Life begins at 40 Vs Midlife crisis

Life begins at 40 Vs Midlife crisis

Frankly speaking Sina stress hata kidogo za uzee wala sioni aibu kusema nikaapproch 40....Nina stress mambo yangu ya pesa yakienda ndivyo sivyo only that!
40 ni poa sana Eroni.
Mimi siutaki uzee na siupendi. Its a stage in life ambayo uwe na hela ama vipi kuna vitu katika maisha unavikosa. I love 40, I hate 50🤣
 
Wadada wengi hawapendi forty Kwa vile tunaambiwa officially we are out of market....Binafsi I don't care I count is as a blessings Kuna watu wameondoka mapema sana
Hakuna aliyeko nje ya soko, haya ndio maneno aliyeko 40 anatakiwa kuyaignore, yaani we have to think positive regardless.

Mambo ya msingi ni kwa vijana kujiandaa mapema, una mpango wa kuwa na watoto, basi at 40 wawe walau sekondari huko, una mpango wa kusoma, basi tengeneza career yako mapema nk nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom