Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Oh salala!!!
Last edited by a moderator:
Mungi heshima yako mkuuMkuu huku tunaita Ngaleloo
Mwezi uliopita nilikuwa Arusha nakaamua kwenda kujichanganya vijiwe vya Chadema maeneo ya Unga Limited.
Nikakuta vijana wanasimuliana kuhusu Lema wanasema Chadema wakiingia madarakani kila kijana atapewa Toyo nne na kulipwa mshahara kila mwezi.
Mimi nikajifanya mwenzao nikawambia Chadema wakichukuwa nchi vijana wote wa Arusha watakuwa mabilionea wale vijana wakaniambia bro! Wewe kweli ni kamanda tunakuheshimu sana, mie sikutaka kuaacha wapweke maana kesho yake asubuhi nilikuwa nasafiri, nikaamua kuwanunulia supu ya ulimi na viroba walishangilia sana wakaanza kuniita mimi eti bilionea.
Kesho asubuhi makamanda wanakuja Kibo Palace Hotel kuniulizia wanaambiwa jamaa kaondoka asubuhi makamanda walisikitika sana.
Cc; chama THE BIG SHOW
sema arusha mjini, sio arusha yote wanataka huu uhuni wa kununuliwa viroba na kushangilia ujinga!
SIFA ZA MAKAMANDA WA CHADEMA,
1. Kuwa mtiifu kwa mboe na slaa
2. kubali chochote wakisemacho hata kama utumbo
3. usijaribu kuhoji matumizi ya ruzuku kama chacha wangwe
4.mchukie kila anayechukiwa na mboe pamoja na slaa
5.usifungue mdomo pale unapoona katiba inakiukwa na demokrasi ndani ya chama ikiminywa
itaendelea
hahahahaaaa hii thread inanichekesha sana.....ko watu ni mwendo wa kununuliwa viroba tu hahaaaa
Vifaranga wa Ufipa wanakideli
Hiyo ndo singo mpya ya Lumumba boys baada ya kupata buku 7 za kuingia studio ya JF kurekodi.
Contena la milungi lishafika?Baada ya ccm kuambulia watu 23 kwenye mkutano wao wa leo maeneo ya uwanja wa stadium bar ... Mkutano ambao wananchi wa arusha wameufananisha na kikao cha send off....
Pole nyingi kwa Ole sendeka na Mary Chatanda manake wamekuwepo eneo la mkutano toka sa 5 asubuhi bila kuambulia watu wa kuwahutubia! Kilichoshuhudiwa ni wacheza ngoma wakikata mauno ili kuwavutia watu bila mafanikio....... Hii ndio Arusha bwana peoplessssssss ndio habari ya wakaazi wa arusha!!! Hii maana yake ni kwamba arusha bila ccm inawezekana / ilishawezekana!
Chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kitafanya mkutano mkubwa kwenye uwanja wa Ngarenaro kesho kuanzia saa 10 jioni...... Wasemaji wakuu ni makamanda wetu wa ukweli Godbless Lema, Nassari Joshua, Nanyaro Ephata, Amani Golugwa pamoja na makamanda wengine wengi!
Kama kawaida kutakuwepo na makamanda watakaotupatia kwa ufasaha kinachoendelea kutoka eneo la mkutano (live bila chenga).......... Habari ziwafikie Mungi, Crashwise, Arushaone, Filipo, Ben Saanane, Fidel80, Erickb52, Masanilo na wengine wengi!
Kama kawaida arusha ni peoplessssssssss mwanzo mwisho!!
Nawasilisha!
SIFA ZA MAKAMANDA WA CHADEMA,
1. Kuwa mtiifu kwa mboe na slaa
2. kubali chochote wakisemacho hata kama utumbo
3. usijaribu kuhoji matumizi ya ruzuku kama chacha wangwe
4.mchukie kila anayechukiwa na mboe pamoja na slaa
5.usifungue mdomo pale unapoona katiba inakiukwa na demokrasi ndani ya chama ikiminywa
itaendelea
Alaah wamerekodia studio gani!!!!!!
hahhahaaa Siasani unajua sikujagi sa leo break ya kwanza kwenye hii thread nacheka sanaa
hahahahaaaa Ritz umenichekesha lol
asalaleee kuwanunulia supu ya ulimi na viroba wakakuita bilionea hahahahaa
Sifa kuu ya kuwa Gamba.
Ujipendekeze kwa familia ya Mkwele hasa Prince Riziwani.
Pili, hakuna mwanaccm anayejuwa kama ccm inapata ruzuku kubwa kuliko vyama vyote.
Tatu, usijaribu kuhoji pesa za kulaza magari zinavyotumika wala mapato ya viwanja vya umma vilivyoporwa na ccm kama Ccm Kirumba.
4. Hakuna umuhimu wowote kwa mwanaccm kuijuwa katiba ya chama, katiba yetu kuu ni ukitaka kura ni lazima uliwe kwanza. Tafsiri unavyoweza.
Huku ndo tunapolimwa maBAN afu tunaibuka na ID mpya kuwatongozeni MMU kule ili kupunguza stress.
umekubali kuwa kibaraka wa wachaga, ni hatari sana.Itatuchukua muda mrefu sana wasukuma kujitambua na kujisimamia,tutaendelea kuwa matambala ya hawa konokono hadi tutakoma
Saizi makamanda wamekusanyika makao mapya maskani yao wanapiga viroba wanajiandaa na mkutano.