Lema, Nassari kufunika kesho Arusha!!!

Lema, Nassari kufunika kesho Arusha!!!

wewe ni ---- ndo maana unaleta uchuro.cdm ndio habari ya mujini sio tu arusha hata hapa kwetu simiyu,ramadi,bariadi,dutwa,maswa na maeneo ya jirani,tunamshambulia shetani ccm kwa kwenda mbele

Tawire baba....Baambie, baaelewe hao..
 
Mkuu Ritz
Duuhh!!! supu ya ulimi na viroba!! Kweli akili za makamanda zinahitaji msaada; ni wazi Lema anaongoza vichaa!! Hivi hao hawana sehemu nyingine ya kufanya mikutano ni Arusha tu???

Hizi tungo zenu za kila leo zimeshapitwa na wakati..
 
Last edited by a moderator:
umekubali kuwa kibaraka wa wachaga, ni hatari sana.Itatuchukua muda mrefu sana wasukuma kujitambua na kujisimamia,tutaendelea kuwa matambala ya hawa konokono hadi tutakoma

Inakuuma sana....Nabado...Chadema inatwanga kotekote...Hatubakizi hata panya..
 
nasari na lema mfuasi wa siasa nyepesi.
Ni yepi ya msingi wamewafanyia watu wa arusha ambayo ccm walishindwa au hawakuyafanya?
Cdm mnaelekea kaburini, hamna muda mrf.

Mpaka unatia huruma jamani khaaa......Subiri moto unakuja..
 
Hakuna Jipya watakalolileta kama kawaida yao, sana sana Mipasho tu, wananchi wa Arusha wameshawachoka hawa wahuni.

Mbona ccm kwenye huo mkutano tunaoarifiwa hamkupata eatu?kama unataka kutuambia ccm inapendwa.subiri tuone matokeo ya mkutano wa leo wa CDM ndipo tupate uhakika wa kauli yako .usipende porojo mitandaoni
 
Mbona ccm kwenye huo mkutano tunaoarifiwa hamkupata eatu?kama unataka kutuambia ccm inapendwa.subiri tuone matokeo ya mkutano wa leo wa CDM ndipo tupate uhakika wa kauli yako .usipende porojo mitandaoni

mkuu nitaweka video clip uone aibi waliyoipata ccm jana mtu 23...
 
Riz kila siku unadai uko arusha vipi sembe unauzia mtaa gani?
Halafu mbona kwa wajomba zako singida usiwapelekee sembe vijana wa sepuka wakachangamka?
Nilikuwa singida wanakuulizia,yule dereva tax uliyempa mil 80 ya kale kakiwanja kake kahamasisha vijana na wazee wakuuzie ardhi yote wanakusubiri kule.
 
Unaongea au unalia...Mbona sikuelewi...Tumieni lugha ya Taifa jamani....

kwani tedo we ndo dada sweetlady mbona una kiherehere kama ndugu wa mume, acha kunya sehem unayotakiwa kujamba!!!
 
Last edited by a moderator:
kwani tedo we ndo dada sweetlady mbona una kiherehere kama ndugu wa mume, acha kunya sehem unayotakiwa kujamba!!!

Toa upumba.avu hapa....Kama ungetaka ungem-pm......? Unawazimu nini wewe....?
 
Last edited by a moderator:
Nimelala vizuri na wifi yako na sasa hivi nipo njiani kwenda kujenga taifa langu

Kwani Mingoi ni wa kiume!? Umebadili jinsia?

Hii sayansi itatupa shida sana!
 
Last edited by a moderator:
kwani tedo we ndo dada sweetlady mbona una kiherehere kama ndugu wa mume, acha kunya sehem unayotakiwa kujamba!!!

Maneno yako yanaonesha jinsi ndugu wa mumeo wanavyokupa shida!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom