bado Zitto ,yaani huyu siku akiondoka ntalipia hata kikosi cha matarumbeta toka pale magomeni na wale wacheza vibao kata wamsindikize huko CCM
Mhe. Mkumbo hakuna haja ya samahani najua kuna watu wengi wana ID mbilimbili................
tusiwe hivi jamani
Leticia ni binadamu na anjua anachofanya... CDM kwa sasa inaingia kwenye transition ambayo itai-define upya kama chama cha watu au cha kikundi cha watu.
In any organization, if you dont pass this stormy phase, mara nyingi unakua kwenye utopia au unakua goigoi...
All teh best Leticia, ila message to CDM kwamba you need to relook at what was the common goal for your executive members na kama wengine hawamatch hilo, au kama kuna haja ya kubadilika, badilikeni kupisha wenye moyo na nchi yao
I would rather see 1000 leticia leave than staying as a small party trying to keep leticia happy
To my knowledge, zitto was to go to NCCR some time ago, probably he better go now so that CDM dont have more destructive minds in their way to full opposition party
Angalia kwa macho yote mawili tumia ubongo kwa unayoyaona mbele yako kisha geuka nyuma utamuona Dr Slaa akikimbia CCM kuingia CDM kwa sababu pacha na ya huyu mama kisha shusha pumzi zako na useme Mungu nisamehe kwa kuhukumu hakika hukumu ni kazi yako wewe tu kwani wewe ni hakimu wa kweli.
Stop, mimi sina na sina haja ya kuwa na ID mbili. Niliamua mwenyewe kutumia jina langu na wala sina sababu ya kuingia na jina linngine la bandia. Jikite kwenye mjadala, achana na habari za kutabiri/kubashiri ID za watu.
Unao ushahidi kwamba wana sababu pacha? otherwise STFU
Nimekuuliza ushahidi unaleta ngonjera ndeeefu ambayo haina kichwa wala miguu..naona huna ushahidi bana..Kwanza shukran kwa kunitukana ila amini mie sipo kwa matusi nipo kujadili mijada yenye kuweza kuleta tija ya mtu mmoja mmoja kama Leticia na taifa kwa ujumla kizuri nitakisifia kibaya nitakiponda kwa hoja na sio kwa matusi. Pili naomba nipe sababu za Dr Slaa kuhama CCM na kuja CDM haikuwa baada ya yeye kukataliwa kugombea ubunge kwa mizengwe? Na huyu mama kwa ushahidi nilio nao kutokana na ninavyojua amefanyiwa zengwe haiwezekani mtu ahamie chama juzi juzi awe wa 17 au 29 yeye awe 29 hata kama kama angekuwa anauvumilivu gani angeshindwa.... ameshindwa mtumishi wa Mungu Slaa ataweza kondoo wa kawaida Musore? Tuache ushabiki utatupeleka pabaya makosa yakitendeka yarekebishwa sio kutetea hatutakuwa na tofauti na wanaotetea ufisadi kwa kutoona sio kosa.
you trying ndiyo kitu gani kama hujui lugha za watu ongea hata kikwere tutakuelewa, unataka vigezo wewe kama nani na usipopewa utafanya nini unafikiri kelele zako za chura zitamzuia ng'ombe kunywa maji. Tambwe Hiza alipoingia na kupewa cheo alikuwa na kigezo gani wakati kuna watu wana miaka nenda rudi CCM, kama kigezo ni muda wewe hadi sasa umepewa cheo gani CCM changanya huko. List imewekwa kama hutaki unaacha pambaf mkubwa.Samahani kwa hilo. neniyauuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu nadhani umeona swali langu ila you trying to escape amini nia ni njema nayo ni kukuza demokrasia nadni ya chama ni vyema tukajua vigezo mnavyovitumia kuwa rank hawa kina mama especial new comers kama kina Rose Kamili, Naomi Kaihula na wengineo nkupewa top rank na long serving kupewa alama za chini.? Ni hilo tu Mkuu wangu
Songela in advance.
Nimekuuliza ushahidi unaleta ngonjera ndeeefu ambayo haina kichwa wala miguu..naona huna ushahidi bana..
BTW, nimekutukana wapi..au unaweweseka malaria imepanda kichwani?
Google it.Nini maana ya STFU?
Wewe unafaida gani na chadema kung'ang'nia mambo ya Leticia, kama una uchungu na taifa kwanini hatujakusikia unamtetea Sitta kwa kupewa kipindi kimoja cha uspika? toa umbea wako huna uchungu wala nini.Kwanza shukran kwa kunitukana ila amini mie sipo kwa matusi nipo kujadili mijada yenye kuweza kuleta tija ya mtu mmoja mmoja kama Leticia na taifa kwa ujumla kizuri nitakisifia kibaya nitakiponda kwa hoja na sio kwa matusi. Pili naomba nipe sababu za Dr Slaa kuhama CCM na kuja CDM haikuwa baada ya yeye kukataliwa kugombea ubunge kwa mizengwe? Na huyu mama kwa ushahidi nilio nao kutokana na ninavyojua amefanyiwa zengwe haiwezekani mtu ahamie chama juzi juzi awe wa 17 au 29 yeye awe 29 hata kama kama angekuwa anauvumilivu gani angeshindwa.... ameshindwa mtumishi wa Mungu Slaa ataweza kondoo wa kawaida Musore? Tuache ushabiki utatupeleka pabaya makosa yakitendeka yarekebishwa sio kutetea hatutakuwa na tofauti na wanaotetea ufisadi kwa kutoona sio kosa.
you trying ndiyo kitu gani kama hujui lugha za watu ongea hata kikwere tutakuelewa, unataka vigezo wewe kama nani na usipopewa utafanya nini unafikiri kelele zako za chura zitamzuia ng'ombe kunywa maji. Tambwe Hiza alipoingia na kupewa cheo alikuwa na kigezo gani wakati kuna watu wana miaka nenda rudi CCM, kama kigezo ni muda wewe hadi sasa umepewa cheo gani CCM changanya huko. List imewekwa kama hutaki unaacha pambaf mkubwa.
Wewe unafaida gani na chadema kung'ang'nia mambo ya Leticia, kama una uchungu na taifa kwanini hatujakusikia unamtetea Sitta kwa kupewa kipindi kimoja cha uspika? toa umbea wako huna uchungu wala nini.
Waliokijenga Chadema ni wao na watakaokibomoa ni wao wewe kinakuhusu nini wamekuita uwasaidie, kwanini usiwashauri CCM ama CUF yako hatutaki ushauri wako kweeeeeendaaaaa poteza.Kwa namna hii hatuwezi kujenga zaidi ya kubomoa haya nimekuelewa na shukrani kwa kuniita mimi CCM lakini napenda utambue mimi ni mwana mageuzi kushinda wewe sijajawa unafiki namshukuru Mungu japo elimu yangu ndogo sikuwa stunted wakati wa udogo wangu naweza ku reason out mambo sipelekwi kama mbuzi anaeenda kuchinjwa. Kuifananisha Chadema na CCM kwenye hili swala sio sawa ila kama wewe unajinasibisha ni mwanachama bora kheri pia.
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.