Lema: "Serikali inaonewa"

Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.

Una akili ya pichu
 
Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.

We. ke. nge. maji kweli. hizoposho, anaziiba au ni sitahiki yake?.
 
Hoja ya mheshimiwa Lema ni kwamba, serikali ya CCM imeshindwa kununua madawati je inaweza kununua ndege kwa ajili ya ATCL?

Lema hana uwezo wa kujenga hoja ikajengeka, labda vioja: Kumbuka hivi majuzi, Kenya Airways, imenunua Ndege mbili aina ya B777-300ER zenye uwezo wa kubeba abiria 400 kila moja. Lema anataka kusema nchi jirani ya kenya hakuna changamoto za HOSPITALI wala ELIMU? Je Kenya hakuna changamoto zozote za Kimaisha? Ifike mahali LEMA ache ujinga, wakati anaongea bungeni awaze kabla, asije akadhani kuongea bungeni ni kama anaongea na wahuni wenzie.
 
Lema ana ufahamu mdogo sana, labda tumuulize ile Chopa alipiganayo picha ipo wapi.
Unaweza kumlinganisha Lema na yule ustaadh Musa Chande wa Liwale? soma habari yake hapa!
Mahakama ya Wilaya ya Liwale, Lindi imemhukumu Mussa Chande kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 11 anayesoma darasa la nne Shule ya Msingi Kawawa.

Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Liwale, Eric Ruhumbiza alimtia hatiani mshtakiwa kwa kosa hilo chini ya Kifungu namba 130 na 131 vya Sheria ya Makosa ya Kujamiiana (Sospa) ya mwaka 1998.

Ruhimbiza alisema Mahakama imeridhishwa na ushahidi uliowasilishwa na upande wa mlalamikaji mahakamani hapo na kumtia hatiani pasi na shaka yoyote mshtakiwa kwani ushahidi uliotolewa na shahidi namba tano ambaye ni binti aliyebakwa ambaye alitoa maelezo ya maumbile na viungo vya siri vya mtuhumiwa ulitosheleza.

Awali, Mwendesha Mashitaka wa Polisi, PC Josephat alisema mshtakiwa alitenda kosa hilo Mei 8, mwaka huu saa nne asubuhi ndani ya Msikiti wa Kawawa, Liwale jirani kabisa na shule anayosomea mwanafunzi huyo.

Alisema mshtakiwa alimchukua mtoto huyo na kumwingiza msikitini, sehemu wanayosalia wanawake na kumlaza chini na kumvua nguo huku akimfunika kwa kanga usoni.

Aliieleza Mahakama kuwa ms
htakiwa huyo kabla ya kumbaka, alimwekea Kitabu kitukufu cha Quran kichwani na kumwambia kuwa kwa aya anayomsomea, akimweleza mtu kitu atakachomfanyia atageuka kipofu.

Alisema jambo hilo lilifahamika baada ya mfanyabiashara katika na eneo la shule hiyo kutilia shaka nyendo za mwalimu huyo wa dini kuingia kwenye msikiti upande wa wanawake na kutoka kila mara kuchungulia nje.

Alisema mfanyabiashara huyo alipofuatilia, alikuta mwanafunzi huyo akitoka msikitini huku akilia na alipomhoji alimweleza kilichojiri ndipo alipoomba msaada kwa wanawake waliokuwa jirani.

Alisema wanawake hao walimchukua na kumwogesha kisha wakampeleka hospitalini. Alisema uchunguzi ulipofanyika katika eneo la tukio, mbegu za kiume zilionekana pamoja na kanga.

Mwendesha mashtaka aliiomba Mahakama impe adhabu kali mshtakiwa kwani
licha ya tendo ovu la kumbaka na kumdhalilisha mtoto huyo, aliudhalilisha Uislamu na kitabu kitakatifu cha Quran kufanikisha uhalifu wake.

Chanzo; Mwananchi

===========
https://www.jamiiforums.com/habari-...83-mbaroni-kwa-kumnajisi-mtoto-msikitini.html
 
Lema hana uwezo wa kujenga hoja ikajengeka, labda vioja: Kumbuka hivi majuzi, Kenya Airways, imenunua Ndege mbili aina ya B777-300ER zenye uwezo wa kubeba abiria 400 kila moja. Lema anataka kusema nchi jirani ya kenya hakuna changamoto za HOSPITALI wala ELIMU? Je Kenya hakuna changamoto zozote za Kimaisha? Ifike mahali LEMA ache ujinga, wakati anaongea bungeni awaze kabla, asije akadhani kuongea bungeni ni kama anaongea na wahuni wenzie.
Kumbe unakubaliana na hoja ya Lema kwamba Vipaumbele vya serikali ya CCM sio kuleta maendeleo na ndio maana imeshindwa kununua madawati, na kamwe haitaweza kununua ndege!
 
Nikikosa mchango wa Lema huwa naumia sana. Jf isingekuwa imejaza vilaza wa Lumumba hoja hii ingejadiliwa kwa hoja kwa zaidi ya mwaka.
 
Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.


We wa ajabu kweli yaani, akili zako zako hazina akili. Sasa ataamrishaje posho zake ziende kunnunua madawati ya shule au kuamrisha mkopo wake wa shangingi uemnde kujenga dispensary!! Atakua anatumia kanuni gani, au unataka upate cha kusema kwamba anajioendekeza? Kua na akili japo kidogo wewe. Kila kitu kina mpango wake!!
 
Kumbe unakubaliana na hoja ya Lema kwamba Vipaumbele vya serikali ya CCM sio kuleta maendeleo na ndio maana imeshindwa kununua madawati, na kamwe haitaweza kununua ndege!

Mkuu kwahiyo na wewe unaamini kuwa KENYA waliponunua ndege kubwa aina ya B777-300ER , hawana changamoto zozote za ELIMU, AFYA etc?
 
Mkuu kwahiyo na wewe unaamini kuwa KENYA waliponunua ndege kubwa aina ya B777-300ER , hawana changamoto zozote za ELIMU, AFYA etc?
Vipaumbele vyao vipo kuinua uchumi wao na sio kufuja mali ya umma na kuendekeza ufisadi kama wa serikali ya CCM!
 
View attachment 160723
We wa ajabu kweli yaani, akili zako zako hazina akili. Sasa ataamrishaje posho zake ziende kunnunua madawati ya shule au kuamrisha mkopo wake wa shangingi uemnde kujenga dispensary!! Atakua anatumia kanuni gani, au unataka upate cha kusema kwamba anajioendekeza? Kua na akili japo kidogo wewe. Kila kitu kina mpango wake!!
 
Lema oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee UKAWA juuuuuuuuuuuuuu Tanganyika ileeeeeeeeeeeeeee Chama cha Mapinduizi chiniiiiiiiiiiiiiiii Chini Chini kabisa!!!!!!!!!
 
Hoja ya LEMA iko hivi: Hatuna haja ya kununua Ndege kwa sababu tuna changamoto za ELIMU na AFYA.
Hapana, Lema alisema bila kumung'unya maneno, kama serikali imeshindwa kununua madawati itaweza kununua ndege? na akasema tatizo ni kuwa viongozi hawafikiri ''postively".
 
Ama kweli,katika watu wanaoongoza humu jamvini kwa uzezeta mmoja wapo ni huyu mbulukenge chooni.,yaani kweli analinganisha shirika marehemu na kenya airways???M..... ni m..... tu.(Nyonyonyo nyonyonyo nyonyonyo)
 
Iwe isiwe Hoja ya Lema ni valid.
NA SI AJABU MADEGE YAKAJA NA BAADAE KIDOGO YAKABINAFSISHIWA WAJANJA WALIOUBUNI MRADI.Time never lied!
 
Huo ni ukweli Wala sio Siri japo sisi watanzania mtu akikosoa jambo la kweli huwa adui. Watoto wanakaa chini mashuleni, akina mama wajawazito wanalala mzungu wa nne wodini, sasa Leo tulaumu kushindwa kununua ndege inayogarimu mabilioni ya fedha.
 
Back
Top Bottom