Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 10,664
- 22,844
Kuna usenge tulikuwa tunaambiwa kuhusu maisha tusingeufuata pengine tusingekuwa na majuto kama hivi.I Think maisha hua yanaanza kuonekana yako speed pale unapoanza kupata watoto.
Because, hapo ndo hua tunaanza ku calculate umri.
Mfano umepata mtoto wa kwanza at 35 yrs as a man unapiga hesabu kuwa on average hadi amalize form six ni 19 yrs. So ukijumlisha na 35, unakua na 54yrs, tayari ndo unastaafu at 55. Hapo bado hajaenda chuo.
Na hapo hujapata wengine. Hiyo ndo inafanya kichwa iwake moto kabisaaaa