FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,127
- 40,799
Taka zimetapakaa hovyo kila sehemu wakati dustbin zipo, watu wamekaa hovyo hovyo kama wapo kijiweni, yaani pako hovyo hovyo...
Tuvumiliane mkuu acha dharau, hata ninyi mlitoka familia zenuTaka zimetapakaa hovyo kila sehemu wakati dustbin zipo, watu wamekaa hovyo hovyo kama wapo kijiweni, yaani pako hovyo hovyo...
Vijana wa mikoani bwana, vitu vidogo unaumia roho utadhani wewe ndie mmiliki! .......kule kijijini kwenu wanajisaidia vichakani na kujisafishia majani.Taka zimetapakaa hovyo kila sehemu wakati dustbin zipo, watu wamekaa hovyo hovyo kama wapo kijiweni, yaani pako hovyo hovyo...
SawaTaka zimetapakaa hovyo kila sehemu wakati dustbin zipo, watu wamekaa hovyo hovyo kama wapo kijiweni, yaani pako hovyo hovyo...
Ustaarabu ni ustaarabu tu, hata kama kijinini hakuna super market, hicho kisiwe kisingizio cha kuleta umbwa umbwa sehemu zilizostaarabikaVp kule Kijijini kwenu kuna super market?
Sahihi!Ustaarabu ni ustaarabu tu, hata kama kijinini hakuna super market, hicho kisiwe kisingizio cha kuleta umbwa umbwa sehemu zilizostaarabika
Ningekuwa wewe ningeenda kuona na au kupiga picha ili kukamilisha storyBila ya picha huu uzi ufutwe tafadhali
Kama wewe ni mfagiaji hapo rudi, chattle' braza'....waache watoto wafurahi sikukuu yao.Ustaarabu ni ustaarabu tu, hata kama kijinini hakuna super market, hicho kisiwe kisingizio cha kuleta umbwa umbwa sehemu zilizostaarabika
Majitu kama haya ni ya kuchapa makofi lipumbavu sanaJing* sana hili jamaa. Linaumia utadhani hapo ni nyumbani kwake Kolomije! Wakati wafanyabiashara humo ndani wakafurahia kufanya biashara.
Quality plaza inakufa kibudu, ipo karibu na mbagala, si muende huko?!Tatizo la waekezaji...
Wameweka Mlimani City moja tuu miaka yote hiyoo...
Hivi hakuna muwekezaji anayetaka liwekeza Moli huku Mbagala kwetu ili sikukuu tuache kwenda kuwachafulia Moli yao....
Halafu muwekezaji mwingine awekeze swimming puli kubwaaa hukuhuku Mbagala tuache kwenda coco bichi kubakwa na wakodisha matairi khaa....!
Wawekezaji tafadhali mkuje Mbagala.