Umeboronga!Wezi wanataka kupewa nchi , Heche bado mshamba tu , anaona fahari kutembelea magari makubwa ..Washamba hawawezi kupewa nchi , yaani chama bado kinajikongoja ila mnafuja pesa kizembe . Mkurya anapiga mkwara mbuzi , halafu anatembea na bodyguards 😀 😀
Gentleman,Kwenye kikao unasimama na kuhoji usalama wa fedha za chama kisha unamnyooshea kidole moja kwa moja Heche kuwa anapiga pesa za chama.
Kwa kifupi ni kwamba huna imani na Heche. Baadae unapata uungwaji mkono kutoka kwa wenzio, yani kama script iliyokuwa imeandaliwa tayari.
Okay sawa, uhenda nia yako ni njema unataka uwajibikaji.
Kilichotushtua wengi ni kwamba, endapo unataka Heche ajiweke pembeni kwa ajili ya uchunguzi, unatarajia chama kiongozwe na nani wakati tayari mwenyekiti yupo jela?
Je, lengo ni kutoa nafasi kwa uchunguzi huru, kuleta mtu wa kusukuma maridhiano au kuna agenda nyingine ambayo hamjaiweka wazi?
Tangu ulipo-tweet kumkaribisha Nchimbi kujiunga na CHADEMA, kumekuwa na mijadala mingi kuhusu msimamo na mwenendo wako wa kisiasa.
Guys najua ni jambo la kuvunja moyo ila ukweli Lema ndio anaendesha mashambulizi dhidi ya Heche na kwenye kikao cha kamati yeye ndio alianzisha huu mjadala wa kutokuwa na imani na Heche. Hii nime-confirm ndio maana nimeona niliweke hapa mlijue.
Ujue nyie Chadomo ni wapumbavu sana na ndio maana hiyo saccos Hadi Leo hii inategemea mtu badala ya taasisi.Kwenye kikao unasimama na kuhoji usalama wa fedha za chama kisha unamnyooshea kidole moja kwa moja Heche kuwa anapiga pesa za chama.
Kwa kifupi ni kwamba huna imani na Heche. Baadae unapata uungwaji mkono kutoka kwa wenzio, yani kama script iliyokuwa imeandaliwa tayari.
Okay sawa, uhenda nia yako ni njema unataka uwajibikaji.
Kilichotushtua wengi ni kwamba, endapo unataka Heche ajiweke pembeni kwa ajili ya uchunguzi, unatarajia chama kiongozwe na nani wakati tayari mwenyekiti yupo jela?
Je, lengo ni kutoa nafasi kwa uchunguzi huru, kuleta mtu wa kusukuma maridhiano au kuna agenda nyingine ambayo hamjaiweka wazi?
Tangu ulipo-tweet kumkaribisha Nchimbi kujiunga na CHADEMA, kumekuwa na mijadala mingi kuhusu msimamo na mwenendo wako wa kisiasa.
Guys najua ni jambo la kuvunja moyo ila ukweli Lema ndio anaendesha mashambulizi dhidi ya Heche na kwenye kikao cha kamati yeye ndio alianzisha huu mjadala wa kutokuwa na imani na Heche. Hii nime-confirm ndio maana nimeona niliweke hapa mlijue.
Hakuna anayebisha shida ni kuhoji ubadhilifu wa fedha bila ya kuwa na namba(figure),fedha ni hesabu na namba Jamani....Siyo tuhuma tu za Jumla Jumla bila hata data kidogo zenye kutoa uelekeo wa ufuatiliaji wa tukio.Kwahiyo unataka Lema au mwanachama wa CDM wasihoji ubadhirifu wa fedha kisa kafanya Heche?
Hizo tabia za ki CCM zitaiua chadema.
Lema anampiga vita Heche. Anafanya kazi ya CCM.Porojo za mashoga na mapumbavu ya ccm yaliyoshikwa pabaya na chadema na bado mpaka mharishe utumbo, Heche na Lema shiria hapo hapo nguruwe mpaka wale mavi yao.
Maccm mnahangaika sana na Chadema, hizi propaganda zenu mfu zilishashindwa na zitaendelea kushindwa.Kwenye kikao unasimama na kuhoji usalama wa fedha za chama kisha unamnyooshea kidole moja kwa moja Heche kuwa anapiga pesa za chama.
Kwa kifupi ni kwamba huna imani na Heche. Baadae unapata uungwaji mkono kutoka kwa wenzio, yani kama script iliyokuwa imeandaliwa tayari.
Okay sawa, uhenda nia yako ni njema unataka uwajibikaji.
Kilichotushtua wengi ni kwamba, endapo unataka Heche ajiweke pembeni kwa ajili ya uchunguzi, unatarajia chama kiongozwe na nani wakati tayari mwenyekiti yupo jela?
Je, lengo ni kutoa nafasi kwa uchunguzi huru, kuleta mtu wa kusukuma maridhiano au kuna agenda nyingine ambayo hamjaiweka wazi?
Tangu ulipo-tweet kumkaribisha Nchimbi kujiunga na CHADEMA, kumekuwa na mijadala mingi kuhusu msimamo na mwenendo wako wa kisiasa.
Guys najua ni jambo la kuvunja moyo ila ukweli Lema ndio anaendesha mashambulizi dhidi ya Heche na kwenye kikao cha kamati yeye ndio alianzisha huu mjadala wa kutokuwa na imani na Heche. Hii nime-confirm ndio maana nimeona niliweke hapa mlijue.
Yes na maridhiano yataongozwa na Lissu na msaidizi wake Heche. Hakuna alternative nyingine.Hatutafanya Maridhiano yoyote bila Medieta (Mpatanishi).
Huu ndo Msimamo wa chama.
Nchi yoyote Duniani haijawahi fanya Maridhiano bila Medieta, Yaani #Msuluhishi au mpatanishi, Eidha kutoka #Sadc, kutoka Umoja wa Africa #African_Union (AU)
🗣️Kama wanania njema, Wakubali kumwachia #Lissu na Wakubali Uchunguzi ufanyike juu ya Mauaji yaliyofanyika Oktober 29, na waliouliowa watu wachukuliwe hatua, walioagiza Mauaji wawajibishwe alafu waruhusu Medieta aje, Tusuruhishe, tutunge Sheria, tutunge KATIBA, tuanze upya.
TUINGIE KWENYE MECHI AMBAYO UWANJA UNALINGANA ALAFU ZIPIGWE DAKIKA 90, WANANCHI WAAMUE.
John Heche See lessView attachment 3626131
Amini hakuna hela iliyoliwa ni mngongano na mpishano wa mitazamo yao tu juu ya namna ya kukiendesha chama katika hali na mazingira kinayoyapitia kwa sasa.Sasa wanaogopana kuelezana ukweli,wanataka kuchagua njia ya kuviziana kwa kutengenezeana shutuma zisizo na mashiko na za kitoto mno,ili kundi moja lipate fursa ya kupitisha mtazamo wa lenyewe iwapo kundi moja litadhoofika au kuanguka kabisa.Huajiamini kabisa, umeandika kama mtoto mdogo hapa.
Hili jambo mliache liende muda utaamua litaisha vipi, kuliko mnavyoendelea kulianzishia nyuzi ambazo haziji na majibu yoyote zaidi ya kuongeza maswali yasiyo na maana.
So, kwako kwasababu Heche ni kiongozi ndio hatakiwi kuchunguzwa kama akikosea? Kwako Heche akisimamishwa kupisha uchunguzi maana yake ndio Chadema kitakosa viongozi?!
Wale wakina Mnyika, na wengine nani kakwambia hawawezi kukiendesha chama?
Msimfanye Heche ajione malaika mnakosea, anatakiwa kujibu tuhuma zilizoelekezwa kwake, hilo sio kosa la Lema kama ndie anamshutumu, Heche ajibu maisha yaendelee.
Pumbavu, chadema sio ccm , chadema inasimamia haki , so kuhoji ni jambo zuri sana na sioni tatizo , unajua sio mda Chadema inachukua dola , kama ndivyo why wasikosoane pale penye mapungufuKwenye kikao unasimama na kuhoji usalama wa fedha za chama kisha unamnyooshea kidole moja kwa moja Heche kuwa anapiga pesa za chama.
Kwa kifupi ni kwamba huna imani na Heche. Baadae unapata uungwaji mkono kutoka kwa wenzio, yani kama script iliyokuwa imeandaliwa tayari.
Okay sawa, uhenda nia yako ni njema unataka uwajibikaji.
Kilichotushtua wengi ni kwamba, endapo unataka Heche ajiweke pembeni kwa ajili ya uchunguzi, unatarajia chama kiongozwe na nani wakati tayari mwenyekiti yupo jela?
Je, lengo ni kutoa nafasi kwa uchunguzi huru, kuleta mtu wa kusukuma maridhiano au kuna agenda nyingine ambayo hamjaiweka wazi?
Tangu ulipo-tweet kumkaribisha Nchimbi kujiunga na CHADEMA, kumekuwa na mijadala mingi kuhusu msimamo na mwenendo wako wa kisiasa.
Guys najua ni jambo la kuvunja moyo ila ukweli Lema ndio anaendesha mashambulizi dhidi ya Heche na kwenye kikao cha kamati yeye ndio alianzisha huu mjadala wa kutokuwa na imani na Heche. Hii nime-confirm ndio maana nimeona niliweke hapa mlijue.
Sawa, basi Heche akae pembeni kupisha uchunguzi. Mkutano mkuu uteue mwenyekiti wa muda.Pumbavu, chadema sio ccm , chadema inasimamia haki , so kuhoji ni jambo zuri sana na sioni tatizo , unajua sio mda Chadema inachukua dola , kama ndivyo why wasikosoane pale penye mapungufu
Kwani kiongozi bora akiwa na tuhuma haswa za ubadhilifu anapaswa kufanya nini?Kwa hiyo Heche akae pembeni kupisha uchunguzi ili mumuweke nani awe mwenyekiti?
Hivi mnajiona ninyi ni smart sana eeh?
lema bana tulia boya weweKumshabulia Lema kwa kutoa shutuma dhidi ya matumizi mbaya ya rasilimali za chama kwenye mkutano halali wa chama ni kutomtendea haki.
Ni wajibu wa kila mwanachama kulinda na kutetea mali za chama husika na siyo cdm tu ni vyama vyote ipo hivyo.
Ingekuwa vibaya kama angetoka na kwenda kulisema nje kwenye vikao na wana habari.
Tuvute subira ili tuone nini kamati kuu itachukua hatua gani.
Hivi chadema wanahela zipi?Kwenye kikao unasimama na kuhoji usalama wa fedha za chama kisha unamnyooshea kidole moja kwa moja Heche kuwa anapiga pesa za chama.
Kwa kifupi ni kwamba huna imani na Heche. Baadae unapata uungwaji mkono kutoka kwa wenzio, yani kama script iliyokuwa imeandaliwa tayari.
Okay sawa, uhenda nia yako ni njema unataka uwajibikaji.
Kilichotushtua wengi ni kwamba, endapo unataka Heche ajiweke pembeni kwa ajili ya uchunguzi, unatarajia chama kiongozwe na nani wakati tayari mwenyekiti yupo jela?
Je, lengo ni kutoa nafasi kwa uchunguzi huru, kuleta mtu wa kusukuma maridhiano au kuna agenda nyingine ambayo hamjaiweka wazi?
Tangu ulipo-tweet kumkaribisha Nchimbi kujiunga na CHADEMA, kumekuwa na mijadala mingi kuhusu msimamo na mwenendo wako wa kisiasa.
Guys najua ni jambo la kuvunja moyo ila ukweli Lema ndio anaendesha mashambulizi dhidi ya Heche na kwenye kikao cha kamati yeye ndio alianzisha huu mjadala wa kutokuwa na imani na Heche. Hii nime-confirm ndio maana nimeona niliweke hapa mlijue.