Lema awasha moto Igunga

Lema awasha moto Igunga

Du kweli cdm inaishiwa sera sasa. sasa mpambanaji siyo Slaa tena?!!! imekuwaje mbona mwashangaza, mtu aliyetaka milango ifungwe ngumi zipigwe watanzania wakakerwa na upuuzi wa aina hiyo ya muwakilishi,leo ndio cdm mnamnadi eti ni mpambanaji. Ajabu ya siku

mpambanaji makamba kajivue gamba au lauma ndo unapumuzika kwa kuandika upupu ucwe kama flekeo ww
 
Wewe uliyepata div 1 una msaada gani kwa vijana na taifa.

Nimeipenda hii,division fulani na maono ya kukomboa wanyonge ni vitu viwili tofauti.Ukibahatika kupata elimu usidharau walioikosa,they might be better than u!!
 
Du kweli cdm inaishiwa sera sasa. sasa mpambanaji siyo Slaa tena?!!! imekuwaje mbona mwashangaza, mtu aliyetaka milango ifungwe ngumi zipigwe watanzania wakakerwa na upuuzi wa aina hiyo ya muwakilishi,leo ndio cdm mnamnadi eti ni mpambanaji. Ajabu ya siku

Mr. Mak let me repeat something I said yesterday in another CDM is not just about Slaa or Lema. It is a movement to un-do years of mismanagement & squandering of national resourses. You too can join ...

Hii hoja ya Lema kusema milango ifungwe ngumi zipigwe naona kuna watu wamemua kuifanya a 'three course meal' lakini kumbuka kwenye kikao cha bunge mwanzoni wa mwaka Mh. Lusinde -CCM Mtera alisema maneno yanayofanana na haya Lema na you did not bring it here. Unless unataka kutueleza kuwa munge wa CCM anaweza kusema chochote lakini mbunge wa CDM akisema hata kama ni maneno yale yale aliyosema mbunge wa CCM basi inakuwa 'kero na upuuzi'! Hati-miliki Mr. Mak?
 
Naona mkuu unajitahidi sana kunitafuta...sasa umeamua kunitukana kabisa. Ahsante. Hiyo ni dalili mahsusi ya kuonesha kuwa umeshindwa kujenga hoja! I am never shaken with people like you...

Muheshimiwa, there are some people who are worthy engaging them in serious convos. This jamvi has very few of them. People whose intentions in a dialogue is to provoke, do not deserve your engagement.
 
Naona mkuu unajitahidi sana kunitafuta...sasa umeamua kunitukana kabisa. Ahsante. Hiyo ni dalili mahsusi ya kuonesha kuwa umeshindwa kujenga hoja! I am never shaken with people like you...
samahani ntapenda nikuite jina lako halisi,bw Said,ina maana munavyozomea bungeni ni dalili za kushindwa hoja?nakushauri said kaa kimya kama wenzako unaidhalilisha ccm
 
Ni aibu kubwa kwa chama kinachojidai kuwa kina hazina ya wasomi kuwa na mtu kama lema. kaka unawaomba cv unadhani watakupatia? siyo cv yakutizamika.

Wala usipate shida ndugu yangu Mr.Mak & co, CV ya Lema anaijua vema Mh.Mizengo Pinda na kwa sasa kampa Spika Mama Makinda for editing and if we are to believe her basi umma wa Watanzania tutapata 'a genetically modified' version in next parliamentary Session- July that is. Hata hivyo, kama huwezi kusubiri hadi July basi wasiliana na Dr. Batilda Buriani maana yeye na 'Organic' copy aliyopewa na Ndugu Lema personally Oct 2010 Arusha. Ningekuwa wewe ningetatufa hii copy itakayo Dr. Batilda maana haijachakuliwa.
 
Arusha tunahitaji maendeleo kupitia mabadiliko ya kweli siyo kutuletea popularity kwa kuanzisha vurugu kila kona ya nchi. Kiongozi mzuri huanza home. Mh. Lema una2miwa vibaya na sisi watu wa jimboni mwako niwaelewa sana na watu kimya kimya katika mamuzi. Usipowacha ujinga hautoamini changes...
 
Hivi ulinisikia nilipoongea kiingereza kule Bungeni? Ulisikia 'broken english' pale hata kidogo? Na hapo kwenye hiyo sentence umeona kitu gani kimekosewa? Hebu sahihisha sasa wewe tuone! Japokuwa naongea na naandika english nzuri sioni fahari sana, kwani mimi ni mnyamwezi na mswahili na ninapenda na ninasikia fahari zaidi kuongea kinyamwezi na kiswahili!
Ndiyo maana Makinda anasema bunge limevamiwa na vijana mnaji proud sana, siamini mtu na busara zake anaweza kusema uliyoandika next time acha wengine wa kujaji kuliko kujipa marks mwenyewe. Ni mlevi tu wa klabuni anaweza kusema anaongea kingereza kizuri kuliko walevi wenzake.
 
Du kweli cdm inaishiwa sera sasa. sasa mpambanaji siyo Slaa tena?!!! imekuwaje mbona mwashangaza, mtu aliyetaka milango ifungwe ngumi zipigwe watanzania wakakerwa na upuuzi wa aina hiyo ya muwakilishi,leo ndio cdm mnamnadi eti ni mpambanaji. Ajabu ya siku

Heee we jinsia gani? CDM ni chama sio Slaa...!! CDM ni chama cha wapambanaji tuuuuuuuuuuuuu:A S 465:
 
safi sana..........warudishe wote...........na tunakushukuru sana kwa coverage yako mkuu........Mungu akubariki sana
shukran igunga wameachiwa agenda za kujadili, wa2 wanalaani ccm, hasa vijana walimpongeza lema kwa pikipiki aloitoa ili kuimarisha cdm vijijin
 
kigwangala hana akili...........Ben umesema vema....wenye elimu za mashaka pona yao iko ccm
 
Kilaza hata akibebwa habebeki,

WAMA/Ikulu wamekubeba ukapata ubunge nzega, umeitisha maandamano kwenda mgodini resolute wananchi hawakujitokeza baada ya kugundua janja yako kwamba unawapotezea muda kwakuwa serikali yako ndiyo imewagawia bure mgodi tena bila kuzingatia maslahi ya wananchi wa nzega. kama Lema anaweza kutoka arusha akaitisha maandamano nzega wananchi wakajitokeza kwa wingi kumsikliza na wakati huo huo wananchi hao hao hawajitokezi kumsikiliza "mbunge wao" huoni hata aibu japo kidogo??

Hata nilipokuona ukitoa maoni kuhusu mswada wa mapitio ya katiba 2011 pale startv na kitu ulichoandika hapa ni uthibitisho tosha kwamba nzega wamelamba galasa, wasubiri tu 2015 kutafuta muwakilishi mwingine. Sijui kama hadi 2015 wama/jk watakuwa na uwezo wa kukubeba tena!!




Safi sana mueleze!
 
Naona mkuu unajitahidi sana kunitafuta...sasa umeamua kunitukana kabisa. Ahsante. Hiyo ni dalili mahsusi ya kuonesha kuwa umeshindwa kujenga hoja! I am never shaken with people like you...

Mpumbavu siyo tusi..nadhani ndugu yangu upo mbali sana na lugha ya kiswahili....ni kielezi kinachoonyesha aina ya mtu jinsi alivyo..ni sawa na mlevi..,mwizi...,mzinzi..,yote hayo si matusi.Labda ulazimishe wewe kuona matusi au labda iwe hivyo kwa kiswahili cha kirundi na kamwe si cha kitanzania.
 
Arusha tunahitaji maendeleo kupitia mabadiliko ya kweli siyo kutuletea popularity kwa kuanzisha vurugu kila kona ya nchi. Kiongozi mzuri huanza home. Mh. Lema una2miwa vibaya na sisi watu wa jimboni mwako niwaelewa sana na watu kimya kimya katika mamuzi. Usipowacha ujinga hautoamini changes...

Nadhani wewe sio mkazi wa Arusha, hujui ukweli hata kidogo. Ndani ya siku 90 za kuwa ofisini lema ameanzisha taasisi ya Arusha Development Foundation akiwa na makamanda wengine kama Nassari aliyegombea Arumeru Mash. Kwa taasisi hii lema amepeleka shule watoto 417 wasiojiweza wa Arusha na wote wamepatiwa bima za afya tena with private companies. Lema amepeleka watu Loliondo wasiojiweza kiuchumi, lema amewaingizia watu wa arusha spirit ya kiharakati sasa wanajua kudai haki zao. Lema ameanzisha asasi ya kutoa mikopo kwa wafanyabiashara wadogo wakinamama wa arusha kupitia ile pesa aliyopewa ya mkopo wa gari bungeni. Ni mbunge gani mwingine Tanzania ameshafanya haya?????? usikurupuke mkuu, ukiwa unaongea uwe na facts
 
big up Lema!

Nilicheka sana EATv kipindi cha skonga wanafunzi wanane walishindwa kujibu NANI MAKAMU WA RAIS TZ ila sita kati yao waliweza kujibu walipoulizwa nani mbunge wa ARUSHA​

Du hii kali
 
Du kweli cdm inaishiwa sera sasa. sasa mpambanaji siyo Slaa tena?!!! imekuwaje mbona mwashangaza, mtu aliyetaka milango ifungwe ngumi zipigwe watanzania wakakerwa na upuuzi wa aina hiyo ya muwakilishi,leo ndio cdm mnamnadi eti ni mpambanaji. Ajabu ya siku

Wewe ni zuzu kweli kwa upuuzi ule hata bunduki ingepigwa sembuse kupigana naona umetumwa na chama cha magamba
 
Hivi ulinisikia nilipoongea kiingereza kule Bungeni? Ulisikia 'broken english' pale hata kidogo? Na hapo kwenye hiyo sentence umeona kitu gani kimekosewa? Hebu sahihisha sasa wewe tuone! Japokuwa naongea na naandika english nzuri sioni fahari sana, kwani mimi ni mnyamwezi na mswahili na ninapenda na ninasikia fahari zaidi kuongea kinyamwezi na kiswahili!

mkuu unajua nlikaa maktaba miaka mingi nikahisi kuwa mengine nliyokutana nayo ni majigambo ya authors kumbe ni kweli. Hata ivo sikuamini sana sentensi hii: EVERYONE IS WISE UNTIL HE/SHE SPEAKS. Kuanzia 2005 jk,Makamba,wasira,na sasa umeanza wewe unataka kujidhihirisha kuwa shule ulipita tu! Ivi unamwambia akosoe "those they come and go",kwanza ni phrase si sentensi,angalia kama ina subject and predicate!,pili 'those' na they haziwezi kufuatana!rudi kaangalie english grammar! Ukisema 'those' unaonesha vitu vilichokaribu lakini huwezi kugusa kwa umbali. Mkuu we ni dr.usitudhalilishe. Kuna kitu kinaitwa 'word selection' huku kunafundisha mambo ya msingi,kama ukikuta tungo zina utata unaweza kuziacha ukatumia nyingine,iyo ni IQ kuchanganua na kucheza na maneno kwenye finger tips. Hata ivo sijapenda aliyekutukana kwa kuwa hakuna aliyekamilika. Mkuu,jirekebishe uwasikilize members wako wa jf. Hata ivo, usiwabeze cdm maana ki ukweli wameishika pabaya ccm! Ccm nani ni msafi??
 
Nadhani wewe sio mkazi wa Arusha, hujui ukweli hata kidogo. Ndani ya siku 90 za kuwa ofisini lema ameanzisha taasisi ya Arusha Development Foundation akiwa na makamanda wengine kama Nassari aliyegombea Arumeru Mash. Kwa taasisi hii lema amepeleka shule watoto 417 wasiojiweza wa Arusha na wote wamepatiwa bima za afya tena with private companies. Lema amepeleka watu Loliondo wasiojiweza kiuchumi, lema amewaingizia watu wa arusha spirit ya kiharakati sasa wanajua kudai haki zao. Lema ameanzisha asasi ya kutoa mikopo kwa wafanyabiashara wadogo wakinamama wa arusha kupitia ile pesa aliyopewa ya mkopo wa gari bungeni. Ni mbunge gani mwingine Tanzania ameshafanya haya?????? usikurupuke mkuu, ukiwa unaongea uwe na facts

mkuu maneno yako ya kweli? Basi uyo mbunge akisimama na jk kueleza mafanikio so far,jk atasema nini? Naanza kuelewa kwa nini ccm wanaogopa midahalo na maandamano!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom