Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Hii habari njema sana KUFUNGA MWAKA 2012 na kufungua 2013 hongera sana kamanda Lema na wanachadema wote Tanzania

Ila picha chache ongezeni nyingine
 
Haki imeshinda dhuruma Lema amerudishiwa ubungeHaki imeshindHaki imeshinda dhuruma Lema amerudishiwa ubungea dhuruma Lema amerudishiwa ubunge
 
Habari njema hii kwa watanzania na wapenda maendeleo ya nchi hii,hongera kamanda Lema kwa kushinda rufaa yako.
 
Hivi Kamanda Lema kurudishwa mjengoni ile hoja ya waziri mkuu Pinda kusema uongo itafufuliwa? Maana spika Makinda alisema kwa kuwa Lema alivuliwa ubunge basi hoja yake imekufa!
 
all the best kamanda lema tumekuna wewe ni jembe tukakupa kura sisi ccm na mahakama yao waache wahangaike
 
Sisi hatuna wasiwasi Arusha ndio ngome ya Chadema hata uchaguzi ungerudiwa bado Lema angeshinda je kulikuwa na haja gani ya kupoteza pesa za walipa kodi?

Chama
Gongo la mboto DSM


DSC00054.JPG


Alianza na Mungu na amemaliza na Mungu, nyie mnapesa sisi tuna Mungu, Jembe likifanya press hapa
 
Mr.Yericko Nyerere,
Shukrani sana kwa up dates zako na your very strong.
Viva Chadema!!!Muambie kwa nini Zitto amenuna?
 
jamani vipi afya ya yule jaji mjinga wa kikwete??? sasa si ndo atakufa kabisa
 
napenda kuona mwenendo mzuri wa mahakama zetu kwa kutoa haki stahili kwa kila upande. MAKAMANDA MBELEEEE TEMBEAAAAA....!
 
Yeriko haukukumbukankusema kuwa picha hizi zimetoka Mjengwablog.
 
safi sana, as we said everyday haki ya mtu haizibwi kwa oku, mapambano bado yanaendelea - Tutawapa support kuu viogozi wote wenye mapenzi mema, nia ya dhati ya kupigania haki ya watanzania maskini.

wezee wa fitna mpo?

Hizi ni cost ambazo Mzee Makamba lazima azilipe maana alisema wagombea ubunge wote walioshindwa wafungue kesi CCM italipa gharama.
 
Daaaa mungu ni mwema sana!

Chadema daima!
 
Nampa hongera sana kamanda Lema na Chadema kwa ujumla kwa matokeo haya. kimsingi, mahakama ya rufaa imejielekeza vizuri, hukumu hii imeendelea kuipa heshima kubwa mahakama ya rufaa ya Tanzania.

Hongereni sana majaji kwa hukumu hii, mmetumia taluma zenu kuzuia upotoshaji uliofanywa na mahakama kuu amabao endapo msingeupatia tiba nzuri, ungekuja kuwatesa watu wengi kwa kuwanyima haki zao.

Swali langu nikuwa vipi kuhusu mishahara ya Lema, inamaana atalipwa mishahara yote iliyokuwa imezuiliwa baada ya mahakama kuu kutengua ubunge wake au alikuwa akiendelea kulipwa mshahara hadi katika kipindi alichokuwa anasubili rufaa? Mwenye jibu tafadhali!
 
salamu zimfikie zito na masalia yake, huo ndo mwisho wake.

Tokea Ben Saanane afunguke juu ya Masalia na PM7, sijamsikia TUNTEMEKE jukwaa la siasa. Kupotea kwake ni dalili ya masalia kuuawa sio CHADEMA tu hata hapa JF.
 
Back
Top Bottom