Lema: "Serikali inaonewa"

Lema: "Serikali inaonewa"

Hapana, Lema alisema
bila kumung'unya maneno, kama serikali imeshindwa kununua madawati
itaweza kununua ndege? na akasema tatizo ni kuwa viongozi hawafikiri
''postively".

lema anajua kuwa wahun wenzake hawana haja na ndege lkn taifa haliwez kukaa bila ndege.
 
Mkuu usiongee vitu ambavyo huna uhakika navyo. Jamaa anapiga kilevi kama kawa. Mbaya zaidi mpaka cha Arusha anavuta.

' MTUKUFU ' LEMA ama waweza muita PROPHET au ukipenda MWAMBA WA KASKAZINI , tangu alipofanikiwa kukifuta CHAMA CHAKAVU PALE ARUSHA Amejijengea heshima kubwa NDANI NA NJE YA NCHI !
 
' MTUKUFU ' LEMA ama waweza muita PROPHET au ukipenda MWAMBA WA KASKAZINI , tangu alipofanikiwa kukifuta CHAMA CHAKAVU PALE ARUSHA Amejijengea heshima kubwa NDANI NA NJE YA NCHI !

Jamaa anapiga kilevi kama kawa. Mbaya zaidi mpaka cha Arusha anavuta.
 
Hongera jembe langu serikali dhaifu ya ccm imeshindwa kuleta maendeleo uwizi kila siku ni aibu serikali kukosa hata ndege moja hongera mbunge wangu godbless lema
 
Akichangia katika kamati ya matumizi ya bajeti ya wizara ya uchukuzi, mh: lema amedai kuwa serikali inaonewa kwa jukum zito la kununua ndege za serikali kwa kuwa serikali ieshindwa hata kununua madawati mashuleni, vitanda mahospitalini na n.k.

Wana jf ninyi mnaonaje kauli hii ya mhe: lema kwamba serikali inaonewa kwa kupewa jukum zito la kununua ndege za ATCL wakati kuna vitu vingi vyenye ghalama ndogo havijanunuliwa?


Sikujua kwamba kuna watanzania wenye uwezo mdogo kiasi cha kushindwa kuelewa ujumbe huu!

kwa msaada kidogo ni kwamba, kama baba hawezi nunua sufuria na baiskeli, akiambiwa anunue gari ni kumuonea!
Kwa lugha nyingine kama anao uwezo wa kununua gari basi kukosa sufuria ndani ni wendawazimu!
 
Kwani lema kakosea nini. Je si kweli kuwa serikali ya mkwele inaonewa Kwa kupewa majukumu makubwa kiasi hicho? Kenya air ways ina ndege za abiria 266 ikiwa na dream liner 6 . Sasa serikali ya mkwele ina discuss angalau dash 8 mbili tu. SaSa sijui unataka tuipambe vipi ili ufurahi kwa mapungufu makubwa namna hiyo na kumbuka hawajakubali kununua wanasuasua oho tukubali madeni kwanza oh bajeti ijayo sijui . To hell.
Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.
 
Zile picha bado anatembea nazo na ukimuomba tu anakupa. Akili yake bado haijatulia. Hakuna alichoongea zaidi ya kuweweseka tu

we jamaa unapenda sana kujifananisha na Mh Lema!! lema yeye ni Mbunge wa arusha Mjini!!!! ww na ID yako fek ni mpiga porojo wa Lumumba!!!
 
Jamaa anapiga kilevi kama kawa. Mbaya zaidi mpaka cha Arusha anavuta.

Acheni matusi jengeni hoja kauliza kama serikali imeshindwa kutengeneza madawati ili hali tuna misitu ya kutosha na tunasafirisha magogo kweli itaweza kununua ndege za air toto confusion ATC? jaribuni kujenga na kutetea hoja hicho ndicho kipimo cha great thinker as wise ni ujinga kutumia lugha chafu hapa jamvini
 
lemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalelemalema
lemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalemalelemalemalemalema
lemalemalemalemalemalemaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeema
 
hiyo ni lugha ya kifasih,kipengele ch matumiz ya lugha upande wa tamathali za semi ambayo ni kejeli,hivyo kitaalam hapo kuna ujumbe mzito na panahitaj ukomboz wa fikra il kupaelewa.

Asante mkuu! vijana wengi wanafikiria kidogo sana! nadhani umeelewesha vizuri!
 
Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.

Nyie CCM ndio mnatakiwa mfnaye hivyo badala ya kuwalaghai wanachi km kina kinana na nape wanvyofanya. kwa nini usipeleke muswada bungeni wa kupunguza maposho na ununuzi wa mashangingi ili hivyo vitu ulivyotaja vipatikane? Nyie si ndio wenye maamuzi bwana? hata Lema akileta si mtaipiga chini hoja?
 
lema anajua kuwa wahun wenzake hawana haja na ndege lkn taifa haliwez kukaa bila ndege.
Unamtindio wa ubongo, pole sana!hata hivyo sio kosa lako, walaumu wazazi wako walioendekeza pombe badala ya kukupeleka shule!
 
Lema ni jembe ulaya tumuombee uzima kamanda wetu viva chalii wa chugachugaa
 
Back
Top Bottom