Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,905
- 28,061
Walaghai wamebakiwa na eneo moja tu,Arusha
Unahaha....Na bado...Chadema ni level ingine..
Walaghai wamebakiwa na eneo moja tu,Arusha
Mwezi uliopita nilikuwa Arusha nakaamua kwenda kujichanganya vijiwe vya Chadema maeneo ya Unga Limited.
Nikakuta vijana wanasimuliana kuhusu Lema wanasema Chadema wakiingia madarakani kila kijana atapewa Toyo nne na kulipwa mshahara kila mwezi.
Mimi nikajifanya mwenzao nikawambia Chadema wakichukuwa nchi vijana wote wa Arusha watakuwa mabilionea wale vijana wakaniambia bro! Wewe kweli ni kamanda tunakuheshimu sana, mie sikutaka kuaacha wapweke maana kesho yake asubuhi nilikuwa nasafiri, nikaamua kuwanunulia supu ya ulimi na viroba walishangilia sana wakaanza kuniita mimi eti bilionea.
Kesho asubuhi makamanda wanakuja Kibo Palace Hotel kuniulizia wanaambiwa jamaa kaondoka asubuhi makamanda walisikitika sana.
Cc; chama THE BIG SHOW
am getting stature against your name my fellow lady, r u sure that u got such taste that ur claiming to av my beautiful mermaid????
nimepita hapo stadium ccm wanakata mauno kama wanalalwa..
Unadhani ukiwahidi watu viroba unategemea wasijae uwanjani?kesho nadhani bakuri lenu utasaidia kuizungusha ili kuongeza mapato ya chama
Magamba wakisikia makamanda watatoa elimu ya uraia wanabaki macho juu maana wanajua speed ya kifo chao inaongezeka!
M/mungu ahimidiwe ! yaan kwa kweli mlijivika ngozi ya kondoo na tukawaamini kiasi cha kutaka kuwapa nchi hivi hivi, sijui tungeponea wapi ? kumbe huu ndio ulikuwa muda wa SLAA na MBOWE kuanza kujirejeshea fedha walizowekeza ndani ya chama_mimi nilijua ni UZALENDO kumbe ni biashara na sasa ndio ilikuwa muda wa KUVUNA (wana SACCOS mnajua mambo ya mboga mboga)-na MSHUMBUSI anajinasibu acha watanue wamesota sana na kuwekeza sana chamani-kweli misukule ni misukule tu
Sasa kama wananchi wa Arusha wameichoka chadema, iweje mkutano wa magamba upate watu 25 tu???? Wakati mwingine utumiage akili kidogo.
Dada tedi ebu tuambie kati ya Lema na Nassari nani ataangua vifaranga vya kutosha kesho.Huwa wanaharisha mbayaaa....!!!
Makala Jr-kaka mi nakujua sana uwezo wako na uzalendo wako kwa nchi hii tukiachilia mbalimbali mambo ya ufuasi na ninajua mtazamo wako kihalisia-vijana hawa wanahangaika na MAISHA TU kaka na wala hawana uwezo wa kujenga hoja kufikia kuogopwa, mim ningetamani kusikia sasa wanaendesha SEMINA kwa vijana ili wawe WAJASILIA MALI wazuri kwsbb kama ni KURA tayar wamempa_sasa anaenda kuwatia ubwege tu kwa kuwagawia viroba na na nin-hatuwasidii watanzania kwa namna hiyo bro_tuache ku-capitalise kwenye ujinga wa wananchi wetu-katika kipindi ambacho CCM wana relux kuliko kipindi chochote ni kipindi hiki ambapo Chama kimepoteza mwelekeo na kuweka TRUST kwa watu ambao tabia yao na uwezo wa kufikiri unajulikana sana-hapa ni ISSUE za UKANDA TU ndo zinawabeba vijana hao
Ulisahau kitu kimoja Ritz, Ungewanunulia UGORO na GOMBA wangekusindikiza kwa TOYO mpaka AIRPORT...mm vijana wa CHADEMA Arusha nawajua vizuri!
mwezi uliopita nilikuwa arusha nakaamua kwenda kujichanganya vijiwe vya chadema maeneo ya unga limited.
Nikakuta vijana wanasimuliana kuhusu lema wanasema chadema wakiingia madarakani kila kijana atapewa toyo nne na kulipwa mshahara kila mwezi.
Mimi nikajifanya mwenzao nikawambia chadema wakichukuwa nchi vijana wote wa arusha watakuwa mabilionea wale vijana wakaniambia bro! Wewe kweli ni kamanda tunakuheshimu sana, mie sikutaka kuaacha wapweke maana kesho yake asubuhi nilikuwa nasafiri, nikaamua kuwanunulia supu ya ulimi na viroba walishangilia sana wakaanza kuniita mimi eti bilionea.
Kesho asubuhi makamanda wanakuja kibo palace hotel kuniulizia wanaambiwa jamaa kaondoka asubuhi makamanda walisikitika sana.
Cc; chama the big show
Hahahaahaaaaa dah!! Mkuu yegella umenichekesha sana haswa haya majamaa nikivuta picha na mauno ya olesendeka kama vile wanapigwa kitu chenye ncha tamu...tehe tehe teheeeee
Cc: Simiyu Yetu
Haaha haa ha haaa haaa!!
Mkuu usinivunje mbavu zangu.
Eti "kitu chenye ncha tamu"......Teh teh teh...Mkuu hebu wacha kunitengua mbavu zangu...
Hahahaahaaaaa dah!! Mkuu yegella umenichekesha sana haswa haya majamaa nikivuta picha na mauno ya olesendeka kama vile wanapigwa kitu chenye ncha tamu...tehe tehe teheeeee
Cc: Simiyu Yetu
Unaongea au unalia...Mbona sikuelewi...Tumieni lugha ya Taifa jamani....