Komba: CHADEMA hawana ofisi bali wana kitundu tu pale kinondoni
unaijua ofis ya tanu iliyoikomboa nch hii,tatizo sio ofis ni uwezo wa watu kutenda.
Komba: CHADEMA hawana ofisi bali wana kitundu tu pale kinondoni
lema ni wakulaumu anajua kabisa ccm imejaza matoyoyo halafu anatumia lugha ngumu kiasi hicho unategemea watamwelewa si ndiyo maana wanaporomosha matusi hawa intarahamwe...
kweli mkuu ndo maana hata elim wanaiua il waendelee kueneza ujinga na watawale kirahis
Huyu anawaza vitundu tuu....si unaona ...
Lema mmoja ni sawa na MAGAMBA 5O.
Lema mmoja ni sawa na MAGAMBA 5O.
![]()
Inasemekana huyu jamaa ana ubongo mdogo sana kama wa kuku, mara zote anawaza ngono tu!
Hoja ya mheshimiwa Lema ni kwamba, serikali ya CCM imeshindwa kununua madawati je inaweza kununua ndege kwa ajili ya ATCL?Wajinga ni nyie muhuni kama LEMA anawadanganya kuwa anawakomboa.
Akichangia katika kamati ya matumizi ya bajeti ya wizara ya uchukuzi, mh: lema amedai kuwa serikali inaonewa kwa jukum zito la kununua ndege za serikali kwa kuwa serikali ieshindwa hata kununua madawati mashuleni, vitanda mahospitalini na n.k.
Wana jf ninyi mnaonaje kauli hii ya mhe: lema kwamba serikali inaonewa kwa kupewa jukum zito la kununua ndege za ATCL wakati kuna vitu vingi vyenye ghalama ndogo havijanunuliwa?
Akichangia katika kamati ya matumizi ya bajeti ya wizara ya uchukuzi, mh: lema amedai kuwa serikali inaonewa kwa jukum zito la kununua ndege za serikali kwa kuwa serikali ieshindwa hata kununua madawati mashuleni, vitanda mahospitalini na n.k.
Wana jf ninyi mnaonaje kauli hii ya mhe: lema kwamba serikali inaonewa kwa kupewa jukum zito la kununua ndege za ATCL wakati kuna vitu vingi vyenye ghalama ndogo havijanunuliwa?