Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

HONGERA SANA JEMBE lema. Moto ni ule ule.......kijiji kwa kijiji, kata kwa kata........mpaka kieleweke
 
hongera sana Mh. Lema na hongera pia kwa wanaCDM wote. Leo tumeona jinsi vyombo vya sheria vinavyoweza kufanya kazi yake bila kujali mashinikizo yanayowekwa na SERIKALI na CCM.
Mungu Ibariki TZ
 
There are currently 3632 users browsing this thread. (1310 members and 2322 guests)
 
Kwanza hongereeni wote Lema, Mawakili, na wanachama wa CDM. Ujumbe wangu kwa wapendwa wa JF na CDM nadhani hii ni golden opprtunity kwa kuwaunganisha na kuachana na siasa za makundi aliyeshinda hapa si Lema bali CDM kwa hiyo wote tushangilie. Kwa kuwa kwa kila jambo Mungu Baba anakusudio lake basi nanyi leo Mungu amekupeni fursa hii mkaitumie kwa manufaa ya Watanzania. Hakuna haja kumshambulia zito, mtela na wengine wote kwani mnaidhoofisha CHADEMA. Hata funza akiingia mwilini humtoa bila kusababisha kidonda, itakuwa wanachama ambao wamekuwapo kwa kipindi kirefu katika chama. In boxing it is the skin break in the face that provides an opportunity for the oponent to keep on punching at the same point until when the wound grows and blood breeding becomes uncontrollable and the title race is concluded with technical knockout. Are you ready for that? Malizeni hiyo hoja makamanda You are not punching Zito but CDM, and also Zito and company they are not punching Slaa but CDM and you all privately or openly claim you are CDM diehards, it is rubbish stop that immediately guys.

KAMANDA, haina noma man yangu, unajua nn kifaru yangu, yaniiii poa tu yan, au siyo man...yanii japo inauma saaaaaan, lakini enyway no swet, arudi tu kwa viongozi akatubu na akiri kutorudia tena. tutawasikiliza viongozi wetu watakavyotuelekeza nas tutafuata. sis hatuna kinyongo man yangu. tulianza na ukweli na tutamaliza kwa ukweli. anayetaka kumaliza na kalumanzila shaur yake.
 
safi sana makamanda lissu na kimomogoro kwa utetezi wa kweli,mafisadi washindwe na walegee
 
mkuu Ritz yupo, hao wengine sina uhakika.

hapo kwenye viroba sikusapot, piga kaz mwana
Mkuu Kusherekea Lazima maana leo Nachukua Likizo hadi tarehe 03/01/2013 na Mshahara wangu tayari uko Bank nitasherekea noeli na Mwaka mpya kwa Raha maana wapuuzi wameshindwa na watanywea maji Kalai.:majani7:
 
MODS mpigeni BAN huyu member aliye quote majina ya watu humu. Inakera sana hii hasa kwa watumiaji wa simu. Mpigeni BAN kali ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia hii.

na wewe unastahili ban pia umerudia kitu kile kile ..... usingem-quote
 
Hongera sana Lema, hongera CHADEMMA, hongera wananchi wa Arusha kwa kurudishiwa chaguo lenu.
 
M4C HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE, Jana kahairisha Mkutano Muleba mjini Jimbo la Mama Tibaijuka hata hivo mkutano umefana sana, tupo pamoja Lema wa Ukweli
 
Pinda ameliongopea taifa by mh.g.j.lema atakavyorudi si ndio itabidi ile ripoti iwekwe hadharani kuthibitisha???sasa upepo umeanza kuvuma kwa kasi ya ajabu!!!!!!!!!!!!!!
 
kila la kheri baba mwanaasha pata habari mewenyewe. Chezea Chadema weye. Pipoooooooooooooooz
 
Back
Top Bottom