Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,431
- 271,924
Ila kweli aliyoyasema ,Maana Tanzania Ina kila maliasili madawati tu shida wanakaa chini ,ndege wataweza Nunua Kama dawati la 150000 limeshindikana
MH LEMA hamung'unyi maneno .
Ila kweli aliyoyasema ,Maana Tanzania Ina kila maliasili madawati tu shida wanakaa chini ,ndege wataweza Nunua Kama dawati la 150000 limeshindikana
Wajinga ni nyie muhuni kama LEMA anawadanganya kuwa anawakomboa.
Lema huruma hiyo kwa serikal umeanza lini? Au ndo tuelewaje...
Huyu (Lema) ni miongoni mwa wabunge wanaosaka umaarufu. Hivi ni shule gani imekosa madawati au ni hospitali gani imekosa vitanda?Akichangia katika kamati ya matumizi ya bajeti ya wizara ya uchukuzi, mh: lema amedai kuwa serikali inaonewa kwa jukum zito la kununua ndege za serikali kwa kuwa serikali ieshindwa hata kununua madawati mashuleni, vitanda mahospitalini na n.k.
Wana jf ninyi mnaonaje kauli hii ya mhe: lema kwamba serikali inaonewa kwa kupewa jukum zito la kununua ndege za ATCL wakati kuna vitu vingi vyenye ghalama ndogo havijanunuliwa?
Ni kweli haeleweki huyu msaka tonge. Not as you do thinking that he used literary language. This guy is as Ignorant as the most of the UKAWA.Hujamuelewa lema hiyo ni lugha ya kifasihi zaidi alikuwa anawashangaa wabunge kuishupalia serikali inunue ndege wakati hata madawati imeshindwa. Maana viongozi ni negativere thinker kuwapa jukumu la ndege ni kuwaonea coz they are tired.
Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.
Lema huruma hiyo kwa serikal umeanza lini? Au ndo tuelewaje...
Zile picha bado zina msumbua Lema kamamchezo hako nadhani kana mpashida
Kuna jamaa anaitwa msalani, na rafiki yake lizabonikweli mkuu...wasome hata hapo juu..
Huyu (Lema) ni miongoni mwa wabunge wanaosaka umaarufu. Hivi ni shule gani imekosa madawati au ni hospitali gani imekosa vitanda?
mengine umejitaidi, lakini hili la kufananisha na kenya umekuwa to local! Je sisi na kenya tuna fanana kiuchumi?Lema hana uwezo wa kujenga hoja ikajengeka, labda vioja: Kumbuka hivi majuzi, Kenya Airways, imenunua Ndege mbili aina ya B777-300ER zenye uwezo wa kubeba abiria 400 kila moja. Lema anataka kusema nchi jirani ya kenya hakuna changamoto za HOSPITALI wala ELIMU? Je Kenya hakuna changamoto zozote za Kimaisha? Ifike mahali LEMA ache ujinga, wakati anaongea bungeni awaze kabla, asije akadhani kuongea bungeni ni kama anaongea na wahuni wenzie.
Mkuu sijasema LEMA anunue madawati, ila ninamaanisha hivi, Kama Mbunge anapaswa kuelewa Pesa za Posho anazolipwa ni mojawapo ya fedha ambazo zingetakiwa zielekezwe kwenye maendeleo. Kwa vile kazi ya Mbunge ni kuikosoa serikali, Mbona hatukuwahi kumsikia akiikosoa serikali kuhusu hili la Posho za wabunge?
Kuna jamaa anaitwa msalani, na rafiki yake lizaboni
It's ver true, serikali iliyoshindwa hata kununua vidonge vya panadol kwa baadhi ya zahanati zake vijijini, leo hii unaipachika jukumu zito la kununua madege ya Boeing 767, ni serikali ya aina hiyo ya ubabaishaji itaweweseka tu!!Akichangia katika kamati ya matumizi ya bajeti ya wizara ya uchukuzi, mh: lema amedai kuwa serikali inaonewa kwa jukum zito la kununua ndege za serikali kwa kuwa serikali ieshindwa hata kununua madawati mashuleni, vitanda mahospitalini na n.k.
Wana jf ninyi mnaonaje kauli hii ya mhe: lema kwamba serikali inaonewa kwa kupewa jukum zito la kununua ndege za ATCL wakati kuna vitu vingi vyenye ghalama ndogo havijanunuliwa?
Siyo ngono peke yake anayowaza bali huyo Komba pia anatamani sana kurudi 'nyumbani' kwake msituni kwenda kuungana na wanyama wenzake akina tumbili, nyani na ngedele!!![]()
Inasemekana huyu jamaa ana ubongo mdogo sana kama wa kuku, mara zote anawaza ngono tu!
Mkuu, hivi wewe unaishi sayari ya Mars?!Huyu (Lema) ni miongoni mwa wabunge wanaosaka umaarufu. Hivi ni shule gani imekosa madawati au ni hospitali gani imekosa vitanda?
Huyu (Lema) ni miongoni mwa wabunge wanaosaka umaarufu. Hivi ni shule gani imekosa madawati au ni hospitali gani imekosa vitanda?