Lema, Nassari kufunika kesho Arusha!!!

Lema, Nassari kufunika kesho Arusha!!!

Adhabu kwa mwana Chadema ukikiuka matakwa ya wenye chama
  • Kuvuliwa uanachama bila kujitetea
  • Kupigwa tofali la kichwa au sehemu yeyote mwilini itakayopelekea kufa haraka
  • Kungolewa kucha na meno
  • Kubambikiwa kesi au kutengenezewa ajali
  • Kuitwa msaliti na Bavicha a.k.a misukule a.k.a vifaranga na kukuchangia kutukana
  • Au adhabu zote tano hapo juu

halitasalia jiwe bila kupinduliwa,wasaliti wote tutawasafisha na kuwatupilia mbali.
 
Arusha Mna wabunge wawili tu halafu mnajifananisha na CCM? Eti Arusha ni ngome ya CHADEMA...acheni kupotosha Umma, Najua LEMA na Nassary wameshajipanga kununulia vijana viroba ili wawashangilie wakati wanamwaga Pumba na matusi jukwaani!

Unauhakika na unacho ongea we magamba.makamanda wa ukweli wamekubarika na wana A town.kaa chonjo.peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz ............
 
LiverpoolFC naona unafurahia kesho VIROBA, UGORO, GOMBA na GANJA sio kitu yakusema taratibu!


Mawazo ya mi.p..umb..avu kama wewe ndiyo hii hatutaki kuiona humu lakini unajitahidi tu. Nasikia mmepandishiwa malipo ya week mpaka imefika Tsh. 15elfu kwa post tatu tu.
 
Last edited by a moderator:
Joshua Nasary anajisikia sana. Kuna siku nlikuwa nao na washkaji zake, na washkaji zangu pale samaki samaki. Inshort hakuwa anawajua watu wengine, nyadhifa na hadhi zao katika hili tifa. Alivyofika pale akaslimia kila mtu pale samaki km ilivyo tabia yake akifika kwenye mkusanyiko anacot attention at any expense.

Tulivyokaa akatoa mara tablet, mara smart phones, akadominate kijiwe, story zote anazijua yeye. Aliponiudhi alimuona mshakaj ambae kimuonekano alikuwa janki akamwambia hebu samahan nchukulie vocha, mshkaji bila hiyana. Mara yule muhudumu wa samak alikuwa kw nyuma akamwambia tena mtu kwenye ile company ebu kamwambia yule dada amletee malimao ya kweny samak. Aliniudhi kwa sababu hakujua wale ni watu hajuani nao anadhan ni wapiga kura wa kawaida, kumbe mmoja ni Dr wa economic dept ya uchumi udsm. Nlitaman nimpige makofi anamtuma mwalim wangu.

Ila watu wa arusha wana dharau sana.
 
Joshua Nasary anajisikia sana. Kuna siku nlikuwa nao na washkaji zake, na washkaji zangu pale samaki samaki. Inshort hakuwa anawajua watu wengine, nyadhifa na hadhi zao katika hili tifa. Alivyofika pale akaslimia kila mtu pale samaki km ilivyo tabia yake akifika kwenye mkusanyiko anacot attention at any expense.

Tulivyokaa akatoa mara tablet, mara smart phones, akadominate kijiwe, story zote anazijua yeye. Aliponiudhi alimuona mshakaj ambae kimuonekano alikuwa janki akamwambia hebu samahan nchukulie vocha, mshkaji bila hiyana. Mara yule muhudumu wa samak alikuwa kw nyuma akamwambia tena mtu kwenye ile company ebu kamwambia yule dada amletee malimao ya kweny samak. Aliniudhi kwa sababu hakujua wale ni watu hajuani nao anadhan ni wapiga kura wa kawaida, kumbe mmoja ni Dr wa economic dept ya uchumi udsm. Nlitaman nimpige makofi anamtuma mwalim wangu.

Ila watu wa arusha wana dharau sana.
Tatizo watu kama nyie mnajihisi sana, asingesalimia ungeongea vilevile!

Halafu nifahamishe kuna nyadhifa gani kubwa hapa duniani zaidi ya ile ya kuchaguliwa!?

Nyie mliozowea kuteuliwa mna wivu sana!
 
ccm arusha imebaki jina la majambazi kwisha habari arusha hatutaki wahuni kama maccm chadema milele
 
Arusha Mna wabunge wawili tu halafu mnajifananisha na CCM? Eti Arusha ni ngome ya CHADEMA...acheni kupotosha Umma, Najua LEMA na Nassary wameshajipanga kununulia vijana viroba ili wawashangilie wakati wanamwaga Pumba na matusi jukwaani!
Majimbo ya Arusha yapo hivi Monduli Edward Lowasa (CCM),Longido,Michael Lekule Laizer(CCM),Ngoro Ngoro Kaika Saninga Telele(CCM),Arumeru Magharibi,Christopher Olle Medeye(CCM),Karatu, Mchungaji Israel Natse(Chadema)Arumeru Mashariki, Joshua Nasari(Chadema) na Arusha mjini, Mbunge wake ni Godbles Lema(Chadema), kwa hiyo unapokuja na Takwimu zisizo na Kichwa wala miguu jaribu kulitambua hili
 
Majimbo ya Arusha yapo hivi Monduli Edward Lowasa (CCM),Longido,Michael Lekule Laizer(CCM),Ngoro Ngoro Kaika Saninga Telele(CCM),Arumeru Magharibi,Christopher Olle Medeye(CCM),Karatu, Mchungaji Israel Natse(Chadema)Arumeru Mashariki, Joshua Nasari(Chadema) na Arusha mjini, Mbunge wake ni Godbles Lema(Chadema), kwa hiyo unapokuja na Takwimu zisizo na Kichwa wala miguu jaribu kulitambua hili
Majimbo ya Arusha yapo hivi
1.Monduli Edward Lowasa (CCM),
2.Longido,Michael Lekule Laizer(CCM),
3.Ngoro Ngoro Kaika Saninga Telele(CCM),
4.Arumeru Magharibi,Christopher Olle Medeye(CCM)

Mpaka hapo hujaona tofauti ?
 
Tatizo watu kama nyie mnajihisi sana, asingesalimia ungeongea vilevile!

Halafu nifahamishe kuna nyadhifa gani kubwa hapa duniani zaidi ya ile ya kuchaguliwa!?

Nyie mliozowea kuteuliwa mna wivu sana!

Argument yako huwez kuiprove kuwa asingesalimia ningesema the same. So is not scientifical.

Kuwa Dr wa uchumi sio nafasi ya kuchaguliwa has kwa chuo kama udsm, ni nafasi zinazotokana na maarifa, juhudi na akili.

Nassari akemewe, ni masikini aliepata ------ yake sasa yanalia mbata. How shame.
 
tedo ukiwa unaoga kisimani then chizi akaja akabeba nguo zako alafu ukatoka ukiwa nude nakuanza kumkimbiza nani ataonekana chizi????????? my friend si lazima ujibu kila ujumbe na sidhani kama ur qualifying being chadema member coz u dont worth it...ur so pessimist si kila anae post hapa ni gamba!!!
 
Last edited by a moderator:
Arusha Mna wabunge wawili tu halafu mnajifananisha na CCM? Eti Arusha ni ngome ya CHADEMA...acheni kupotosha Umma, Najua LEMA na Nassary wameshajipanga kununulia vijana viroba ili wawashangilie wakati wanamwaga Pumba na matusi jukwaani!

KAMA WAMEWANUNULIA VIROBA ,na wewe waongezee bangi ili kushangilia kunoge...
 
Argument yako huwez kuiprove kuwa asingesalimia ningesema the same. So is not scientifical.

Kuwa Dr wa uchumi sio nafasi ya kuchaguliwa has kwa chuo kama udsm, ni nafasi zinazotokana na maarifa, juhudi na akili.

Nassari akemewe, ni masikini aliepata ------ yake sasa yanalia mbata. How shame.

Unasumbuliwa na wivu wa kike
 
Joshua Nasary anajisikia sana. Kuna siku nlikuwa nao na washkaji zake, na washkaji zangu pale samaki samaki. Inshort hakuwa anawajua watu wengine, nyadhifa na hadhi zao katika hili tifa. Alivyofika pale akaslimia kila mtu pale samaki km ilivyo tabia yake akifika kwenye mkusanyiko anacot attention at any expense.

Tulivyokaa akatoa mara tablet, mara smart phones, akadominate kijiwe, story zote anazijua yeye. Aliponiudhi alimuona mshakaj ambae kimuonekano alikuwa janki akamwambia hebu samahan nchukulie vocha, mshkaji bila hiyana. Mara yule muhudumu wa samak alikuwa kw nyuma akamwambia tena mtu kwenye ile company ebu kamwambia yule dada amletee malimao ya kweny samak. Aliniudhi kwa sababu hakujua wale ni watu hajuani nao anadhan ni wapiga kura wa kawaida, kumbe mmoja ni Dr wa economic dept ya uchumi udsm. Nlitaman nimpige makofi anamtuma mwalim wangu.

Ila watu wa arusha wana dharau sana.
What is your point then....
 
adui yako ukimdhibiti kwa masumbwi mazito - basi jiangalia ataanza kutafuta mawe, mayai vinza n.m

Lema umewashiba pabaya CCM, watahaha kukuchafua ila wanatwanga maji kwenye kinu, wanapigana na ukuta, wanajaribu kukausha bahari kwa kuchota maji kwa kutumia ndoo ya lita 20.

Go Lema Goo.....
 
wanaenda KUJIOSHA JUU YA KASHIFA HATAREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE ya picha za...................
 
Back
Top Bottom