Pamoja sanaNa mwakani lazima JF itoe mwakilishi/wawakilishi mjengoni na serikalini
miss neddy yuko kijiwe fulani hivi...nnavyomjua wifi yangu hawezi kutoka pale
Habibty wako anasema ruhsa ya kwenda huko katoa nani? Au miss neddy?
Kama ni hivo sawa.....itabidi wawe wanawasiliana sio unajidai upo kwa miss neddy kumbe upo kwa miss chagga
Habibty wako anasema ruhsa ya kwenda huko katoa nani? Au miss neddy?
Imekuwaje nimemsahau kabanga kiwatengu Viol MUSSOLIN ladyfurahia farkhina Jerrymsigwa ....nitaendelea kukumbuka Wengine kadiri burudani wine itakavyonituma
mpwa wangu masai dada watu8 Daudi Mchambuzi ....server bado inaload speed iko low lakini pia kuna MziziMkavu Tyta mwana mpotevu jukwaani Mamndenyi Mentor
ha ha ha.. unajua wengine tumezaliwa karibu na msituni!!
Najua ishu ya Betty R.I.P na Stories za wachumba wa JF zimeteka jukwaa lakini pia kuna mtifuano wa Lara moko na yule mwingine nikimkumbuka takwambia
ukishika panga mkono mmoja na jiwe mkono mwingine lazma mtu akae...
ulivotaja habibty umenikumbusha mapenzi ya kizenji. zamani kidogo niliseviwa jina hilo kwenye simu yake