Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
In this case, wananchi wa Arusha wampe nafasi tena 2015 maana hakutekeleza majukumu yake na ahadi zake kutokana na kusinyang'anywa kwake ubunge
Nafikiri kungekuwa na utaratibu wa kupitia hizi jukumu za mahakama kuu hata ikiwezekana majaji kuhojiwa kwani kwa mtu mwente uelewa na sheria japo ya Diploma hukumu ya jaji huyo ilikuwa ni Rabbish.
Nasikia kundi la masalia lilikuwa linawasaidia kulipia gharama za kesi
majaji waliosoma hukumu tuwape hongera zao chande vp
je watamlipa fidia
je bungeni atalipwa mshahara wa kipindi chote alichovuliwa
je hoja ya waziri mkuu kadanganya aliyoiibua itajibiwa kwa kuwa amerejeshewa ubunge
tuelimishane
Kma ni hivyo kwa nini mioyo yenu inawaenda mbio kwa kachama kadogo?
Niko Arusha sasa tunaelekea ofisi za CDM Mkoa ntakujuzeni ratiba ya kumpokea Lema ikoje kifupi ni hivi ambao hamko Arusha mtapitwa mengi
Hongera Lema. Mungu anaweza.