Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

Rais Samia ameshakaa madarakani kwa zaidi ya miaka 5 kama Rais wa nchi yetu Tanzania hivyo ni jambo la busara kuanza kutahimini utendaji wake na kama kuna legacy yoyote atakayokumbukwa nayo siku hayupo madarakani.
Kuua Watanganyika zaidi ya 10,000 ili atangazwe kuwa Rais wa Tanganyika
 
Kuna diwani wa kutoa fedha za kujenga madarasa?
Ninapozungumzia madiwani namaanisha Halmashauri yaani serikali za mitaa. Kwani Halmashauri haziwezi kujenga madarasa? Kwenye Halmashauri hakuna idara ya mipango na vyanzo vya mapato kujenga madarasa? Leo hii bado tuna nchi ambayo rais wake miongoni mwa majukumu yake ni kujenga madarasa? Muonage aibu jamani
 
Ninapozungumzia madiwani namaanisha Halmashauri yaani serikali za mitaa. Kwani Halmashauri haziwezi kujenga madarasa? Kwenye Halmashauri hakuna idara ya mipango na vyanzo vya mapato kujenga madarasa? Leo hii bado tuna nchi ambayo rais wake miongoni mwa majukumu yake ni kujenga madarasa? Muonage aibu jamani
Halmashauri na manispaa nyingi hazina uwezo wa kutoa huduma za kijamii kutokana na kuwa na mapato duni. Ushuru wa minada au misitu unaweza kujenga madarasa kutosheleza? Jisumbue kutafuta taarifa.
 
Halmashauri na manispaa nyingi hazina uwezo wa kutoa huduma za kijamii kutokana na kuwa na mapato duni. Ushuru wa minada au misitu unaweza kujenga madarasa kutosheleza? Jisumbue kutafuta taarifa.
Yani Rais Samia kwa miaka 5 ajisifu kujenga madarasa?
 
Member aliyejiunga JF 2009 hana uelewa na hili? ndio muone ni aina gani ya watu mnasumbuka kuargue nao humu.
Nafahamu vizuri muundo wa serikali za mitaa kuanzia Majiji, manispaa, miji, halmashauri hadi vitongoji. Shida zenu nyie ni kukimbilia kutukana bila kujenga hoja. Mnajua vyanzo vya mapato vya serikali za mitaa? (Ukiondoa majiji na labd kidogo Manispaa?) Kuna Halmshauri zikikusanya Bil.3 zinafanya sherehe kufikia au kuvuka lengo. Je bilioni tatu zinaweza kujenga madarasa, zahanati, shule, dawa na kuendesha shughuli za opeational za halmashauri?
 
Halmashauri na manispaa nyingi hazina uwezo wa kutoa huduma za kijamii kutokana na kuwa na mapato duni. Ushuru wa minada au misitu unaweza kujenga madarasa kutosheleza? Jisumbue kutafuta taarifa.
Mada ni madarasa, wewe umeshakimbilia huduma za jamii.
Twambie gharama ya kujenga chumba kimoja cha darasa ni shilingi ngapi
 
Waulize wasanii
Screenshot_20260827_221733_Instagram.jpg
 
Nafahamu vizuri muundo wa serikali za mitaa kuanzia Majiji, manispaa, miji, halmashauri hadi vitongoji. Shida zenu nyie ni kukimbilia kutukana bila kujenga hoja. Mnajua vyanzo vya mapato vya serikali za mitaa? (Ukiondoa majiji na labd kidogo Manispaa?) Kuna Halmshauri zikikusanya Bil.3 zinafanya sherehe kufikia au kuvuka lengo. Je bilioni tatu zinaweza kujenga madarasa, zahanati, shule, dawa na kuendesha shughuli za opeational za halmashauri?
Tufanye kujumlisha na makusanyo ya kodi ya TRA katika Halmashauri husika yarudi kwenye hiyo Halmashauri (Mf: Halmashauri ya mji Tunduma)
 
1. Ujenzi zaidi ya kilometa 1,500 za reli ya SGR awamu ya tatu nne na tano
2. Ujenzi wa madarasa zaidi ya 8000 sekondari (Hakuna kukamata kuku au mifugo ya wananchi kuchangia ujenzi wa madarasa.
3. Uwanja wa ndege wa Kimataifa Dodoma
4. Viwanja vya Kimataifa vya mpira Dodoma na Arusha
5. Phase ya tatu, nne na tano BRT Mwendokasi
6. Hospitali za wilaya
7. Shule mpya za Sekondari kila wilaya
8. Kukamilisha phase one ya reli ya SGR kilometa 722 za awali (Dar hadi Makutupora) alizoanzisha JPM
9. Kukamilisha bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere bila kutetereka.
10.
11.

Kisiasa amekuwa imara kiasi cha kuweza kuhimili purukushani za wanasiasa wenye nguvu ambao wote wameishia kustaafu au kukaa kando wakiwemo:
1. Ndugai (Spika)
2.Tulia (Spika)
3. Mpango (Mkamu wa Rais)
4. Nchimbi (Makamu wa Rais)
5. Mbowe (Mwneyekiti Chadema)
6. Lissu (Mwenyekiti CHADEMA na muasisi wa vugu vugu la uasi la Oktoba 29)
7. Majaliwa (Waziri Mkuu)
8. Gwajima (Mbunge na mshawishi wa vugu vugu la uasi la na vurugu za Oktoba 29)
9. Kitima ( Padri na mshawishi wa machafuko ya Oktoba 29)
10. Nape (Mbunge mwenye kiburi)
11. Kinana (Mbunge na Katibu Mkuu CCM)
12. Makamba (Mbunge na Waziri)
karibu asilimia 99% mirafi ya JPM mradi gani kaanzisha from foundation?
 
Rais Samia ameshakaa madarakani kwa zaidi ya miaka 5 kama Rais wa nchi yetu Tanzania hivyo ni jambo la busara kuanza kutahimini utendaji wake na kama kuna legacy yoyote atakayokumbukwa nayo siku hayupo madarakani.

Aibu naona mimi😂😂😂😂
 
1. Ujenzi zaidi ya kilometa 1,500 za reli ya SGR awamu ya tatu nne na tano
2. Ujenzi wa madarasa zaidi ya 8000 sekondari (Hakuna kukamata kuku au mifugo ya wananchi kuchangia ujenzi wa madarasa.
3. Uwanja wa ndege wa Kimataifa Dodoma
4. Viwanja vya Kimataifa vya mpira Dodoma na Arusha
5. Phase ya tatu, nne na tano BRT Mwendokasi
6. Hospitali za wilaya
7. Shule mpya za Sekondari kila wilaya
8. Kukamilisha phase one ya reli ya SGR kilometa 722 za awali (Dar hadi Makutupora) alizoanzisha JPM
9. Kukamilisha bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere bila kutetereka.
10.
11.

Kisiasa amekuwa imara kiasi cha kuweza kuhimili purukushani za wanasiasa wenye nguvu ambao wote wameishia kustaafu au kukaa kando wakiwemo:
1. Ndugai (Spika)
2.Tulia (Spika)
3. Mpango (Mkamu wa Rais)
4. Nchimbi (Makamu wa Rais)
5. Mbowe (Mwneyekiti Chadema)
6. Lissu (Mwenyekiti CHADEMA na muasisi wa vugu vugu la uasi la Oktoba 29)
7. Majaliwa (Waziri Mkuu)
8. Gwajima (Mbunge na mshawishi wa vugu vugu la uasi la na vurugu za Oktoba 29)
9. Kitima ( Padri na mshawishi wa machafuko ya Oktoba 29)
10. Nape (Mbunge mwenye kiburi)
11. Kinana (Mbunge na Katibu Mkuu CCM)
12. Makamba (Mbunge na Waziri)
Hivyo vyote ni mtazamo wa magufuli na juhudi zake huyo mama hajawahi kuumiza akili yake kuwaza jambo la maendeleo ya nchii hii yeye ni uuzaji tu wakila kitu kauza bandari, kauza uwanja wa taifa wa ndege sasa hivi anampango wa kuuza mlima kilimanjaro na lissu kabisa atamuuza maendeleo kayafanya huko kwake zanzibar bwana hadi
View: https://www.facebook.com/share/v/1HzeN1aEqK/
 
Rais Samia ameshakaa madarakani kwa zaidi ya miaka 5 kama Rais wa nchi yetu Tanzania hivyo ni jambo la busara kuanza kutahimini utendaji wake na kama kuna legacy yoyote atakayokumbukwa nayo siku hayupo madarakani.
Abduli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom