It's ver true, serikali iliyoshindwa hata kununua vidonge vya panadol kwa baadhi ya zahanati zake vijijini, leo hii unaipachika jukumu zito la kununua madege ya Boeing 767, ni serikali ya aina hiyo ya ubabaishaji itaweweseka tu!!
Ni jambo ambalo ni next to impossible, kuona nchi kubwa kama TZ, iliyosheheni utajiri wa kila aina wa rasilimali tulizojaaliwa na Mungu, kama vile madini ya uranium, dhahabu, tanzanite, almasi na madini mengine mengi yenye thsmani, na pamoja nchi yetu kujaaliwa kuwa na gesi nyingi sana pamoja na mafuta, lakini ni jambo linaloshangaza kupita kiasi kuona nchi yetu shirika letu la Taifa la ndege la ATCL likiwa halina hata ndege hata moja, nchi jirani kama Rwanda, ambbako ni kanchi kadogo sana kenye eneo dogo sana linalofanana na mkoa wetu mmoja tu wa Singida, na kanchi ambacho hakina rasilimali zozote kilichojaaliwa na Mungu, kanchi hako kanatushinda kwa kwa kuwa na ndege zaidi ya nne wakati sisi tuna ndege ZERO!!!!
mkuu Rwandaair walikuwa na ndege 12 mwaka 2012 sijui kwa sasa hivi. shida yetu ni uongozi mbovu tuu.