Leonardo Da-Vinci

Leonardo Da-Vinci

Hi topic tamu sana...mm huwa najiulizaga sexuality ya Jesus basi mengine namwachia ngoswe
 
Kama ni kweli huyo yesu alizaa watoto na mery magdalena.kwa nini yafichwe.?! Mbona manabii wengi tu waliacha kizazi.?!
 
umenibana kwenye kona. ila nitachomoka
kwa asili ya ukristo huku kwetu afrika kuzijua habari hizi lazima utakuwa ni muumini wa moja kati ya madhehebu ambapo utakuwa umesoma biblia.
najua utasema umemjua yesu kupitia biblia ambayo haina dhehebu. sawa sitakataa ila kwetu sisi hata hiyo biblia na mafunzo yake mostly ni kupitia makanisa. huwezi niambia from no where umeanza kusoma tu biblia peke yako nyumbani kwako kama hujajishikiza katika dhehebu fulani la ukristo.

Iron lady ., hapo bado hujachomoka.!!!
 
nimesoma mada hii mwanzo hadi mwisho,nimeipenda sana najifunza mengi humu,sasa wale mliopeana kazi ya kutafuta maandiko mengine tusioyajua sie,naombeni mrudi na majibu basi maana binadamu tunapishana uelewa jama.
 
Kiukweli mimi siwezi kumuunga mkono'leonardo davinci' kuwa yupo sahihi, na vilevile siwezi kuwaunga mkono wanaompinga huyu jamaa.Taarifa hizi zote zinaletwa pasipo ushuhuda na ushahidi wa kutosha juu ya pande zote mbili,kwaio ni ngumu kusadiki pande mojawapo ila zina'draw attention" ya kujenga hoja kwa watu wenye mihemko kuegemea upande mmojawapo.Ila kwa watu 'conscious' zinawapa changamoto ya kuangalia kwa umakini suala hilo 'to read between the lines' nawasilisha.
 
Leonardo da Vinci ni moja ya wanasayansi waliojaribu kufanya kila aina ya ubunifu . Aliweza fanya ubunifu wa mwanzo kabisa wa baloon, aliweza kubuni aina ya mwanzo kabisa ya kifaru [kifaa cha vita] na vingine vingi…lakini pia alikua na kipaji cha ajabu cha uchoraji mfano picha maarufu ya Monalisa. Lakini kitu kilicho amsha umakini juu ya mtu huyu ni suala lake la kudai ya kuwa Yesu Kristu alimuoa Marry Magdalena na alikua na watoto wawili ambao kizazi chao kipo huko ulaya..kwa ufupi ni hayo tu

sio hayo tu alitoa theory za helcopter, robotics ( alimtengenezea princess wa kifaransa robot ya mbwa inayotembea yenyewe), alii invent war machines etc he was the most important and intelligent being infact jesus alikua hamfikii hata nusu uyu jamaa kwa intelligence!!!
 
sio hayo tu alitoa theory za helcopter, robotics ( alimtengenezea princess wa kifaransa robot ya mbwa inayotembea yenyewe), alii invent war machines etc he was the most important and intelligent being infact jesus alikua hamfikii hata nusu uyu jamaa kwa intelligence!!!


ahahahahahaaaaaaaaaaa-shikamoooooooo bona,...ngoja waje wahafidhina hapa utajuuuuuuta kusema hivyo,..#ishmael ,nkwesa makambo
 
The Apocalypse of Peter
Translated by James Brashler and Roger A. Bullard


As the Savior was sitting in the temple in the three hundredth (year) of the covenant and the agreement of the tenth pillar, and being satisfied with the number of the living, incorruptible Majesty, he said to me, "Peter, blessed are those above belonging to the Father, who revealed life to those who are from the life, through me, since I reminded they who are built on what is strong, that they may hear my word, and distinguish words of unrighteousness and transgression of law from righteousness, as being from the height of every word of this Pleroma of truth, having been enlightened in good pleasure by him whom the principalities sought. But they did not find him, nor was he mentioned among any generation of the prophets. He has now appeared among these, in him who appeared, who is the Son of Man, who is exalted above the heavens in a fear of men of like essence. But you yourself, Peter, become perfect in accordance with your name with myself, the one who chose you, because from you I have established a base for the remnant whom I have summoned to knowledge. Therefore be strong until the imitation of righteousness - of him who had summoned you, having summoned you to know him in a way which is worth doing because of the rejection which happened to him, and the sinews of his hands and his feet, and the crowning by those of the middle region, and the body of his radiance which they bring in hope of service because of a reward of honor - as he was about to reprove you three times in this night."
And as he was saying these things, I saw the priests and the people running up to us with stones, as if they would kill us; and I was afraid that we were going to die.
And he said to me, "Peter, I have told you many times that they are blind ones who have no guide. If you want to know their blindness, put your hands upon (your) eyes - your robe - and say what you see."
But when I had done it, I did not see anything. I said "No one sees (this way)."
Again he told me, "Do it again."
And there came in me fear with joy, for I saw a new light greater than the light of day. Then it came down upon the Savior. And I told him about those things which I saw.
And he said to me again, "Lift up your hands and listen to what the priests and the people are saying."
And I listened to the priests as they sat with the scribes. The multitudes were shouting with their voice.
When he heard these things from me he said to me, "Prick up your ears and listen to the things they are saying."
And I listened again, "As you sit, they are praising you".
And when I said these things, the Savior said, "I have told you that these (people) are blind and deaf. Now then, listen to the things which they are telling you in a mystery, and guard them, Do not tell them to the sons of this age. For they shall blaspheme you in these ages since they are ignorant of you, but they will praise you in knowledge."
"For many will accept our teaching in the beginning. And they will turn from them again by the will of the Father of their error, because they have done what he wanted. And he will reveal them in his judgment, i.e., the servants of the Word. But those who became mingled with these shall become their prisoners, since they are without perception. And the guileless, good, pure one they push to the worker of death, and to the kingdom of those who praise Christ in a restoration. And they praise the men of the propagation of falsehood, those who will come after you. And they will cleave to the name of a dead man, thinking that they will become pure. But they will become greatly defiled and they will fall into a name of error, and into the hand of an evil, cunning man and a manifold dogma, and they will be ruled without law."
"For some of them will blaspheme the truth and proclaim evil teaching. And they will say evil things against each other. Some will be named: (those) who stand in (the) strength of the archons, of a man and a naked woman who is manifold and subject to much suffering. And those who say these things will ask about dreams. And if they say that a dream came from a demon worthy of their error, then they shall be given perdition instead of incorruption."
"For evil cannot produce good fruit. For the place from which each of them is produces that which is like itself; for not every soul is of the truth, nor of immortality. For every soul of these ages has death assigned to it in our view, because it is always a slave, since it is created for its desires and their eternal destruction, in which they are and from which they are. They love the creatures of the matter which came forth with them."
"But the immortal souls are not like these, O Peter. But indeed, as long as the hour is not yet come, it (the immortal soul) shall resemble a mortal one. But it shall not reveal its nature, that it alone is the immortal one, and thinks about immortality, having faith, and desiring to renounce these things."
"For people do not gather figs from thorns or from thorn trees, if they are wise, nor grapes from thistles. For, on the one hand, that which is always becoming is in that from which it is, being from what is not good, which becomes destruction for it and death. But that which comes to be in the Eternal One is in the One of the life and the immortality of the life which they resemble."
"Therefore all that which exists not will dissolve into what exists not. For deaf and blind ones join only with their own kind."
"But others shall change from evil words and misleading mysteries. Some who do not understand mystery speak of things which they do not understand, but they will boast that the mystery of the truth is theirs alone. And in haughtiness they shall grasp at pride, to envy the immortal soul which has become a pledge. For every authority, rule, and power of the aeons wishes to be with these in the creation of the world, in order that those who are not, having been forgotten by those that are, may praise them, though they have not been saved, nor have they been brought to the Way by them, always wishing that they may become imperishable ones. For if the immortal soul receives power in an intellectual spirit -. But immediately they join with one of those who misled them."
"But many others, who oppose the truth and are the messengers of error, will set up their error and their law against these pure thoughts of mine, as looking out from one (perspective) thinking that good and evil are from one (source). They do business in my word. And they will propagate harsh fate. The race of immortal souls will go in it in vain, until my Parousia. For they shall come out of them - and my forgiveness of their transgressions, into which they fell through their adversaries, whose ransom I got from the slavery in which they were, to give them freedom that they may create an imitation remnant in the name of a dead man, who is Hermas, of the first-born of unrighteousness, in order that the light which exists may not believed by the little ones. But those of this sort are the workers who will be cast into the outer darkness, away from the sons of light. For neither will they enter, nor do they permit those who are going up to their approval for their release."
"And still others of them who suffer think that they will perfect the wisdom of the brotherhood which really exists, which is the spiritual fellowship of those united in communion, through which the wedding of incorruptibility shall be revealed. The kindred race of the sisterhood will appear as an imitation. These are the ones who oppress their brothers, saying to them, "Through this our God has pity, since salvation comes to us through this," not knowing the punishment of those who are made glad by those who have done this thing to the little ones whom they saw, (and) whom they took prisoner."
"And there shall be others of those who are outside our number who name themselves bishop and also deacons, as if they have received their authority from God. They bend themselves under the judgment of the leaders. Those people are dry canals."
But I said " I am afraid because of what you have told me, that indeed little (ones) are, in our view, the counterfeit ones, indeed, that there are multitudes that will mislead other multitudes of living ones, and destroy them among themselves. And when they speak your name they will be believed."
The Savior said, "For a time determined for them in proportion to their error they will rule over the little ones. And after the completion of the error, the never-aging one of the immortal understanding shall become young, and they (the little ones) shall rule over those who are their rulers. The root of their error he shall pluck out, and he shall put it to shame so that it shall be manifest in all the impudence which it has assumed to itself. And such ones shall become unchangeable, O Peter."
"Come therefore, let us go on with the completion of the will of the incorruptible Father. For behold, those who will bring them judgment are coming, and they will put them to shame. But me they cannot touch. And you, O Peter, shall stand in their midst. Do not be afraid because of your cowardice. Their minds shall be closed, for the invisible one has opposed them."
When he had said those things, I saw him seemingly being seized by them. And I said "What do I see, O Lord? That it is you yourself whom they take, and that you are grasping me? Or who is this one, glad and laughing on the tree? And is it another one whose feet and hands they are striking?"
The Savior said to me, "He whom you saw on the tree, glad and laughing, this is the living Jesus. But this one into whose hands and feet they drive the nails is his fleshly part, which is the substitute being put to shame, the one who came into being in his likeness. But look at him and me."
But I, when I had looked, said "Lord, no one is looking at you. Let us flee this place."
But he said to me, "I have told you, 'Leave the blind alone!'. And you, see how they do not know what they are saying. For the son of their glory instead of my servant, they have put to shame."
And I saw someone about to approach us resembling him, even him who was laughing on the tree. And he was <filled> with a Holy Spirit, and he is the Savior. And there was a great, ineffable light around them, and the multitude of ineffable and invisible angels blessing them. And when I looked at him, the one who gives praise was revealed.
And he said to me, "Be strong, for you are the one to whom these mysteries have been given, to know them through revelation, that he whom they crucified is the first-born, and the home of demons, and the stony vessel in which they dwell, of Elohim, of the cross, which is under the Law. But he who stands near him is the living Savior, the first in him, whom they seized and released, who stands joyfully looking at those who did him violence, while they are divided among themselves. Therefore he laughs at their lack of perception, knowing that they are born blind. So then the one susceptible to suffering shall come, since the body is the substitute. But what they released was my incorporeal body. But I am the intellectual Spirit filled with radiant light. He whom you saw coming to me is our intellectual Pleroma, which unites the perfect light with my Holy Spirit."
"These things, then, which you saw you shall present to those of another race who are not of this age. For there will be no honor in any man who is not immortal, but only (in) those who were chosen from an immortal substance, which has shown that it is able to contain him who gives his abundance. Therefore I said, 'Every one who has, it will be given to him, and he will have plenty.' But he who does not have, that is, the man of this place, who is completely dead, who is removed from the planting of the creation of what is begotten, whom, if one of the immortal essence appears, they think that they possess him - it will be taken from him and be added to the one who is. You, therefore, be courageous and do not fear at all. For I shall be with you in order that none of your enemies may prevail unto you. Peace be to you, Be strong!"
When he (Jesus) had said these things, he (Peter) came to himself.
 
Lakini kwa upeo wa kawaida kabisa Jesus Christ asingeweza kuishi maisha yake yote duniani bila kuoa...ikizingatiwa tamaduni za kale mtoto wa kiume lazima uoe mapema ili kulinda maadili ya jamii...Warumi hawakupenda kufichua siri ya maisha ya mke wa Yesu kwa lengo mahususi....Lengo lao kubwa lilikuwa kuanzisha useja katika mfumo wa kanisa(Katoliki) na ndo maana waliedit biblia kuondoa vipengele ambavyo vilionekana vingehatarisha maslahi binafsi ya Dola ya Rumi....Jiulize kwanini Martin Luther mwanzilishi wa Lutheran church aliruhusu mapadri na watumishi wengine wa kanisa waoe?..Ni kwasababu walijua kabisa hata Yesu mwenyewe alioa na kuzaa watoto...Galilei Galileo alihukumiwa adhabu ya kifo na utawala wa Kirumi kwa kusema ukweli kuwa Dunia ina umbo la duara na siyo flat kama ilivyokuwa inasemwa na kanisa la Roma...ila Kanisa liliomba radhi mbele ya ulimwengu kuwa liliongopa na mabaki ya Galilei yalizikwa upya kwa heshima na taratibu za kanisa...Hivyo kunavitu vingi vinavyoendana na Bible pamoja kanisa kwa ujumla vilihujumiwa na Roman Empire
 
Lakini kwa upeo wa kawaida kabisa Jesus Christ asingeweza kuishi maisha yake yote duniani bila kuoa...ikizingatiwa tamaduni za kale mtoto wa kiume lazima uoe mapema ili kulinda maadili ya jamii...Warumi hawakupenda kufichua siri ya maisha ya mke wa Yesu kwa lengo mahususi....Lengo lao kubwa lilikuwa kuanzisha useja katika mfumo wa kanisa(Katoliki) na ndo maana waliedit biblia kuondoa vipengele ambavyo vilionekana vingehatarisha maslahi binafsi ya Dola ya Rumi....Jiulize kwanini Martin Luther mwanzilishi wa Lutheran church aliruhusu mapadri na watumishi wengine wa kanisa waoe?..Ni kwasababu walijua kabisa hata Yesu mwenyewe alioa na kuzaa watoto...Galilei Galileo alihukumiwa adhabu ya kifo na utawala wa Kirumi kwa kusema ukweli kuwa Dunia ina umbo la duara na siyo flat kama ilivyokuwa inasemwa na kanisa la Roma...ila Kanisa liliomba radhi mbele ya ulimwengu kuwa liliongopa na mabaki ya Galilei yalizikwa upya kwa heshima na taratibu za kanisa...Hivyo kunavitu vingi vinavyoendana na Bible pamoja kanisa kwa ujumla vilihujumiwa na Roman Empire

Hapa unachakachua..kuhusu Galileo, kwasababu hujui kanisa lilipoanzia.

Paulo na petro na yohana na eliya mtishbi, hawakuoa mke.
Swala la kuoa Paulo kalijadili vizUri. Ni swala binafsi zaidi. Hats hao mapadre wanajitoa kama sadaka wakiahidi kutokuoa. Watoto wao na familia yao inakua ni kanisa.

Kuhusu Jesus christ, Hata kama wewe ni mwislamu imani hiyo haisemi kama YESU alioa. So hata kama bibilia waliibadili na koran yako pia waliibadili.

But In case your an atheist, basi utakua mpenzi ww kusoma conspiracy.

Kwakuwa watu wanaamini ngono ni tamu sana wanadhani si rahisi MTU kukataa kuoa kwa hiyari. Kila kitu kinawezekana chini ya jua.

Mpaka Leo mapadre hawaoi. Na utawala wa rumi Umekufa siku nyingi. So hii hoja kuwa warumi haina mashiko.

Luther alioa alipoondoka ukatoliki. Lakini hakuoa ndani ya ukatoliki.

Pia swala la kuoa na kutokuoa haliwalengi waumini wa kikatoliki. Bali viongozi wao.
So hakuna ujanja wowote hapo.
 
sio hayo tu alitoa theory za helcopter, robotics ( alimtengenezea princess wa kifaransa robot ya mbwa inayotembea yenyewe), alii invent war machines etc he was the most important and intelligent being infact jesus alikua hamfikii hata nusu uyu jamaa kwa intelligence!!!

Mkuu acha kuchemsha,
YESU ni mkuu kuliko unachotaka kueleza hapa. Hana ulinganifu na "katunisti" Davinci.

Yesu kristo Walimwita majina mengi hapa duniani great teacher, great man , great prophet.

YESU kupitia matendo yake mema na ya huruma na knowledge yake hapa duniani ambayo imeweza ku inspire wengi, tangu miaka 2000 iliyopita.

Ukiangalia Buddha, Zoaraster, Confucious, Muhamadans wanamchukulia YESU kama the most profound religion leader in the world history.

Yesu ni historical figure world wide. Hata great scholars wanalitambua hilo. Hata uwe atheists namna gani utakuwa na very weak arguments kupingana na
Ukuu alionao Yesu kristo hapa duniani.

na katika kuichanganua historia ya dunia hii ili ieleweke vyema

Dunia ya Leo tunaigawa sehemu mbili. Before Christ (BE) ama Anno Domini AD) latin name lenye maana ya "Year of Our lord".

Either unataka kupekua BC/AD labels, you must find, The birth of Jesus Christ has always been a dividing line in history.

Also nobody can deny the fact that every leader of every major religion on the world has confronted a historical Jesus Christ.

Muslims recognise Jesus as a prophet,
Buddhists regards Jesus as a "Bodhisattva" (a perfect enlightened being who vows to help others)

Hindu tradition called Jesus. A guru who learned yogic meditation in India.

Judaism regards Jesus as an exceptional rabbi who elevated to a deity by gentiles.

To make life simple
. Jesus of Nazareth has many followers than the rest of all.
Jesus has many followers than a "Cartonist Davinci."

YESU alichora mchangani watu wakajiona Wana dhambi wakakimbia bila kumpiga mawe yule mwanamke mzinzi waliompelekea YESU amhukumu. Chezea YESU wewe...?

Ningekushauri acha kumlinganisha YESU na wakina Charles hebdo.. Wa Italia.
.YESU kafanya Makubwa kuliko da Vinci.
Raise a dead into a life, feed thousands with bread and fish, executed judgement walipompelekea Malaya ili
Amhukumu., tembea juu ya maji, turned water into wine , teaching, daktari wa kuponya watu, kwa uchache . Jesus is a great philosopher.
Historian inakiri kuwa maendeleo ya dunia yamekuwa ya kasi sana duniani ndani ya muda mfupi tu baada ya YESU kristo kuliko uko nyuma kabla ya kuja kwa bwana YESU.

His life legacy remains till today. It helps the majorities to become good citizens of the world.
 
Mkuu acha kuchemsha,
YESU ni mkuu kuliko unachotaka kueleza hapa. Hana ulinganifu na "katunisti" Davinci.

Yesu kristo Walimwita majina mengi hapa duniani great teacher, great man , great prophet.

YESU kupitia matendo yake mema na ya huruma na knowledge yake hapa duniani ambayo imeweza ku inspire wengi, tangu miaka 2000 iliyopita.

Ukiangalia Buddha, Zoaraster, Confucious, Muhamadans wanamchukulia YESU kama the most profound religion leader in the world history.

Yesu ni historical figure world wide. Hata great scholars wanalitambua hilo. Hata uwe atheists namna gani utakuwa na very weak arguments kupingana na
Ukuu alionao Yesu kristo hapa duniani.

na katika kuichanganua historia ya dunia hii ili ieleweke vyema

Dunia ya Leo tunaigawa sehemu mbili. Before Christ (BE) ama Anno Domini AD) latin name lenye maana ya "Year of Our lord".

Either unataka kupekua BC/AD labels, you must find, The birth of Jesus Christ has always been a dividing line in history.

Also nobody can deny the fact that every leader of every major religion on the world has confronted a historical Jesus Christ.

Muslims recognise Jesus as a prophet,
Buddhists regards Jesus as a "Bodhisattva" (a perfect enlightened being who vows to help others)

Hindu tradition called Jesus. A guru who learned yogic meditation in India.

Judaism regards Jesus as an exceptional rabbi who elevated to a deity by gentiles.

To make life simple
. Jesus of Nazareth has many followers than the rest of all.
Jesus has many followers than a "Cartonist Davinci."

YESU alichora mchangani watu wakajiona Wana dhambi wakakimbia bila kumpiga mawe yule mwanamke mzinzi waliompelekea YESU amhukumu. Chezea YESU wewe...?

Ningekushauri acha kumlinganisha YESU na wakina Charles hebdo.. Wa Italia.
.YESU kafanya Makubwa kuliko da Vinci.
Raise a dead into a life, feed thousands with bread and fish, executed judgement walipompelekea Malaya ili
Amhukumu., tembea juu ya maji, turned water into wine , teaching, daktari wa kuponya watu, kwa uchache . Jesus is a great philosopher.
Historian inakiri kuwa maendeleo ya dunia yamekuwa ya kasi sana duniani ndani ya muda mfupi tu baada ya YESU kristo kuliko uko nyuma kabla ya kuja kwa bwana YESU.

His life legacy remains till today. It helps the majorities to become good citizens of the world.

Good analysis, wengi wamefunguka na maelezo yako mkuu.
 
wengi wamekosa hoja na kuanza kujadili udini....jadilini kuhusu huy da vinci
 
kwa kweli Eiyer na IronLady no offense ila mmetuchanganyia madesa na kutuharibia uzi huu
Kwa mtazamo wangu nafikiri lengo la uzi huu lilikua nikumjadili Leonardo Davinci na mitazamo yake na ubunifu wake ila nyie mmeenda mbali mpaka mkapoteza uelekeo wa uzi si semi hoja na majadiliano yenu hayana maana hapana sema hayausiani na maada ya msingi ambayo ni kumjadili leonardo. Na sio mabishano yenu ya mistari ya Biblia na madhehebu.
Mmetupa wakati mgumu sie wengine wa kupata muunganiko mzuri wa michango ya baadhi wadau waliojikita kwenye mada ya leonardo
Please next time mkiona malubambano yenu yamenoga kiasi ya kwamba yanaama kwenye topic ya msingi basi ni vizuri mkafungua uzi wenu.
MY TAKE
Hata mi wameniudhiii wanayobishania upuuzi tu ,,badala wajadili picha na alieichora wameanza kujadili menginee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom