Lema ni aina ya watunwanaojiona smart sana.
Na sidhani kama hata amefanya chochote kwenye miaka yote 10 ya Ubunge zaidi ya madeni kibao mpaka akakimbia.
Ni mtu anajifanya ana uwezo wa kutengeneza pesa, hana shida ndogo ndogo lakini ukiamwangalia anatia huruma tu.
Siasa in pesa za bure bure, yaani ukikosana nafasi unakuwa Kama Mwehu kabisa.
Mfuatilie Sugu jinsi anavyohangaika, Mara Misuti yangu ilikuwa imezoea mjengoni, Mara niliporwa ushindi nitarudi tu🤣
Mwanasiasa kustaafu Ni mpaka AFE
Nakwambia nafuu hata Sugu ni mpambana from the beginning! Lema mwenyewe fani yake ni wizi wa magari! Lakini si unajua mwenzetu wa huko mlima mrefu mtu hata kama anamilioni 10 anaitwa bilionea! Kipindi kile ukiwa mbunge pale arusha na ile M4C yao aliona kayamaliza maisha saizi ndo hivo tena madeni mpaka matakoni! Dhambi ya wizi wa magari inamtafuna hajui kuwa mali ya wizi ni kama nguo ya kuazima!Lema ni aina ya watunwanaojiona smart sana.
Na sidhani kama hata amefanya chochote kwenye miaka yote 10 ya Ubunge zaidi ya madeni kibao mpaka akakimbia.
Ni mtu anajifanya ana uwezo wa kutengeneza pesa, hana shida ndogo ndogo lakini ukiamwangalia anatia huruma tu.
Siasa in pesa za bure bure, yaani ukikosana nafasi unakuwa Kama Mwehu kabisa.
Mfuatilie Sugu jinsi anavyohangaika, Mara Misuti yangu ilikuwa imezoea mjengoni, Mara niliporwa ushindi nitarudi tu🤣
Mwanasiasa kustaafu Ni mpaka AFE