Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Mr Mark kweli wewe ni Kilaza je wewe ni mtoto wa fisadi?,mpaka unajiita Mr umeshafanya nini ambacho ni msaada kwa taifa hili?naomba namba yako nikutafute nataka kuhakiki kama wewe ni Mwanaume.
kweli Nzega hakuna mbuge unaleta utabili wa shehe yahaya eti wakitusaliti, hao wote baado wapo chadema tena wanamchango mkuu katika bunge kuliko wewe, kwanza wewe sio chagua la wananchi ni chagua la makamba, mbunge halali ni basha, wewe ni mamluki wa makundi ndani ya ccmDuh, hiki chama chenu kazi kwelikweli! Chama kinaongozwa na umaarufu wa mtu, kilianza na Mbowe na helikopta zake, baadaye Zitto na Buzwagi yake, Slaa na ufisadi, sasa Lema na Mauaji yake ya Arusha...sijui hawa wakihama au wakisaliti kutatokea nini?
Hamjifunzi tu? Tengenezeni mfumo na mjenge misingi ya chama chenu na siyo kutegemea characters/personalities! Those they come and go...
Hakuna think tanks huko wakawashauri? Tumieni hata ruzuku basi mtafute consultant basi awashauri!
wewe uwezi kuwa shaken mkuu, maana hata kiti unachokalia ni cha mtu, Mzoea vya kunyonga..................?Naona mkuu unajitahidi sana kunitafuta...sasa umeamua kunitukana kabisa. Ahsante. Hiyo ni dalili mahsusi ya kuonesha kuwa umeshindwa kujenga hoja! I am never shaken with people like you...
Naona mkuu unajitahidi sana kunitafuta...sasa umeamua kunitukana kabisa. Ahsante. Hiyo ni dalili mahsusi ya kuonesha kuwa umeshindwa kujenga hoja! I am never shaken with people like you...
mpambanaji makamba kajivue gamba au lauma ndo unapumuzika kwa kuandika upupu ucwe kama flekeo ww
Mr Mark kweli wewe ni Kilaza je wewe ni mtoto wa fisadi?,mpaka unajiita Mr umeshafanya nini ambacho ni msaada kwa taifa hili?naomba namba yako nikutafute nataka kuhakiki kama wewe ni Mwanaume.
Wewe ni zuzu kweli kwa upuuzi ule hata bunduki ingepigwa sembuse kupigana naona umetumwa na chama cha magamba