britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini bwana Godbless Lema, katika Mazungumzo huko space twitter alisikika akikwambia Kitila Mkumbo kwamba mshahara wa mbunge ni Mdogo mno yaani ni 4000$ Kwa Mwezi hivyo aache Ubunge amfundishe cryptocurrency apate zaidi ya hiyo maana anazidiwa na vijana wanaoifanya.
Kumbe LEMA anasema mshahara wa mbunge Mdogo ama uongezwe
Britanicca
Kumbe LEMA anasema mshahara wa mbunge Mdogo ama uongezwe
Britanicca