Lema, Nassari kufunika kesho Arusha!!!

Lema, Nassari kufunika kesho Arusha!!!

Hakuna Jipya watakalolileta kama kawaida yao, sana sana Mipasho tu, wananchi wa Arusha wameshawachoka hawa wahuni.

Vipi watu 23 wanawapenda ccm...? Utaisoma namba ya CDM kwa mbaali.... Chadema tunachanja Mbugaaaaaa kama faru......

Magamba endeleeni kujitekenya na kujichekesha kama maduanz...
 
Kwani mkutano wa ole sendeka na chatanda walikuwa na mpya gani? Mbunge kuongea na wapiga kura wake na kuwapa mrejesho wayaliyojiri bungeni ni haki yake ya msingi

Kwani LEMA na huyo Muhuni Mwenzake wataongea nini cha maana zaidi ya kusema Zitto ni MSALITI? sana sana Lema ataelezea umuhimu wa Posho kwa wabunge teh teh teh!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Arusha Mna wabunge wawili tu halafu mnajifananisha na CCM? Eti Arusha ni ngome ya CHADEMA...acheni kupotosha Umma, Najua LEMA na Nassary wameshajipanga kununulia vijana viroba ili wawashangilie wakati wanamwaga Pumba na matusi jukwaani!

Wacha bana...!!!!!! Unachekesha kweli gamba wewe......Kesho utapata update moto moto....Stay tuned gamba..
 
Vipi watu 23 wanawapenda ccm...? Utaisoma namba ya CDM kwa mbaali.... Chadema tunachanja Mbugaaaaaa kama faru......

Magamba endeleeni kujitekenya na kujichekesha kama maduanz...
NGOME ina wabunge wawili tu?
 
Wamewachoka kwa kuwachagua au? Maana ni juzi tu wamepanda majukwaani na kuchukua kata nne muhimu. Toa hoja na ushahidi kuhusu kuchokwa kwao. Vinginevyo unashinda msalani na kutabiri mambo ya barazani.

Wachana na huyo gamba kesha vurugwa to the maximum point...
 
Umeandika kimbea mbea sana...... Andika kama mwanaume uliyestaarabika ili ujibiwe kistaarabu pia!...... Huu umbea ulioandika hapa kama vile unaimba taarabu hutajibiwa .... Samahani sana mkuu![/QUOTE

hayo ndio makosa yenu-hampendi mtu kutofautiana na ninyi, SLAA alipogonga LIKES kwenye posts zinazomkashifu ZZK na wakati Yeriko na SAA 9 wakimkashifu kiongozi mkubwa wa chama watu wote walikaa kimya, ZZT aliposema ukiona KIFARANGA juu ya CHUNGU jua mama yake yupo chini_mkaanza oh anashindwa kutumia forums za Chama kuwasilisha madai yake na blaaaa blaaa nyingi-ninyi bado vijana sana msikubali kutumika hivyo_why double standards? ni UOGA MAISHA TU AU NINI?
 
Hakuna Jipya watakalolileta kama kawaida yao, sana sana Mipasho tu, wananchi wa Arusha wameshawachoka hawa wahuni.


Hivi nawe leo ulikuwepo kati ya wale wakata viuno 25 pale stadium bar post?
Kha ha ha ha ha haaaaaaa! Eti Chama cha Demokrasia na Maendeleo hawana jipya? Umeona mafisadi ndiyo wana jipya katika miaka 52 ya uhuru tuliyonayo?

Nakuomba Mwenyenzi MUNGU mwingi wa Rehema akitujalia kesho fanya uwezavyo fika kiwanja tajwa na ujionee mwenyewe usije ukasema haikuwa hivi ama hivi.
 
Back
Top Bottom