Lema: "Serikali inaonewa"

Lema: "Serikali inaonewa"

Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.

Posho ni stahiki yake na familia yake hayo unayoyaainisha ni majukumu ya serikali ya chama chako kichovu ....kiazi mkubwa choo wee
 
Akichangia katika kamati ya matumizi ya bajeti ya wizara ya uchukuzi, mh: lema amedai kuwa serikali inaonewa kwa jukum zito la kununua ndege za serikali kwa kuwa serikali ieshindwa hata kununua madawati mashuleni, vitanda mahospitalini na n.k.

Wana jf ninyi mnaonaje kauli hii ya mhe: lema kwamba serikali inaonewa kwa kupewa jukum zito la kununua ndege za ATCL wakati kuna vitu vingi vyenye ghalama ndogo havijanunuliwa?

ni kweli kabisa kama umeshindwa kitu Kosovo tu vp itawezaje kikikubwa?
 
Mh. Lema! ccm hawata zielewa falsafa nzito kama hizi! cha kufanya tuindoe madarakan tuwafundishe kwa vitendo. viva lema
 
Back
Top Bottom