Lema: Mshahara wa Mbunge ni Mdogo sana, 4000$ Kwa mwezi anazidiwa na vijana wanaofanya cryptocurrency

Lema ni aina ya watunwanaojiona smart sana.

Na sidhani kama hata amefanya chochote kwenye miaka yote 10 ya Ubunge zaidi ya madeni kibao mpaka akakimbia.

Ni mtu anajifanya ana uwezo wa kutengeneza pesa, hana shida ndogo ndogo lakini ukiamwangalia anatia huruma tu.

Siasa in pesa za bure bure, yaani ukikosana nafasi unakuwa Kama Mwehu kabisa.

Mfuatilie Sugu jinsi anavyohangaika, Mara Misuti yangu ilikuwa imezoea mjengoni, Mara niliporwa ushindi nitarudi tu🤣

Mwanasiasa kustaafu Ni mpaka AFE

Lema ni aina ya watunwanaojiona smart sana.

Na sidhani kama hata amefanya chochote kwenye miaka yote 10 ya Ubunge zaidi ya madeni kibao mpaka akakimbia.

Ni mtu anajifanya ana uwezo wa kutengeneza pesa, hana shida ndogo ndogo lakini ukiamwangalia anatia huruma tu.

Siasa in pesa za bure bure, yaani ukikosana nafasi unakuwa Kama Mwehu kabisa.

Mfuatilie Sugu jinsi anavyohangaika, Mara Misuti yangu ilikuwa imezoea mjengoni, Mara niliporwa ushindi nitarudi tu🤣

Mwanasiasa kustaafu Ni mpaka AFE
Nakwambia nafuu hata Sugu ni mpambana from the beginning! Lema mwenyewe fani yake ni wizi wa magari! Lakini si unajua mwenzetu wa huko mlima mrefu mtu hata kama anamilioni 10 anaitwa bilionea! Kipindi kile ukiwa mbunge pale arusha na ile M4C yao aliona kayamaliza maisha saizi ndo hivo tena madeni mpaka matakoni! Dhambi ya wizi wa magari inamtafuna hajui kuwa mali ya wizi ni kama nguo ya kuazima!
 
Nakwambia nafuu hata Sugu ni mpambana from the beginning! Lema mwenyewe fani yake ni wizi wa magari! Lakini si unajua mwenzetu wa huko mlima mrefu mtu hata kama anamilioni 10 anaitwa bilionea! Kipindi kile ukiwa mbunge pale arusha na ile M4C yao aliona kayamaliza maisha saizi ndo hivo tena madeni mpaka matakoni! Dhambi ya wizi wa magari inamtafuna hajui kuwa mali ya wizi ni kama nguo ya kuazima!
Na walivyo wapuuzi Samia ameshawamudu.

Kakutana na Lissu Ubelgiji.

Kakutana na Mbowe baada ya kumfutia kesi.

Sasa hata ukimwambia Mzungu eti unawindwa kuuawa huko nyumbani wanaona mpumbavu mmoja.

Na ndiyo maana, sasa hivi wanajaribu kutafuta VIJISABABU vya kuhalalisha ukimbizi wao.

Mostly, inaonekana mtu Kama Lema hakuwa amejiandaa na Maisha Nje ya Ubunge.
 
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini bwana Godbless Lema, katika Mazungumzo huko space twitter alisikika akikwambia Kitila Mkumbo kwamba mshahara wa mbunge ni Mdogo mno yaani ni 4000$ Kwa Mwezi hivyo aache Ubunge amfundishe cryptocurrency apate zaidi ya hiyo maana anazidiwa na vijana wanaoifanya.


Kumbe LEMA anasema mshahara wa mbunge Mdogo ama uongezwe

Britanicca
lema namkubali ila hapa anatuchanganya tuliyopigika.Arudi tupambane kuipigania haki.
 
Lema ni aina ya watunwanaojiona smart sana.

Na sidhani kama hata amefanya chochote kwenye miaka yote 10 ya Ubunge zaidi ya madeni kibao mpaka akakimbia.

Ni mtu anajifanya ana uwezo wa kutengeneza pesa, hana shida ndogo ndogo lakini ukiamwangalia anatia huruma tu.

Siasa in pesa za bure bure, yaani ukikosana nafasi unakuwa Kama Mwehu kabisa.

Mfuatilie Sugu jinsi anavyohangaika, Mara Misuti yangu ilikuwa imezoea mjengoni, Mara niliporwa ushindi nitarudi tu🤣

Mwanasiasa kustaafu Ni mpaka AFE
😂😂😂😂😂😂😂 Jongwe misuti wamepora title!
Jamaa alikuwa inspirational ila kwa sasa ushamba umemzidia na anazidi kujiharibia tu kwa watoto
 
Sijui ni watu kuelewa ama la!.

Kwa nilichomuelewa Lema, ni kuwa wale wanaofanya Crypto currency wana-earn more than what MPs earn monthly.

Kwamba, bila shaka kuna vijana wanafanya biashara ya sarafu mtandao ambao kipato chao kwa mwezi ni zaidi ya kipato apatacho Mbunge.

Haimaanishi kuwa kipato cha Mbunge ni kidogo na kinapaswa kuongezwa. La Hasha.

Ila bi kidogo kulinganisha na wapatavyo hao vijana wachache.
Unatetea ujinga

Je unapolinganisha kipato unaachaje kulinganisha na ukubwa wa kazi

Katika crypto currency ile ni biashara ambayo ina high risk ya kupoteza pesa na lengo kubwa ni kupata pesa sio kusaidia jamii kwahyo kufaidika ndio lengo kubwa

Je katika ubunge lengo kuu ni faida binafsi au kusaidia jamii hadi ionekane hyo ni pesa kidogi

Kila leo wananchi wengi wanalalamika mishahara na maposho wanayolipwa wabunge kuwa ni mzigo kwetu ila anatokea mtu anaendelea alipoishia

Na nikukumbushe hii sio mara ya kwanza kwa Lema kuona hyo pesa kidogo aliwah kuchangia kabsa bungeni kwa kutaka maslahi yaongezwe

Au hujui hlo hadi unatetea hyo kauli yake

Kifupi wanasiasa wengi wanafanana malengo iwe wa Chama tawala au upinzani lengo la kwanza ni kufaidika binafsi ndio wananchi wafate.
 
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini bwana Godbless Lema, katika Mazungumzo huko space twitter alisikika akikwambia Kitila Mkumbo kwamba mshahara wa mbunge ni Mdogo mno yaani ni 4000$ Kwa Mwezi hivyo aache Ubunge amfundishe cryptocurrency apate zaidi ya hiyo maana anazidiwa na vijana wanaoifanya.


Kumbe LEMA anasema mshahara wa mbunge Mdogo ama uongezwe

Britanicca

BANGE
 
Hujamuelewa lema, na hilo kalizuungumza toka wiki iliyopita jumatatu kwenye space, sijui kwa nn umelileta leo

Lema anachosema yeye sio kwamba alikua anataka apate ubunge ili apate pesa Kama walivyo wabunge wengi wa CCM

Yeye alitaka ubunge ili kutumikia watu, maana hiyo pesa ya ubunge kwa mwezi anaweza kuipata kwenye crypto
Je una uhakika Lema hajawahi kuongelea suala la kuongezwa kwa mshahara bungeni.
 
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini bwana Godbless Lema, katika Mazungumzo huko space twitter alisikika akikwambia Kitila Mkumbo kwamba mshahara wa mbunge ni Mdogo mno yaani ni 4000$ Kwa Mwezi hivyo aache Ubunge amfundishe cryptocurrency apate zaidi ya hiyo maana anazidiwa na vijana wanaoifanya.


Kumbe LEMA anasema mshahara wa mbunge Mdogo ama uongezwe

Britanicca
Nadhani alimaanisha wanaofanya biashara ya cryptocurrency wana earn more than what mbunge earns. Sidhani kama alimaanisha mshahara wa mbunge ni mdogo.

Kama alimwambia Kitila aache ubunge amfundishe how does the cryptocurrency works ni kumshawishi ajoin biashara anayoifanya, ama siasa tu.
 
Anasema ni pesa ndogo lakini alipambana kufa na kupona ili aupata huo mshahara mdogo.

Kaukosa mpaka leo ana kinyongo, anapambania time huru ya uchaguzi ili imsaidie kushinda apate huo mshahara mdogo
Kwahiyo Lema ni sawa na yule sungura wa "Sizitaki Mbizi Hizi!?" Ahahahahahahahah!!!
 
Back
Top Bottom