TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Huko ikulu anakwenda kufanya nini?Aje badala ya kwenda Ikulu kwa JK
Huko ikulu anakwenda kufanya nini?Aje badala ya kwenda Ikulu kwa JK
natumaini leo hakuna muda wa kuumbuana mitandaoni.Kamanda Ben Saanane naye ndo anaingia.....
Nani kasema?..Wewe Masalia?Ben saa nane ni hatari sana huyu jamaa
Huko ikulu anakwenda kufanya nini?
Updates:
Kwanza inasomwa historia ya kesi hii, tukio kwa tukio,
Wanaoumbuana tunaomba wapeane likizo ya muda hadi kesi iishe bana!...leo tuko bize hawatapata ushabiki wanaotarajia!natumaini leo hakuna muda wa kuumbuana mitandaoni.
Teh teh teh!mimi mbavu sina!!Hukumu ndo inasomwa...duuuh kimombo sielewi, wakianza kushangilia na kuhudhunika sana nitajua tu!
Askari wa mahakama wamsachi vizuri Ben Saanane anaweza akawa amebeba Kuber special.
Kuwa na imani na mahakama,haki itatendeka, lema kuwepo bungeni wala sio tatizo kwa CCM, yani hata sugu ni tishio kuliko lema huko bungeni.Namtakia kila la kheri! mh.Lema..... Hivi hii kesi si inasemekana Ikulu iliingilia ? na kama ni kweli leo tutegemee matokeo tofauti nayale ya mwanzo ambayo ndio Ikulu iliyataka?
Nani kasema?..Wewe Masalia?
Source?