Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Nimepata taarifa kuwa G.Lema ameshinda kesi, mwenye ukweli wa jambo hili atujuze tafadhari.
 
Hongereni majaji kwa uamuzi wa busara,ni heri kumrudisha karunguyeye Lema kuliko kupoteza fedha za walipa kodi kwa kurudia uchaguzi Arusha.
 
Hongera Mahakama ya Rufaa, hongera Lema, hongera CDM! Haki imetendeka, na watu wooooote waseme Amina!
 
Mbona muasisi Ben Saanane alishaenda mahakamani mapema tu.

kaka mingoi kama ben alienda mahakaman au hakwenda hilo mm sijui, nachojua mm ni piiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiipoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooozz...sauti ya wengi ni sauti ya Ukweli
 
Ile hoja ya Lema kuwa Mh. Waziri Mkuu aliliongopea Bunge lazima irudi Bungeni...Maaana mama Kisabengo alisema, kwakuwa Lema aliyeanzisha Hoja eti alikuwa si Mbunge tena, basi na hoja ilikufa...
"JMBO LA ARUSHA LINAINYIMA SERIKALI YANGU USINGIZI....HAPANA....HAPANA.. .LAZIMA TUFANYE KITU PALE....KILA SIKU PIPOOOZZ.....PIPOOOOZZZZ......TUMECHOKA!!! "

waziri-mkuu-mizengo-pinda.jpg
 
Mbona siwaoni akina nape, tuntemeke, Zitto and co kwenye Hii thread?

Nisaidieni kuangalia na nyie
 
Yericko Nyerere na Ben Saanane, mnastahili hongera tangu kesi hii ilipoanza kusikiliziwa Dar es Salaam. U kept JF updated.

Tuwashukuru wote pia ambao wamekuwa wakifuatilia kesi hii, kwa nia njema...ofcourse na kinyume chake pia. Watu wote waliokuwa wakitembea, wakila, wakilala, wakiamuka wakimuomba Mwenyezi Mungu awajalie majaji wa kesi hii, kuiona haki na kweli.

Katika mhimili unaokabiliwa na matatizo lukuki kiasi cha kuminya haki za watu wengi, bado kuna some exceptionals kama hizi za majaji kuamua kusimamia taaluma yao, kulinda heshima zao na heshima ya mhimili huo muhimu, kuhakikisha sheria zinatafsiriwa ipasavyo, lakini muhimu zaidi, kuonesha kuwa haki inaweza kutendeka.

Ni wito wa wapenda haki kuwa, majaji wengine wataendelea kusimamia haki, ili haki na matumaini (kwa sasa hayapo kutokana na uongozi mbovu na siasa chafu za CCM na serikali yake) ndiyo iwe misingi ya amani na utulivu wa kweli kwa nchi yetu.

Kesi karibu zote zilizofunguliwa dhidi ya wabunge na madiwani wa CHADEMA kupinga ubunge na udiwani wao, uliopatikana kwa nguvu ya umma, zilikuwa ni zaidi ya kesi za kawaida. From Gervas Mbasa in Biharamulo to Meshack Opulukwa in Meatu, from John in Ubungo to Tundu Lissu in Singida, from Godbless in Arusha to Hyness Kiwia in Ilemela, from Halima Mdee in Kawe to

Asanteni sana
Kwani niaba yangu na ya wana JF wenzangu naomba kuongeza pongezi za dhati kwa timu ya mawakili wa CHADEMA wakiongozwa na Method Kimomogoro na Tundu Lissu.

Pongezi za dhati kwa majaji wa CA, MODS wetu na kila mpenda haki nchini.

Tumeshinda pamoja, sasa tusonge mbele.

What a week for CHADEMA this has been!!!!
 
Nimetaarifiwa mbunge aliyekuwa likizo sasa likizo yake imeisha, tunaomba taarifa, tunampokelea wapi Leo? Kia au Arusha airport?
 
Yeah, this has come at right time, right month; a weekend at the year-end
 
Hii ni zawadi tosha ya Xmas na mwaka mpya. Hongera Mahakama ya rufaa kwa kutoa haki. Hongera Mheshimiwa Lema kwa ushindi ulioupata kwako na kwa wale wote unaopigigania haki zao. Jipe Moyo songa mbele tuko pamojas nawe. Kumbuka Waefeso 6:12 - Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama, bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.Wana JF NAWATAKIWA WOTE XMAS NJEMA NA MWAKA MPYA UNAOONYESHA DALILI ZA MAFANIKIO KATIKA UKOMBOZI WA TAIFA HILI.
 
Hongereni majaji kwa uamuzi wa busara,ni heri kumrudisha karunguyeye Lema kuliko kupoteza fedha za walipa kodi kwa kurudia uchaguzi Arusha.

sungura karuka ruka, matunda hakufikia,
karuka tena karuka, sungura nakuambia....(sjui nimeukumbuka vema ubeti huu? ni mtamu sana kwa mingoi na wezi wenzake na vibaraka woooooote. anayeukumbuka vizur autupie hapa pliiiiiiz...piiipoooozzz)
 
Hukumu itakavyokuwa itaongeza kuwajenga Chadema. Sidhani hata kama Lema akishindwa wataondoka mahakamani wanyonge.

Ccm wanazidi kuonyesha udhaifu na serikali yao inaonyesha wazi ni jinsi gani wasivyo makini hata ktk masuala ya utoaji wa haki .nawauliza hivi,kwa nini hawakutenda hiyo haki tokea mwanzo? kodi zetu walala hoi ndizo wanatumia kuendeshea kesi za majungu
 
hongera sana Mhe. Lema pamoja na wana-Arusha wote wenye msimamo wa kuona maendeleo yanapatikana kwa wakati
 
kwafuraha niliyonayo nimeanza xmass rasmi piiiiipooooooooooooooooooooooooooooz
 
Back
Top Bottom