miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
- Thread starter
- #101
Safi sana mdogo wangu....
Hakuna thamani kubwa kwa mwanadamu tena wa kike kama kupigania haki ya kutodhalilishwa....
Kwa kufanya hayo, umejitendea haki wewe na kikazi chako, bila kujali kwamba wanaokuzunguka ni wadau au washiriki wa udhalishaji huo..
Hata ukihisi kuwa umeshindwa, mie nasema kuwa tayari umeshinda kwa kiwango kikubwa.
Kazi buti umalizie hiyo ngwe..
Mungu akubariki na kukusimamia...
Babu DC!!
Asante mkuu kwa kunipa nguvu....najua tutafika mwisho tu