Lecturer part 2

Lecturer part 2

Baada ya kesi hii kuisha ninaomba asasi zinazohusika kumpata na kumtangaza mwanamke jasiri, basi 2013 missstrong zimtangaze kuwa mwanamke jasiri na dunia ijue.Hii itasaidia kuwatia moyo wadada wengine.
 
Hawa wamendeaji n hatar sana ndo maana jana mbunge kasema 2we na chuo kuwafundsha wanaume zege
 
Hawa wamendeaji n hatar sana ndo maana jana mbunge kasema 2we na chuo kuwafundsha wanaume zege

Yeye sio zege ila anaForce vitu na mbaya zaid anajitapa kuwa mimi ndo mwenye shida.
 
Kwa jinsi ninavyoujua utendaji kazi wa kibongo, nahisi kama kazi unayo!
 
Dada wewe mwanaharakati wa ukweli.Hongera.Ila kuna visistaduu uchwara vitakuona nuksi kweli kwani unavipeperushia ndege wao.
 
Habari wana JF,poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa letu.

Nashukuru kwa ushauri wenu na maombi yenu juu ya yaliyonikuta kwa huyo lecturer kama nilivyotuma katika huu mtandao wik iliyoisha.
Nilichukua maamuz ya kwenda kwa DS moja kwa moja baada yakutoka kwa HOD,Nilipoonana na DS nilieleza hali halis iliyonitokea na kuniomba nisiogope maana yeye ni baba kwahiyo niwe huru tu.Baada yakuyasikiliza hayo yote ikabidi twende nae kwa mkuu wa chuo.Aliniacha na mkuu wa chuo na nikajieleza kama nilivyofanya kwake.

Mkuu wa chuo aliniomba nimwandikie yeye barua na kuahidi kuwa lazima hilo alifanyie kazi maana kaletwa kwa ajil ya kaz hiyo maana chuo hicho kilikuwa kinanuka tabia hizo na hatamuonea mtu aya maana hakuna mtu anayemjua yeye ni mgeni.Amekiri kuwa huko chini kuna kulindana sana.
Aliomba nimuahid kama nitafanya hivyo maana mimi ndo nitawapa wao nguvu ya kuendesha hiyo kesi....!

Tayari nimeandika barua na nimetengeneza CD ya maongezi yale aliyokuwa ananiambia.
Walikuwa wanaisubiri na kuniambia kuwa walihisi labda nimenunuliwa baada yakuona nimechelewa kurudisha hiyo barua maana kati ya hao wakuu alipoonana na( mwalimu ) hakumchangamkia kama ilivyo kawaida na kuhis kuwa ameshituka au amesikia kuwa mimi nimeenda kushitaki hiyo kesi.
Nimeambiwa hizo nguo ambazo nilizozivaa siku hiyo la tukio nisizifue wala kushikwa na mtu mwingine,na tayar nimefanya hivyo.Tunasubiria maamuz ndan ya wiki hiyo ijayo lakin tayar limeanza kufika kwa wanafunz na kama litacheleweshwa bas nitataja chuo kwenye mitandao nakuomba asasi mbali mbal kunisaidia kwa jambo hilo na pia wanafunzi wenzangu kusaidia hilo kwa maana huyo mwalimu pale ni janga kabisa tayar amewafanyia wengine mambo hayo sana.

HOD nilipoona nae aliniambia ameona habar yangu kwenye mtandao,kwahiyo anasema hata mlengwa atakuwa ameiona.........nikamjibu mm sintojali kuwa ameona au laah coz sijamtukana mtu bali ni ukwel mtupu niliouzungumzia ktk huo mtandao.
Na iman sana na huu uongoz mpya wa chuo kuwa watafanya kitu.
Tayari pia nimewasiliana na watu wa sheria na wao pia wanasimamia hilo jambo

Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwenu wote..................Mungu awabariki mno!Nahitaj ushaur wenu zaidi na kama kuna kitu nimekosea katika hizi hatua za ss pia mnikosoe.
Tuko pamoja miss strong
 
Last edited by a moderator:
Itakapobidi sina jinsi............na ndio maana wakuu wake wamesema wapo heri hata nguo zipimwe.Si anaweza yy akahisi amedharirishwa?Mzazi wangu pia anasubiria majibu ya chuo.
DNA test kwenye nguo? hope watafanikiwa.Wakishindwa sijui itakuaje.Je, ulifanikiwa angalau kumuwekea alama yoyote wakati mnapambana, au kuchukua hata unywele tu? Hapa naaangaliwa uzito wa evidence mahakamani, kuhusiana na kubaka.
 
Dada wewe mwanaharakati wa ukweli.Hongera.Ila kuna visistaduu uchwara vitakuona nuksi kweli kwani unavipeperushia ndege wao.

Mpaka sasa hata baadhi ya wanaume wameniona mm nuksi lkn all in all ni hak yangu nahitaji.Kama yeyote anaweza kutoa anachokimiliki kwa mwalimu il mm nipate hak yangu bac nitasamehe.
 
DNA test kwenye nguo? hope watafanikiwa.Wakishindwa sijui itakuaje.Je, ulifanikiwa angalau kumuwekea alama yoyote wakati mnapambana, au kuchukua hata unywele tu? Hapa naaangaliwa uzito wa evidence mahakamani, kuhusiana na kubaka.

Niliogopa kujikuta hata kumtia ukucha coz nilishapata tetes kuwa afya yake wanaitilia shaka kwahyo nilikuwa najihami sana.Kwahiyo sikuweza kufanikiwa.
 
Mwanangu miss strong,hakikisha unathibitisha kesi yako.Ukishindwa kufanya hivyo,huyo Mhadhiri atakushtaki kwa kumdhalilisha(defamation). Kama pana ugumu mahali popote,wasiliana nami kwa PM ili tuyaweke mambo sawa. Sikia na uelewe!
Ni kweli, hii kesi ni ngumu. I hope ile CD aliyomrekodi itamlinda.Pia kama kuna wanafunzi walishawahi kumtuhumu huyu jamaa, itaongezea uzito kwenye hii case.
Ila jamaa angekuwa ameandaliwa mtego hii kesi ingekuwa rahisi zaidi.
 
Sina uhakika na usahihi wa njia unayoitumia kutatua tatizo hili, linaweza kukuleta matatizo zaidi kuliko kutatua. Nadhani kungekuwepo na njia bora zaidi ya kushughulikia swala hili, kila la heri lakini.
Sasa unamkatisha tamaa na kumuacha hewani ...... ! Afadhali ungetoa ushauri wa njia uionayo wewe kuwa ni sahihi .......!
 
Ni kweli, hii kesi ni ngumu. I hope ile CD aliyomrekodi itamlinda.Pia kama kuna wanafunzi walishawahi kumtuhumu huyu jamaa, itaongezea uzito kwenye hii case.
Ila jamaa angekuwa ameandaliwa mtego hii kesi ingekuwa rahisi zaidi.

Tulifikiria kufanya hivyo ila halihisi kbs kuwa naenda kureport....kurud kwangu tena mara ya pili alishituka.Tulijaribu kufanya hivyo lakin alikuwa mtu wakukwepa.Anajua hasa nn anafanya huyu jamaa ni mjanja sana.
 
Tulifikiria kufanya hivyo ila halihisi kbs kuwa naenda kureport....kurud kwangu tena mara ya pili alishituka.Tulijaribu kufanya hivyo lakin alikuwa mtu wakukwepa.Anajua hasa nn anafanya huyu jamaa ni mjanja sana.
atakuwa ni mzoefu katika tabia hii,itakuwa rahisi kumshitaki kwa kosa la kukutaka kimapenzi, ila kosa la attempt ya kukubaka linaweza likakosa ushahidi wenye nguvu, labda wataalamu wabahatishe nywele zake kwenye hizo nguo.au kama aliumia damu ikaingia kwenye nguo zako
 
Safi sana mdogo wangu....

Hakuna thamani kubwa kwa mwanadamu tena wa kike kama kupigania haki ya kutodhalilishwa....

Kwa kufanya hayo, umejitendea haki wewe na kikazi chako, bila kujali kwamba wanaokuzunguka ni wadau au washiriki wa udhalishaji huo..

Hata ukihisi kuwa umeshindwa, mie nasema kuwa tayari umeshinda kwa kiwango kikubwa.

Kazi buti umalizie hiyo ngwe..

Mungu akubariki na kukusimamia...

Babu DC!!
 
atakuwa ni mzoefu katika tabia hii,itakuwa rahisi kumshitaki kwa kosa la kukutaka kimapenzi, ila kosa la attempt ya kukubaka linaweza likakosa ushahidi wenye nguvu, labda wataalamu wabahatishe nywele zake kwenye hizo nguo.au kama aliumia damu ikaingia kwenye nguo zako

Yeeaaah hilo sijalifahamu vizur lkn tutapata jibu tu ya hayo yote.Anajitapa sana.....alafu ananiangalia jicho baya kama sijui kitu gani.
 
Back
Top Bottom