Lema: "Serikali inaonewa"

Lema: "Serikali inaonewa"

mimi ni kada wa ccm lakini lema namkubali sana anamisimamo yake inayosaidia ccm tufanye maendeleo jimbo la arusha mjini
 
Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.

Mkuu nadhani serikali kutoa posho za wabunge na usafiri sio kikwazo cha kutimiza wajibu wake kutoa huduma kwa walipa kodi wa nchi hii hakuna sheria ya mbunge kutumia posho yake kwa huduma za jamii ikiwa hivyo waambie waalimu, madaktari watoe mishahara yao kununua dawa na madawati. LAZIMA SERIKALI ITIMIZE WAJIBU WAKE KWA UMMA.
 
Hapana mkuu, nakubaliana na wewe kabisa kuwa Lema si msomi ila ni inteligent. Nchi hii ingekuwa na watu inteligent kama Mh LEMA watoto wetu wasingekosa madawati, wake zetu wasingezalia chini kwa uhaba wa vitanda. Kwa maana kama usomi wenyewe ndo huu wa akina Muhongo, unaotutaka tufikiri kuuza juice tu, huoni kuwaambia wanunue ndege ni kuwaonea. utauza juice lita ngapi ili upate ndege? Dawa ni kuwaondoa wasomi wetu wanaowaza uwekezaji wa Juice na tuwaweke watu inteligent kama Mh LEMA watusaidie.

Lema tumeshamuweka Arusha mjini,Hebu tuambie kautumiaje huo "u-intelligent" wake!
 
unaijua ofis ya tanu iliyoikomboa nch hii,tatizo sio ofis ni uwezo wa watu kutenda.
msimami, imebidi ni-login nikupe like.
Hii misukule ya ccm dhaifu sana kichwani..... wanadhani majengo ndio uongozi!
Halafu huyo kilema wa akili anam-qoute Komba! hivi komba nae ni mtu wa kuwa quoted kwenye habari muhimu?
 
Last edited by a moderator:
Akichangia katika kamati ya matumizi ya bajeti ya wizara ya uchukuzi, mh: lema amedai kuwa serikali inaonewa kwa jukum zito la kununua ndege za serikali kwa kuwa serikali ieshindwa hata kununua madawati mashuleni, vitanda mahospitalini na n.k.

Wana jf ninyi mnaonaje kauli hii ya mhe: lema kwamba serikali inaonewa kwa kupewa jukum zito la kununua ndege za ATCL wakati kuna vitu vingi vyenye ghalama ndogo havijanunuliwa?

For those who can read between lines, this was a great piece of tongue in cheek! CCM misery makes honorable Lema greater MP Philosopher of all times in the history Tanzanian parliament. Bravo Hon. Lema. Only GTs will understand what you were talking about.
 
Jana jioni, Lema na Mbowe walipokuja bungeni walikuwa wamesha lewa. Kwa waliyokuwa wakiyangea na walivyokuwa wa act wanaonesha wazi walitoka kuzibuka kabla ya kuja bungeni.
 
jana jioni, lema na mbowe walipokuja bungeni walikuwa wamesha lewa. Kwa waliyokuwa wakiyangea na walivyokuwa wa act wanaonesha wazi walitoka kuzibuka kabla ya kuja bungeni.

nadhani ulikuwa nao pamoja ila unawakana muda huu mkitoka nyumba ya wageni
 
Binafsi sioni km Mh. Lema kakosea ni ukweli huo. Mtoto anashindwa kubeba lita moja na nusu ya maji unampa abebe lita tano huko ni kumuonea kabisa.
 
Lema tumeshamuweka Arusha mjini,Hebu tuambie kautumiaje huo "u-intelligent" wake!
Mkuu hujui? kautumia kuiondoa CCM Arusha. Sasa mkuu, hivi unakubaliana na usomi wa akina Mwigulu wa kutumia mabomu kupambana na inteliigence ya Lema?. Atawasumbua sana bora mchukue ushauri wa Msomi wenu Muhongo mkatengeneze juice.
 
Huyu Mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa Shule hazina madawati, Hospitali hazina vitanda etc Mbona anapokea Posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea Milioni tisini ya shangingi? etc Godbless J Lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.
kweli ukiwa ccm lazima uwe mbumbumbu!yani kijana wa kiume hapo ndo unaona umechangia jf leo?inchi inaliwa hakuna madawati hakuna dawa hostptal watu wanakufa,wee unasema posho ya lema ndo ikafanye hayo!kweli msalani umenyewa mpaka umekua mjinga hivyo!!?mama zako dada zako wanajifungulia chini hakuna vitanda,lema ameikumbusha serkali hayo wee unaleta ushoga tu,unawaza mambo ya kijinga kama unataka kuolewa!shame on you!
 
Zile picha bado zina msumbua Lema kamamchezo hako nadhani kana mpashida
wewe nawe hujitambui utakua umevurugwa!huwezi jifananisha na kamanda lema!watu wanawaza maendeleo wanapigania watanzania wawe na maisha bora,wama wapate huduma bora hosptal,wewe unakalia ujinga.miaka 50ya uhuru hatukua na lami Arusha mjini,tumezipata lema alipokua mbunge,mpaka sasa anapigania hosptali ya mama na mtoto,wee bado unawaza uolewe!!.
 
Jana jioni, Lema na Mbowe walipokuja bungeni walikuwa wamesha lewa. Kwa waliyokuwa wakiyangea na walivyokuwa wa act wanaonesha wazi walitoka kuzibuka kabla ya kuja bungeni.
faiza uwongo unakusaidia nini?mana lema hatumii pombe sasa wee ulimuona anakunywa pombe ipi?yani unavyolewa wewe na kutumika gest basi ukajua kila mtu analewaga.
 
huyu mtu sijui ana akili ya wapi! Kama alijua kuwa shule hazina madawati, hospitali hazina vitanda etc mbona anapokea posho ambazo angeweza kuamrisha zielekezwe kwenye shuguli nyingine za maendeleo? Mbona alipokea milioni tisini ya shangingi? Etc godbless j lema , na wabunge walalamikaji aina yake ni wanafiki na wanapoteza sifa za kuongoza wananchi kila uchao.
mijtu mingine bwana ndukumu big
 
wewe nawe hujitambui utakua umevurugwa!huwezi jifananisha na kamanda lema!watu wanawaza maendeleo wanapigania watanzania wawe na maisha bora,wama wapate huduma bora hosptal,wewe unakalia ujinga.miaka 50ya uhuru hatukua na lami Arusha mjini,tumezipata lema alipokua mbunge,mpaka sasa anapigania hosptali ya mama na mtoto,wee bado unawaza uolewe!!.
Na Machinga Complex bado anaipigania?
 
faiza uwongo unakusaidia nini?mana lema hatumii pombe sasa wee ulimuona anakunywa pombe ipi?yani unavyolewa wewe na kutumika gest basi ukajua kila mtu analewaga.
Mbona unatumia nguvu kubwa sana kumtetea Lema? Mpaka unatukana watu ovyo?
 
faiza uwongo unakusaidia nini?mana lema hatumii pombe sasa wee ulimuona anakunywa pombe ipi?yani unavyolewa wewe na kutumika gest basi ukajua kila mtu analewaga.
Mkuu usiongee vitu ambavyo huna uhakika navyo. Jamaa anapiga kilevi kama kawa. Mbaya zaidi mpaka cha Arusha anavuta.
 
Jana jioni, Lema na Mbowe walipokuja bungeni walikuwa wamesha lewa. Kwa waliyokuwa wakiyangea na walivyokuwa wa act wanaonesha wazi walitoka kuzibuka kabla ya kuja bungeni.

Wewe kweli JIKE LA MBEGU! break ya mchana tu tayari kwako ulikuwa mda tosha kuwalewesha wanaume 2 ngono. By bunge linamalizika utakuwa umeshawalewesha ngono wabunge wote.
 
Back
Top Bottom