Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

wimbo wa M4C step zake lahisi kuzicheza na wimbo wake mwepesi kwa wauimbao unaeleweka kirahisi na watanzania wote.
 
Kwanza hongereeni wote Lema, Mawakili, na wanachama wa CDM. Ujumbe wangu kwa wapendwa wa JF na CDM nadhani hii ni golden opprtunity kwa kuwaunganisha na kuachana na siasa za makundi aliyeshinda hapa si Lema bali CDM kwa hiyo wote tushangilie. Kwa kuwa kwa kila jambo Mungu Baba anakusudio lake basi nanyi leo Mungu amekupeni fursa hii mkaitumie kwa manufaa ya Watanzania. Hakuna haja kumshambulia zito, mtela na wengine wote kwani mnaidhoofisha CHADEMA. Hata funza akiingia mwilini humtoa bila kusababisha kidonda, itakuwa wanachama ambao wamekuwapo kwa kipindi kirefu katika chama. In boxing it is the skin break in the face that provides an opportunity for the oponent to keep on punching at the same point until when the wound grows and blood breeding becomes uncontrollable and the title race is concluded with technical knockout. Are you ready for that? Malizeni hiyo hoja makamanda You are not punching Zito but CDM, and also Zito and company they are not punching Slaa but CDM and you all privately or openly claim you are CDM diehards, it is rubbish stop that immediately guys.
 
Hapa ndiyo mwisho wa yote,tutakachokumbuka si kelele za maadui wetu,bali ni ukimya wa rafiki zetu.pipoooooooos111111
 
put huonekani kwenye hii tread kabisa ... au uko baa unaipongeza na moja moto ingine baridi
 
Mie nilijua tu kesi ikifika mahakama ya rufaa lema mshindi,kwani haikuwa na mashiko kisheria pia mahakama ya rufaa inatenda haki tu.Jaji rwakibarila namfahamu kama mtalaam wa kuharibu kesi.
 
Wera wera aibu yao milele, walikuwa km mbuni wameficha vichwa mchangani wakati kiwiliwili kipo nje, siku zote haki ya mtu haipotei hata ikicheleweshwa, Big Up kamanda Lema.
 
mzee put uko hapo... cheki hiyo idadi There are currently 3547 users browsing this thread. (1292 members and 2255 guests)
 
sungura karuka ruka, matunda hakufikia,
karuka tena karuka, sungura nakuambia....(sjui nimeukumbuka vema ubeti huu? ni mtamu sana kwa mingoi na wezi wenzake na vibaraka woooooote. anayeukumbuka vizur autupie hapa pliiiiiiz...piiipoooozzz)

Aaaaah nimeukumbuka,unaimbwa hivi:

moja mbili tatu!!! Lema karuka ruka kaleta vurugu,Lema karuka ruka kapelekwa lupango,Lema karuka ruka hakuna alichokifanya Arusha lakini Lema alipopigwa ban na mahakama barabara,maji,jiji,maendeleo Arusha vilipatikana ....
 
Kha ha ha ha ha ha ha haaaaaa!! Kweli Simba kaingia zizini mchana kweupeeeeee!!


"JMBO LA ARUSHA LINAINYIMA SERIKALI YANGU USINGIZI....HAPANA....HAPANA.. .LAZIMA TUFANYE KITU PALE....KILA SIKU PIPOOOZZ.....PIPOOOOZZZZ......TUMECHOKA!!! "

waziri-mkuu-mizengo-pinda.jpg
 
Back
Top Bottom