Hujui hata maana ya sera, kama nyie ndio type ya watumwa wa Msekwa basi ana kazi badala ya kumsaidia mnafanya CCM izidi kuchukiwa.Du kweli cdm inaishiwa sera sasa. sasa mpambanaji siyo Slaa tena?!!! imekuwaje mbona mwashangaza, mtu aliyetaka milango ifungwe ngumi zipigwe watanzania wakakerwa na upuuzi wa aina hiyo ya muwakilishi,leo ndio cdm mnamnadi eti ni mpambanaji. Ajabu ya siku