Lema awasha moto Igunga

Lema awasha moto Igunga

Ra alimtumia dr. Sms kuwa atubu baada ya kumtaja pale mwembe yanga kwani atakufa, mimi sitishiki hata nikifa nitaacha mbegu
 
R.a anasema kipatoto chake ni bil 280/mwezi ambazo ni za wizi. Ana kampuni zaid ya 17 ambazo hazina usajili wa jina lake
 
Anawaponda pccb na kuwambia wa mkamate r.a na c ku deal na virushwa vidogo.
 
Dr. Anasema kuwa adawi ni kanyaboya aliletwa na ra selikali iclipe dowans,
 
Anaongelea mambo mengi ya dowans kagoda kiwila na epa, ra aliingiza exim bank na hajakamatwa,
 
Anasema hela ya epa ilolejeshwa na kuwekwa benk ya wakulima cag anasema hazionekani, pesa iyo inatosha kujenga shule bila kuchangisha wa
 
mkuu invisible kitufe cha thnkas kinaongeza hamasa .......tuwekee kitufe kile mkuu....kugonga like hakunogi
 
mkuu kikao bado?.........nadhani sasa igunga wamenyunyiziwa matone...na hili jizi likijitoa ccm ndani ya siku 90 lilizopewa basi jimbo tunachukua.........hata stendi ya mabasi kashindwa kurekebisha.........
 
Anauliza wa2 waliotayari wakuwaunga mkono cdm wa2 wananyoosha mikono wote,anaongelea katiba mpya na jins ccm wasivo tayari hivo wanancii wadai haki yao
 
safi sana..........warudishe wote...........na tunakushukuru sana kwa coverage yako mkuu........Mungu akubariki sana
 
Mkubwa Ninaweza,asante sana kwa kazi nzuri,UBARIKIWE SANA!
 
Duh, hiki chama chenu kazi kwelikweli! Chama kinaongozwa na umaarufu wa mtu, kilianza na Mbowe na helikopta zake, baadaye Zitto na Buzwagi yake, Slaa na ufisadi, sasa Lema na Mauaji yake ya Arusha...sijui hawa wakihama au wakisaliti kutatokea nini?

Hamjifunzi tu? Tengenezeni mfumo na mjenge misingi ya chama chenu na siyo kutegemea characters/personalities! Those they come and go...

Hakuna think tanks huko wakawashauri? Tumieni hata ruzuku basi mtafute consultant basi awashauri!
Du kweli ccm hamna aibu! Think tank yenu ndo ile iliyomshauri m-kwere kumuiga Mbowe na helkopta zake ktk kampeni za mwaka jana au?! Hapo wenye think tank ni wapi waliobuni mkaiga au mlioiga walichobuni?! Mlivyofilisika mawazo 2005 mlikosoa sana matumizi ya helkopta, 2010 kilaza wenu akakumbatia matumizi hayo! Hongereni wenye think tank kama siyo think takataka.
 
Duh, hiki chama chenu kazi kwelikweli! Chama kinaongozwa na umaarufu wa mtu, kilianza na Mbowe na helikopta zake, baadaye Zitto na Buzwagi yake, Slaa na ufisadi, sasa Lema na Mauaji yake ya Arusha...sijui hawa wakihama au wakisaliti kutatokea nini?

Hamjifunzi tu? Tengenezeni mfumo na mjenge misingi ya chama chenu na siyo kutegemea characters/personalities! Those they come and go...

Hakuna think tanks huko wakawashauri? Tumieni hata ruzuku basi mtafute consultant basi awashauri!
huyu c ndo mwizi wa majina ya watu, kumbe primary ulikuwa kilaza, inawezekana hata secondar uliiba pepa, kumbe huna akili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom