Lema kuongea na vyombo vya habari kesho

Lema kuongea na vyombo vya habari kesho

Hii ni press conference muhimu sana sio ya kukosa, haswa kwa kuzingatia, mzungumzaji anaishi Sea Cleef Hotel, 5 Star, press conference Golden Tulip 5 star, ingeendeshewa Chadema ingekuwa no cost involved, hivyo waandishi wa habari pia tutaangaliwa ki Golden Tulip!. Sikosi!
P
Ana miradi mingi ya kugharamia haya au chama 'chake' ndiyo kina gharamia!?
 
Another big mistake na inaonyesha kuna ''kitu''. Mwenyekiti yuko mahakamani na yeye anaamua kwenda kufanya mengine. Kwa nini asingefanya jioni baada ya kesi kuisha?
Kwa hali hii kiongozi wa Chadema akitaka hata kuchana nywele mtahoji kwanini anachana nywele wakati mwenyekiti anafuga nywele zake. Ni lazima tukubali maisha ya jela yanaendelea kama kawaida ndio maana pamoja na chair kuwa ndani bado wabongo hao hao wanajaa kwenye mechi za Simba na Yanga.
 
Hii ni press conference muhimu sana sio ya kukosa, haswa kwa kuzingatia, mzungumzaji anaishi Sea Cleef Hotel, 5 Star, press conference Golden Tulip 5 star, ingeendeshewa Chadema ingekuwa no cost involved, hivyo waandishi wa habari pia tutaangaliwa ki Golden Tulip!. Sikosi!
P
Umeamua umchomee kabisa. Kuna mambo wanaya divert. Sio bure.
 
Hii ni press conference muhimu sana sio ya kukosa, haswa kwa kuzingatia, mzungumzaji anaishi Sea Cleef Hotel, 5 Star, press conference Golden Tulip 5 star, ingeendeshewa Chadema ingekuwa no cost involved, hivyo waandishi wa habari pia tutaangaliwa ki Golden Tulip!. Sikosi!
P
Afu its a walking distance toka anapolala na atakapo ongelea.
 
Slaa, Msigwa na waliohamia Chauma walikuwa na press za hivi hivi, leo yako wapi? Hata zile press za majuzi za wanaojiita wanacdm zilikuwa zinaongea anachokipogania Lema. Huyo atoke haraka watu wengi tulishamstukia.
Na Msigwa karudi na kapokewa kwa shangwe
 
mihela ya kulipa hapa katoa wapi?
Maswali mengine ni ya kijinga, juzi kasafirisha mke na watoto kwenda Canada, mnajuwa gharama ya air ticket?

Hivi mtu akae Bungeni vipindi kadhaa huyo ni wa kuja kuhoji pesa ya ukumbi nusu saa?

Hamjaonaga wabangaizaji tu wa mjini wanafanyia harusi zao kwenye hayo mahotel?

Labda wewe unafikiri ni shingapi kukodi eneo la kutumia almost one hour kwenye hizo hotel?

Binafsi nimeshapewa conference room bure kwenye hotel mara kadhaa kwa mahusiano yangu tu na Manager.
 
Siasa ni kama mapenzi. Haijalishi mpenzi ulimpenda/unampenda na kujitoa sana kwake. Akisema amekuchoka na anahitaji kuondoka yupo tayali kusema mabaya mengi zaidi kuliko mema uliyomtendea ili apate sababu ya yeye kuondoka.

Hutakiwi kulaumu au kuumia maana muda wake kwako umeisha. Mwache aende akatafute masha mengine huko.

Ukweli lissu anasema ukombozi wa demokrasia siyo lelemama. Unagharama yake na siyo wote wanaweza kugharamia na kuvipigana vita hiyo, wengine wapo kimasilahi binafisi na hii ni human nature.

Lema kama binadam wengine kuna kipindi alifanya mema mengi kwa chama kuna kipindi alikosea, haitakiwi kumsakama sana kama vile ni malaika! No! Tuheshimu mipaka hata kama mtu ameamua au atamua kuondoka tumuache kwa njia ya amani.

Chadema waliwahi kumtukana sana lowasa badaye anakaribishwa kwa mbwembwe. Matokeo yake kila mtu aliona. Silaa, Msigwa, sumaye, silinde n.k tujifunze kupia makosa ya nyuma

Siasa ni uongo uliohalalishwa kuzungumzwa na watu wachache kwa masilahi yao binafsi au vyama vyao. Kuwaamini wanasiasa ni kuuamini uongo kwa masilahi yao wakati wewe ukiendelea kuteseka kisaikolojia, kiuchumi na kijamaii.

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Back
Top Bottom