Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,354
Fingerprint kwenye nguo mkuu?!! Tena skin tight?kwa ajili ya finger prints mkuu kuhakikisha kama kweli huyo lecturer alizishika nguo zake.
Fingerprint kwenye nguo mkuu?!! Tena skin tight?kwa ajili ya finger prints mkuu kuhakikisha kama kweli huyo lecturer alizishika nguo zake.
Yes ila nimeliona muda mrefu tu lakin tayar nimeshaingia kupambana na huyo mwalimu wala sina sababu ya kuhofia.........mimi ndo nimewapa huo muda.Wameahidi kunilinda ila si unajua tene viongoz wetu hawa.Ila mkuu wa chuo anatoa matumain kidogo coz mpaka ss kuna walimu si chin ya watatu wamesimamishwa.Nahitaj ushaur wenu zaid.
Fingerprint kwenye nguo mkuu?!! Tena skin tight?
duu kweli umejitoa siku ya wanawake dunia lazima nikupe shavu bidada pole sana kwa matatizo hayo..
Usijali kwenye hili utashinda!
Kama kuna kati ya hizo yenye kishkizo , mkanda au sehemu yeyote yenye ugumu kama plastik au chuma au ngoz fingerprints zitaonekana...Ni nguo gan inayofaa?kama siket aliishika,km blauz pia alishika
Kama kuna kati ya hizo yenye kishkizo , mkanda au sehemu yeyote yenye ugumu kama plastik au chuma au ngoz fingerprints zitaonekana...
miss strong pole kwa masaibu.
Kwenye uzi ule wa kwanza nilikua mpinzani sana na mwepesi kukuhukumu, nahisi nawajibika kukuomba radhi kwa uchungu niliokuzidishia badala ya kukushauri na kutoa msaada wa mawazo au kukaa kimya. Uniwie radhi kwa kukurupuka kwangu. I will find peace baada ya kuandika haya/
Ila uhakikishe unatupa stori had mwisho...okey Tuko
miss strong pole kwa masaibu.
Kwenye uzi ule wa kwanza nilikua mpinzani sana na mwepesi kukuhukumu, nahisi nawajibika kukuomba radhi kwa uchungu niliokuzidishia badala ya kukushauri na kutoa msaada wa mawazo au kukaa kimya. Uniwie radhi kwa kukurupuka kwangu. I will find peace baada ya kuandika haya/
Mwanangu miss strong,hakikisha unathibitisha kesi yako.Ukishindwa kufanya hivyo,huyo Mhadhiri atakushtaki kwa kumdhalilisha(defamation). Kama pana ugumu mahali popote,wasiliana nami kwa PM ili tuyaweke mambo sawa. Sikia na uelewe!
Ila uhakikishe unatupa stori had mwisho...
Mwanangu miss strong,hakikisha unathibitisha kesi yako.Ukishindwa kufanya hivyo,huyo Mhadhiri atakushtaki kwa kumdhalilisha(defamation). Kama pana ugumu mahali popote,wasiliana nami kwa PM ili tuyaweke mambo sawa. Sikia na uelewe!
Kuthibitishaje mkuu?
Fingerprint kwenye nguo mkuu?!! Tena skin tight?
Najua sipo peke yangu ktk hayo mapambano....Mungu ni ngao yangu.