Wadau naomba niliweke hili mezani tulijadili. Jana tumesikia mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya sambwee shitambala amejiuzulu kwa taarifa kwamba alikua akikabiliwa na tuhuma za kupokea hongo na kukihujumu chama kwenye uchaguzi mkuu uliopita. Leo tena mama leticia gbati ambaye alikua mwenyekiti wa baraza la wanawake la chadema (taifa) amejiudhuru na kujiunga na nccr akidai eti chadema kimejaa ukabila na udikteta na kwamba amekosa ubunge wa viti maalumu kwa sababu za kujuana. Swali je hayo madai ni ya kweli au kuna mkono wa mtu unajaribu kuivuruga chadema?!
Wadau naomba niliweke hili mezani tulijadili. Jana tumesikia mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya sambwee shitambala amejiuzulu kwa taarifa kwamba alikua akikabiliwa na tuhuma za kupokea hongo na kukihujumu chama kwenye uchaguzi mkuu uliopita. Leo tena mama leticia gbati ambaye alikua mwenyekiti wa baraza la wanawake la chadema (taifa) amejiudhuru na kujiunga na nccr akidai eti chadema kimejaa ukabila na udikteta na kwamba amekosa ubunge wa viti maalumu kwa sababu za kujuana. Swali je hayo madai ni ya kweli au kuna mkono wa mtu unajaribu kuivuruga chadema?!
Wadau naomba niliweke hili mezani tulijadili. Jana tumesikia mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya sambwee shitambala amejiuzulu kwa taarifa kwamba alikua akikabiliwa na tuhuma za kupokea hongo na kukihujumu chama kwenye uchaguzi mkuu uliopita. Leo tena mama leticia gbati ambaye alikua mwenyekiti wa baraza la wanawake la chadema (taifa) amejiudhuru na kujiunga na nccr akidai eti chadema kimejaa ukabila na udikteta na kwamba amekosa ubunge wa viti maalumu kwa sababu za kujuana. Swali je hayo madai ni ya kweli au kuna mkono wa mtu unajaribu kuivuruga chadema?!
Wadau naomba niliweke hili mezani tulijadili. Jana tumesikia mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya sambwee shitambala amejiuzulu kwa taarifa kwamba alikua akikabiliwa na tuhuma za kupokea hongo na kukihujumu chama kwenye uchaguzi mkuu uliopita. Leo tena mama leticia gbati ambaye alikua mwenyekiti wa baraza la wanawake la chadema (taifa) amejiudhuru na kujiunga na nccr akidai eti chadema kimejaa ukabila na udikteta na kwamba amekosa ubunge wa viti maalumu kwa sababu za kujuana. Swali je hayo madai ni ya kweli au kuna mkono wa mtu unajaribu kuivuruga chadema?!