Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,335
Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.
Sasa,asipopokea pisho yeye atajikimu vipi pale dodona,jua kwamba nae ana mahitaji,labda ujitolee kumlipia hotel,chakulana mahitaji muhimu ilu aachie posho