Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,380
Kwanini ni lazima?
Yesu alisema "mimi ndio njia ya kweli na uzima,mtu haji kwa baba ila kwa mimi"
Kwanini unadhani nahitaji dhehebu?
umenibana kwenye kona. ila nitachomoka
kwa asili ya ukristo huku kwetu afrika kuzijua habari hizi lazima utakuwa ni muumini wa moja kati ya madhehebu ambapo utakuwa umesoma biblia.
najua utasema umemjua yesu kupitia biblia ambayo haina dhehebu. sawa sitakataa ila kwetu sisi hata hiyo biblia na mafunzo yake mostly ni kupitia makanisa. huwezi niambia from no where umeanza kusoma tu biblia peke yako nyumbani kwako kama hujajishikiza katika dhehebu fulani la ukristo.