Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Hizi ni nadharia tu.mimi katika 45
1st born atakua na 23yrs
2nd born atakua na 18yrs
3rd born atakua na 16yrs
Last born atakua na 12yrs
Hizi ni nadharia tu.mimi katika 45
1st born atakua na 23yrs
2nd born atakua na 18yrs
3rd born atakua na 16yrs
Last born atakua na 12yrs
Usibabaishwe na vimaneno vya mitandaoni, nioneshe tajiri mmoja tu unayemjuwa Wewe Bongo ambaye hajarithi utajili ni self made millionaire ambaye yuko under 50. ( Usiwajumuishe Wakinga.)Bora utupe moyo
Maana Mambo ni magumu Kwa walamba nyasi
Ahahaha..Hapana mkuu.Hizi ni nadharia tu.
Nakubaliana na wewe..Usibabaishwe na vimaneno vya mitandaoni, nioneshe tajiri mmoja tu unayemjuwa Wewe Bongo ambaye hajarithi utajili ni self made millionaire ambaye yuko under 50. ( Usiwajumuishe Wakinga.)
Bongo unapiga mark time mpaka over 50 ndio life linakupa direction kama utazeeka vizuri au ukawe mkimbizi tu ulaya.
Umeenda vizuri sana mkuu, ukipungua nguvu madogo nao wamefika mbali sana. Naona unaweza kuiishi hii kanuni.Ahahaha..Hapana mkuu.
Am 34 now. I gat 4 kidz already. Nimepata mtoto wa kwanza nikiwa 1st year at 21yrs- 2011. Nimeoa at 25 yrs.
Nimezaa mtoto wa pil in 2016, mtoto wa 3 mwaka 2018 wa mwisho 2022😂
So kwa sasa ni kwamba
1st born ana 12 kamaliza la 7
2nd born ana 7 yrs
3rd yuko na 5yrs
Last yuko na 10 months
So at Mungu akijalia nikafika 45 yrs maana yake hiyo ni 11 yrs from today.
Add 11 yrs kwa kila dogo hapo utaona what happens
😁😁
Dr Matola, hivi vimaneno vina impact sana, either vikujenge au kukubomoa. Hapa tunawakumbusha 20s wakae mkao wa kula, late 30s wasihofu, 40s wajue bado chance ipo na 50+ waishi kwa amani.Usibabaishwe na vimaneno vya mitandaoni, nioneshe tajiri mmoja tu unayemjuwa Wewe Bongo ambaye hajarithi utajili ni self made millionaire ambaye yuko under 50. ( Usiwajumuishe Wakinga.)
Bongo unapiga mark time mpaka over 50 ndio life linakupa direction kama utazeeka vizuri au ukawe mkimbizi tu ulaya.
Kupata Watoto mapema kuna faida nyingi kuliko hasara.Hakuna kitu inavuruga kama kukimbilia kupata watoto haraka haraka. Mimi na 26yrs watoto 2 mama tofauti wananipeleka puta hadi sometimes najuta. Mpaka kufika hiyo 40 nitakuwa nishachoka
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Wewe una biashara gani?Miaka 40+ na chanzo pekee cha kipato chako ni mshahara umeshafeli
Uzushi huo,tafuta ratio ya walioko kwenye 30+ age kama wamefanikiwa Kwa lolote,ni wachache sana badala yake kuanzia huko kwenye 40s ndio watu wengi wanaanza kufanikiwa na asikudanganye mtu miaka 50 Wala sio Mingi Wala sio Mzee unless unaumwa.Kwamba mtu akiwa 40+ awe tayari amewekeza na pesa zinamfuata tu mkuu? Sasa mbona wengi wetu ndio tunaanza kujitafuta, tulichelewa either kusoma, kupata watoto, kuwekeza...
Do we still have another chance?
Tatizo la Watanzania pesa za wizi wanataka kuziingiza kwenye mfumo rasmi wakati wanajuwa wazi hizo ni fedha haram.Nakubaliana na wewe..
Imagine mtu unamaliza shule at 25year.Hapo umeenda straight bila kona na kama uliingia shule mapema.
Haiwezekan at 40 uwe umeji establish vya kutosha..
NB
japo wapo, ila sio wengi sana aisee..maana kkna watu wana bahat zao dunian hapa
Hata tukiangalia watu huko mtaani wenye pesa wengi wako kuanzia 40 Hadi 65 na Bado wanafanya kazi saafi kabisa.Jambo la msingi ni Afya.Asiwadanganye mtu wanangu
Maisha yanakuja jinsi yalivyo na hakuna wa kujua kesho
Hiyo 40 kama utafika ni uwezo wake Mola kwa wanaoamini hili
Wengi mna bahati kwa sasa kupata nasaha na kushauriwa humu, wengine wamekula maisha bila kujua
Wengine pia hata umshauri vipi bado atakula Bata bila kuwaza kuwekeza
Mimi sikuwa mtu wa starehe bali ni mtu wa kusafiri sana na kuiona Dunia, yaani ndio hobby yangu ila sasa nimepunguza kiasi ingawa bado nasafiri
Vijana kuweka akiba ni muhimu sana na 40 isiwatishe kwani nina over 60 na bado napiga kazi sana
Nani kawaambia ukifika 46 umezeeka sio kweli
Pigeni kazi sana mkiwa vijana uli msiwe watu wa kuomba omba baadae
50 Bado sana,labda umri wa kuanzia 55 plus naweza sema uzee unaanza maana Kuna Baadhi ya performance zinaanza kupungua na mvi pia zinaanza kuonekana ila sio chini ya 55Acha ufala we Mzee🤣🤣🤣50 Ina Nini?Hivi humuoni mtu kama JK ana 80 bado analipa?
KWel .japo kwa ishu ya makazi ya kuishi, hii ni kawaida kumilik kwa kijana under 40 kama tayar yuko kwenye mfumo wa ajira au kaz rasmi. Hapa anaweza kuwa na nyumba tena kali tu bila shida kama atakua mtu mwenye nidhamu ya matumiz ya pesa.Tatizo la Watanzania pesa za wizi wanataka kuziingiza kwenye mfumo rasmi wakati wanajuwa wazi hizo ni fedha haram.
Eti kijana ana miaka under 40 ana appartment za kupangisha, ana nyumba ya kuishi chanzo cha ukwasi wake wala hawezi kukielezea, kama ni kweli ni working hard mbona hawafungui viwanda?
Performance ipi mnayoongelea?50 Bado sana,labda umri wa kuanzia 55 plus naweza sema uzee unaanza maana Kuna Baadhi ya performance zinaanza kupungua na mvi pia zinaanza kuonekana ila sio chini ya 55
Kwa wanaume ni kutiana ila Kwa mwanamke hakuna Cha kupungua labda mbwembwe za ujanani tuuPerformance ipi mnayoongelea?
MKuu mimi nilishajisemeaga mapemaa toka namaliza form 6 kuwa haijalishi nitapata maisha au nitachelewa ila nikifika 34 yrs nataka niwe nimeshamaliza kuzaa.Umeenda vizuri sana mkuu, ukipungua nguvu madogo nao wamefika mbali sana. Naona unaweza kuiishi hii kanuni.
Kuanika hapa jau mkuuWewe una biashara gani?
Kwa hiyo unataka under 40 awe anamiliki nini mkuu?Tatizo la Watanzania pesa za wizi wanataka kuziingiza kwenye mfumo rasmi wakati wanajuwa wazi hizo ni fedha haram.
Eti kijana ana miaka under 40 ana appartment za kupangisha, ana nyumba ya kuishi chanzo cha ukwasi wake wala hawezi kukielezea, kama ni kweli ni working hard mbona hawafungui viwanda?
Mimi nimeishi kwenye mifumo mingi duniani, kama hujatembea huwezi kunielewa hata siku moja.Kwa hiyo unataka under 40 awe anamiliki nini mkuu?