Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Hiyo hiyo unayoifikiria wewe😂😂Performance ipi mnayoongelea?
Hiyo hiyo unayoifikiria wewe😂😂Performance ipi mnayoongelea?
Una uhakika wote wanategemea hela ya mishahara tu kufanya hayo mambo umetaja?Bongo kijana analipwa 1.5 take home, ndani ya five years kajenga ghorofa, ana magari, afa ya mtoto wake Feza schools wala haifanani na kipato chake halisi, huu ni wizi mtupu, kwa wenzetu hakuna mifumo ya maisha ya hivi.
He heeeee mnapendaaas😋😋Hiyo hiyo unayoifikiria wewe😂😂
umesahau akina wasira na mkuchika bado ni uvccm...hivi miaka 40 bado ni kijana?
Hivi ni visingizio tu, Wabongo tunajuwana.Una uhakika wote wanategemea hela ya mishahara tu kufanya hayo mambo umetaja?
Vipi ikiwa ana biashara zake au ni hela mikopo ya benki au zinatokana na asset za familia?
Sasa usipopenda hiyo kitu basi mishipa ya fahamu imeshakufa.He heeeee mnapendaaas😋😋
Kweli kabisa tuna complicate sana maisha , Mimi binafsi nikipata mahitaji yote ya msingi inatosha na nikifika uzeen nisiwe mtu wa kuhangaika na kuombaomba.Hapo kwenye kufurahia life kila siku ni mtihani kweli kweli. Unajua wengi wetu tunaona kama furaha ni kitu cha kukipata ukifanikisha jambo flani lakini ukilifikia, bado unaweka vigezo vingine na mwisho wa siku unakuwa si wa kuyafurahia maisha..
Sometimes nawish ningekuwa na mindset kama ya wamama wa uswazi, unakuta anakaanga mihogo ya kuuza asubuhi ili apate hela ya unga na fungu la dagaa. Baada ya hapo anasindikiza jua kwa umbeya na kama mlevi anakunywa double kiki yake. Maisha yanaenda bila stress
Ila haya ya kuangalia huna gari, nyumba, stable career mara utengeneze image ya kuendana na wenzio, yaani expectations kubwa kubwa ni stress tupu hadi tunashindwa enjoy simple things in life.
🤣🤣🤣Ila kweliSasa usipopenda hiyo kitu basi mishipa ya fahamu imeshakufa.
Tanzania bado kuna fursa nyingi sana ya kupiga maokoto ya kutosha, tatizo vijana wengi wanapenda kuajiriwaHivi ni visingizio tu, Wabongo tunajuwana.
Mtu gari ameweka sticker this car is protected by blood of Jesus halafu jitu ni lishirikina balaa.
Wewe umejiajiri kwenye nini?Tanzania bado kuna fursa nyingi sana ya kupiga maokoto ya kutosha tatizo vijana wengi wanapenda kuajiriwa
Ajira zinapoteza future billionaires wengi sana
Sio mahala sahihi hapaWewe umejiajiri kwenye nini?
Ukute ni mwajiriwa wa TAHARAEIWewe umejiajiri kwenye nini?
Usipojisaidia hata huyo Mungu unayemwamini atakuacha ufe njaa au uwe na uzee wa taabu na dhiki kuu.kabidhini maisha yenu kwa Bwana Yesu atayasaidia kwa ujumla wake. hatukujileta duniani, Yuko aliyetuleta, na alituleta ili TUYAFANYE MAPENZI YAKE!
JESUS IS LORD
Anataka kuwa Mzee msumbufu tuUsipojisaidia hata huyo Mungu unayemwamini atakuacha ufe njaa au uwe na uzee wa taabu na dhiki kuu.
Sidhani kwamba ni kweli wanapenda ajira rasmi, tatizo ni mifumo duni ya kumuandaa kijana kujiajiri, elimu duni toka utotoni(elimu za kukaririshwa).Tanzania bado kuna fursa nyingi sana ya kupiga maokoto ya kutosha, tatizo vijana wengi wanapenda kuajiriwa
Ajira zinapoteza future billionaires wengi sana
Jana vijana 12,332 walikuwa kwenye interview ya TRA inayohitaji custom officer 24 tu
Inasikitisha sana
Kinachotuua ni mifumo na mindset.Mimi nimeishi kwenye mifumo mingi duniani, kama hujatembea huwezi kunielewa hata siku moja.
Mifumo ya wenzetu kila mwenye uwezo wa kufanyakazi atafanyakazi na atatimiza majukumu yake yote ya kujikimu.
Kuna watu wa class zote, lakini wizi wa Mali za umma au ubinafsi uliopitiliza hakuna hivyo vitu.
Mbongo anaishi yeye na ana hofu na kesho ya watoto wake wakati mifumo ndio inatakiwa kuamuwa hatima za watu.
Bongo kijana analipwa 1.5 take home, ndani ya five years kajenga ghorofa, ana magari, ada ya watoto wake Feza schools wala haifanani na kipato chake halisi, huu ni wizi mtupu, kwa wenzetu hakuna mifumo ya maisha ya hivi.
Angalia mfumo wa maisha ya Wahindi wengi ni raia halali wa Tanzania umeshawahi kuwaona kuhangaika na ujenzi wa nyumba kwa ajili ya future za familia zao? Wana mifumo yao, kama ya kimagharibi.
Usianze kuudharau mto kabla haujaufikia ukaona uhalisia kama una kina kirefu au upana gani au una wanyama wakali kabla haujaufikia.Nafikiri jambo la msingi ni maokoto tu... ukiwa nayo hiyo mid-life crisis utaisikia kwa jirani......
N.B: Currently nipo kwenye quarter life Crisis
Hapa ndipo inapobidi wabadili mindset zaoSidhani kwamba ni kweli wanapenda ajira rasmi, tatizo ni mifumo duni ya kumuandaa kijana kujiajiri, elimu duni toka utotoni(elimu za kukaririshwa).
Mindset zetu ni kuamka asubuhi na kunyonga tai, kupaka kiatu chako rangi king'ae uende "ofisini". Neno "nipo ofisini" linawachanganya wengi sana mkuu.