangu ni kuingizwa mkenge kesi ya Mbowe tu, lakini muda anao wa kurekebisha na DPP kamteuwa yeye.
Nakuunga mkono kabisa Matola.
 
Haya mambo mawili(mojawapo)huenda ndio ambayo Mama leo atayaweka hadharani japo yote mawili yatafanywa kwa njia ya kuzuga tu.

Mchakato wa katiba mpya hata ukianza upya utakuwa ni wa kutaka kutuliza shinikizo lililopo na kuwatuliza wanaotupa misaada but they wil never be serious.

Kingine ni uwezekano wa kutangaza adhima yake ya kushirikisha wapinzani feki kwenye serikali ya mseto katika wakati watakaokuwa wameupanga ikiwa ni pamoja na kufanya mabadiliko ya katiba kuruhusu uundwaji wa serikali ya mseto na wanafuika watakuwa ni ACT na vyama vingine vidogo vidogo.

Haya hata kama hayatangazwa leo hii, ila mjue yako njiani na siku yoyote yatatangazwa rasimi kwanini ni mahitaji ya wakati, na kwa mazingira tuliyonayo, hayakwepeki, hivyo ni swala la muda tu.

Watalazimika kutekeleza mojawapo ya mambo hayo mawili hata kama hawapendi kama walivyolazimika kukubali kuanzisha kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.
 
Uzinduzi wa kampeni ya maendeleo na ustawi wa taifa na mapambano dhidi ya UVIKO-19.

#Ujanja ni kuchanja
 
wananchi tunataka maendeleo sio katiba,
katiba wanataka wanasiasa.
Katiba sio hitajio la wananchi.

mwaka 2010 Kenya iliandika Katiba nzuri na bora lkn hadi leo 2021 bado haijatatua changamoto za wananchi, South Afrika vivyo hivyo n.k.
hivyo katiba sio mwarobaini.
kazi iendelee hadi 2040.
 
Bandiko la kiazi mmoja hivi hapa JF wewe na lema ndio watabiri wa kizazi hiki

USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…