Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Hongera, sasa nenda kawatumikie wananchi wako.
Mngeshindwa mngesema mahakama imehongwa!
Mngeshindwa mngesema mahakama imehongwa!
Hivi Kamanda Lema kurudishwa mjengoni ile hoja ya waziri mkuu Pinda kusema uongo itafufuliwa? Maana spika Makinda alisema kwa kuwa Lema alivuliwa ubunge basi hoja yake imekufa!
Makamanda vipi leo JK ajaingilia hii kesi? Siku zote Rais wetu JK atabaki kuwa Rais makini mwenye kuheshimu uhuru wa mahakama.
Siku zote napenda kuheshimu maamuzi ya mahakama haki ni kipimo bora cha utawala wa JK.
Hongera Chadema hongera Lema.
Huyu Bwn ZZK nilishamstukia zamani, ni hatari kuliko maelezo, ngoja madiwani wa Arusha watubu madhambi yao uone!!!!Hili la huyu Zitto; tuna hofu naye sana na kama jana uliingia jukwaa hili ungeona mawazo ya member wengi kuhusu hili! Kazi ipo kweli kweli!
hukumu imetolewa asbh na mapema ili magazeti yapate habari kilainiNina furaha sana kupata habari hizi na najaribu kuzisambaza kwa wana-Mwanza lakini wana-Mwanza wana wasiwasi sana eti kuna uwezekano nawadanganya.
Wasiwasi wao ni eti kwa nini hukumu imekuwa asubuhi na mapema sana,
Nawaombeni mlioko Dar mtubandikie basi picha za hapo mahakamani kwani picha hubeba ujumbe zaidi ya maandishi.
Kwangu mimi naamini na namshukuru Mungu kwa ushindi huo kwa Kamanda Lema!