Gharama za kesi ni pamoja na Lema kulipwa gharama za nauli , hoteli na kuathiriwa kisaikolojia sio?
mkuu gharama za kesi ni pamoja na bunge kumlipa jamaa mishahara yake yote au vip nisaidieni wakuu kwa hilo
Gharama za kesi ni pamoja na Lema kulipwa gharama za nauli , hoteli na kuathiriwa kisaikolojia sio?
Mkuu Kamuzu,
you are absolutely right..nimeteleza na naomba radhi kwa hilo, apaswa/anapaswa kuwatumikia wananchi wa jimboni kwake na wananchi wa Tanzania kwa ujumla(mf. awapo Bungeni).
Nasikia ni Nyakarungu huyu jamaa nae nilishaanza kumshtukia ni mamluki...track iko sokoni leo...Nguvu ya Mungu imeshinda nguvu ya Ikulu.
Sasa tunaweza kurudi kwenye ule mjadala wetu wa wale jamaa wa PM7. Hivi leo ni zamu ya nani kufunguka wadau??