FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
Hii habari njema sana KUFUNGA MWAKA 2012 na kufungua 2013 hongera sana kamanda Lema na wanachadema wote Tanzania
Ila picha chache ongezeni nyingine
Ila picha chache ongezeni nyingine
Sisi hatuna wasiwasi Arusha ndio ngome ya Chadema hata uchaguzi ungerudiwa bado Lema angeshinda je kulikuwa na haja gani ya kupoteza pesa za walipa kodi?
Chama
Gongo la mboto DSM
Sasa hapa Mungu alikuwa wakili au mshtakiwa?
Chama
Gongo la mboto DSM
![]()
Ngoma mbele kwa mbele mpaka kieleweke wakuu
salamu zimfikie zito na masalia yake, huo ndo mwisho wake.