Lecturer part 2

Lecturer part 2

Sina uhakika na usahihi wa njia unayoitumia kutatua tatizo hili, linaweza kukuleta matatizo zaidi kuliko kutatua. Nadhani kungekuwepo na njia bora zaidi ya kushughulikia swala hili, kila la heri lakini.

Ungetoa njia nzur yakutatua ingekuwa umenishaur kuliko kusema tatizo alafu uvumbuz wa tatizo husemi.
 
Congrats bidada..
Go on and don't give up the fight.
 
Naono umeamua kunimaliza nisamehe basiiiiiiiiii

Sio nia yangu kummaliza mtu kabisa,ila ungejua mzaz anavyojinyima wala usingesema.Sisomi kwa mkopo wa serikal.Mzazi anasimamisha shughul nyingine za maendeleo ili mm nipate elimu na si kunyimwa haki yangu.
 
Hongera sana miss strong kwa hatua hizi! Hakikisha unatengeneza cd za kutosha kabisa kama ushahidi na original ilinde sana na katika hili usimuamini mtu hasa hao wanafunzi wenzio mpaka utakapo ona mambo yamekwenda sawa! Bila shaka kwenye barua yako ulimwambia mkuu wako wa chuo kuwa umeona uanzie kwake kabla ya kwenda kwenye asasi za kiraia! Na katika hili usimame kweli uhakikishe hizo siku alizo kuahidi kufanyia kazi hili swala ana timiza ahadi yake lasivyo unakwenda mbele zaidi(TGNP,TAWLA). Hakuna haja ya kutaja chuo kwa sasa hila uhakikishe alicho kiahidi ana kitekeleza na uweke distance na huyo mwalimu, maana anaweza kutumia wanafunzi wenzio kukupeleleza!

All da best
 
Last edited by a moderator:
Kama ipi mkuu wangu unayodhani kwa ugumu wake na katika nafasi yake ktk vyuo vyetu na hii Tanzania yetu?
Anyway, so far amejitahidi sana kwa mazingira ya vyuo yalivyo.

Sina uhakika na usahihi wa njia unayoitumia kutatua tatizo hili, linaweza kukuleta matatizo zaidi kuliko kutatua. Nadhani kungekuwepo na njia bora zaidi ya kushughulikia swala hili, kila la heri lakini.
 
Hongera sana miss strong kwa hatua hizi! Hakikisha unatengeneza cd za kutosha kabisa kama ushahidi na original ilinde sana na katika hili usimuamini mtu hasa hao wanafunzi wenzio mpaka utakapo ona mambo yamekwenda sawa! Bila shaka kwenye barua yako ulimwambia mkuu wako wa chuo kuwa umeona uanzie kwake kabla ya kwenda kwenye asasi za kiraia! Na katika hili usimame kweli uhakikishe hizo siku alizo kuahidi kufanyia kazi hili swala ana timiza ahadi yake lasivyo unakwenda mbele zaidi(TGNP,TAWLA). Hakuna haja ya kutaja chuo kwa sasa hila uhakikishe alicho kiahidi ana kitekeleza na uweke distance na huyo mwalimu, maana anaweza kutumia wanafunzi wenzio kukupeleleza!

All da best

Yes ila nimeliona muda mrefu tu lakin tayar nimeshaingia kupambana na huyo mwalimu wala sina sababu ya kuhofia.........mimi ndo nimewapa huo muda.Wameahidi kunilinda ila si unajua tene viongoz wetu hawa.Ila mkuu wa chuo anatoa matumain kidogo coz mpaka ss kuna walimu si chin ya watatu wamesimamishwa.Nahitaj ushaur wenu zaid.
 
ungetoa njia nzur yakutatua ingekuwa umenishaur kuliko kusema tatizo alafu uvumbuz wa tatizo husemi.

kwa kuwa umeshaamua kutumia njia hiyo endelea nayo lakini nadhani ingekua safi zaidi na kwaajili ya usalama wako kama ungepata ushauri wa kisheria kwanza. Ili ushauriwe jinsi ya kushughulikia hiyo jinai.
 
Kama ipi mkuu wangu unayodhani kwa ugumu wake na katika nafasi yake ktk vyuo vyetu na hii Tanzania yetu?
Anyway, so far amejitahidi sana kwa mazingira ya vyuo yalivyo.

Asante ndugu...........Mambo n magumu kweli kwel lkn Mungu anaweza akafanya kitu
 
kwa kuwa umeshaamua kutumia njia hiyo endelea nayo lakini nadhani ingekua safi zaidi na kwaajili ya usalama wako kama ungepata ushauri wa kisheria kwanza. Ili ushauriwe jinsi ya kushughulikia hiyo jinai.

Yes ,nilifanya hivyo kabla yakuandika barua yangu kwan concern yngu kubwa ni marks.Lakin pia ktk hlo ndo haya yametokea.Kwa kwel nmepata ushaur kabla yakufanya hayo na pia mzaz wangu alisema niandike hiyo barua.
 
Ile juz ulisema alitaka kukubaka akakuchania nguo. Leo unasema umeambiwa nguo usizifue. Ina maana aliziachia uchafu?
 
Pole sana, Haki ina garama sana kuililia na utaonekana wa ajabu sana kwa wanaoendekeza uovu, Mungu atakuinulia watu na watasimama na wewe kwa namna yoyote iwayo. tegemea vitisho vingi sana kutoka kwake na watu wake na wa-aina yake. ''uovu una mashabiki wengi kuliko haki''
Asante ndugu...........Mambo n magumu kweli kwel lkn Mungu anaweza akafanya kitu
 
kwa ajili ya finger prints mkuu kuhakikisha kama kweli huyo lecturer alizishika nguo zake.
Ile juz ulisema alitaka kukubaka akakuchania nguo. Leo unasema umeambiwa nguo usizifue. Ina maana aliziachia uchafu?
 
Ile juz ulisema alitaka kukubaka akakuchania nguo. Leo unasema umeambiwa nguo usizifue. Ina maana aliziachia uchafu?

Mimi si mtaalamu sana wa swala hili,nguo sikufua tu bila kujua km wangezihitaj zikiwa chafu o kuna kitu wanataka kuangalia.Uchafu gn labda unaomaanisha!!!!!!!!!!!!!!1
 
Pole sana, Haki ina garama sana kuililia na utaonekana wa ajabu sana kwa wanaoendekeza uovu, Mungu atakuinulia watu na watasimama na wewe kwa namna yoyote iwayo. tegemea vitisho vingi sana kutoka kwake na watu wake na wa-aina yake. ''uovu una mashabiki wengi kuliko haki''

your ryt ndugu yngu coz mpaka ss kuna watu wachuo wanasema si ungemalizana nae tu......wkt kuna rumors kuwa c mzima.
 
Mimi si mtaalamu sana wa swala hili,nguo sikufua tu bila kujua km wangezihitaj zikiwa chafu o kuna kitu wanataka kuangalia.Uchafu gn labda unaomaanisha!!!!!!!!!!!!!!1
Sperm?
 
Back
Top Bottom