Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,925
- 95,203
Sasa mtakula mbichi maana kila kitu ni kwa remoteMvumilivu hula mbivu!
Sasa mtakula mbichi maana kila kitu ni kwa remoteMvumilivu hula mbivu!
Nikukaribishe wewe maana inaonekana unaifuatilia tbcKaribu bwashee!
Chato inasifa za kuwa mkoa na utambue kuna baadhi ya wilaya za kigoma na kagera zitaingia humo kwan wilaya husika zitakazo hama itakuwa faida kwa mwananchi katika kurahisisha na kuwasogezea huduma wao ni sehemu ya taifa pia wewe wa kusini pambania kusuni yako tuache wivuHakuna mkoa mpya mpaka sensa ya watu na makazi ifanyike 2022.
Kwahiyo swala la Chato sahau, by the way Chato haina sifa hata ya kuwa Manispaa.
Usichulie mazoea, wakati mwingine hula mbovu.Mvumilivu hula mbivu!
Hapo Ufipa hakuna teuzi?Mtapiga magoti hadi yaote malengelenge lkn hakuna cha teuzi.
Maana kwa sasa kila kitu ni kulekule mkuti mango
Binadamu yeyote anaweza kuingizwa mkenge, sasa yeye tayari ameshajua aliingizwa mkenge. Kwa nini anasita kufanya uamuzi haraka? Mamlaka anayo ya kufanya hivyo. Wote wanaoendesha hiyo kesi ni wateule wake.Tuna imani na Samia, hali mradi yule shetani yupo kuzimu, tumpe ushirikiano mama.
Dosari yake kwangu ni kuingizwa mkenge kesi ya Mbowe tu, lakini muda anao wa kurekebisha na DPP kamteuwa yeye.
Habari zote zipo waziHahahaaaa.......!
Kwamba kijiji kinageuzwa mkoa, au?Bwana Yesu asifiwe wapendwa.
Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.
Tega sikio hapa hapa bwashee.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Yeah!Watu kwa sasa tuna mambo mengi ya kufanya ili kujitafutia mkate wetu wa kila siku.
Hayo mambo ya kushinda kwenye tv kisa kumtazama mwana siasa hatuna.
Kauli zako zinaonyesha umebwaga manyanga.Hata wakianzisha mkoa mwingine wa mchambawima haina maajabu.
Fao la Kujitoa NSSFBwana Yesu asifiwe wapendwa.
Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.
Tega sikio hapa hapa bwashee.
Nawatakia Dominica yenye baraka!za
Hiyo salamu umeikosea, siyo sehemu yake!Bwana Yesu asifiwe wapendwa.
Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.
Tega sikio hapa hapa bwashee.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Mitaa gani acha uongo na wewe unaishi mitaa yote ya tanzania?!Yaani huyu mama ametokea kuzaraulika Sana mitaani
Mitaa gani acha uongo na wewe unaishi mitaa yote ya tanzania?!
Mitaa yetu anakubalika sana wasukuma wakuhesabu.Embu Fanya utafiti hapo mtaani kwako.
Maza hana mvuto watu wanamchukia sana mitaani huku tanganyika.
Jana tulikuwa sehemu tukawa tunadiscus hii ishu
Wananchi wanamchukia Sana huyu maza nahisi ni haya mambo ya tozo , na pia kauli zake za kibaguzi kijinsia , na kuonekana amekaa kizanzibari zaidi,
Bwana Yesu asifiwe wapendwa.
Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.
Tega sikio hapa hapa bwashee.
Nawatakia Dominica yenye baraka!