Hahahaaa, kuheka mwachi mambo lene mazuri, Somo tulindilile mwaka uida, wanavyonaNangu nimumi kwali wako, ingung'alaboka ya korosho somo!!
Huyu hafai hata kwa kupigia deki, hawa ndio waliochafua nchi wakati wa Vasco Dagama!! Hawezi endana na kasi ya Magu, alibebwa bebwa na shemeji yake mkwere!Umepewa kiasi gani Kwa ajili ya promo utugawiee na siee jombaaaa!
"Mapungufu yote yaliyojitokeza lawama zije kwangu"!.Very humbled!mimi siyo ccm babu. lakini hilo siyo excuse ya kutowakubali maccm wote. mfano Januari namkubali.
Ameolewa Hutu.
Nakumbuka siku aliyoapishwa na jk alikua amevaa jinguo la ajabu. Alipohamia mjini mbona hata wa mjini walimheshimu....
Tatizo la watu wa Corridor hawatak mbegu za kichaga wizi wizi,chinga wako real sanaMkuuu hao Southern Corridor waskie tuuuuuu!
Jiulize kwanini Gesi ilitoka kwa Vifarru?
Halafu jiulize kwanini Mrahaba wa juzi juzi wa KOROSHOW ulitoka kwa Vitisho vya Mitama ya JWTZ? Nenda na CV ujaribu Dangote pale uje na mrejesho
Ikitokea wakapata Dhahabu kama iliyopo Nyamongo kule Tarime hakwanani mwisho wetu Kibiti sio wa CUF wala wa CCM wakiamua lao wameamua sio maslahi ya Taifa bali Corridor yao. Anyway msalmie Nappe
Yule lazima ajue kuchamba maana ni mswahili piwa. Nyumba aliyokulia iko Mikindani na inazama wakati maji yakijaa. Nauliza tena Ghasia kaolewa au nitupe ndoana?Mama anajua kuchamba balaa ana mdomo balaa
Madudu yaliyofanyika akiwa tamisemi, ulikuwa mnufaika?Ni katika mizunguko ya hapa na pale katikati ya Jiji nikakutana na huyu mama.
Nikampiga jicho mara tatu. mama bado chuma kabisa. she is a mother. so cool. reading between lines mama amejaa hekima sana na kwaa kweli Baraza la Mawaziri la Jamhuri linamuhitaji.
Kama awamu ya tano imemuweka kando tuseme ishaallah Awamu ya Sita imurudishe Barazani mapema tu.
Kila zama na vitabu vyake,Kama awamu ya tano imemuweka kando tuseme ishaallah Awamu ya Sita imurudishe Barazani mapema tu.
Yule lazima ajue kuchamba maana ni mswahili piwa. Nyumba aliyokulia iko Mikindani na inazama wakati maji yakijaa. Nauliza tena Ghasia kaolewa au nitupe ndoana?
AmeolewaYule lazima ajue kuchamba maana ni mswahili piwa. Nyumba aliyokulia iko Mikindani na inazama wakati maji yakijaa. Nauliza tena Ghasia kaolewa au nitupe ndoana?